moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
khaa violet tena sio rosemary,basi nimeairisha sitaki tenaOmba ruhusa kwa Violet kwanza ndie mwenye funguo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
khaa violet tena sio rosemary,basi nimeairisha sitaki tenaOmba ruhusa kwa Violet kwanza ndie mwenye funguo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante sana HaMachiachMzee baba shukrani sana kwa mda wako ulio toa kwaajili yetu hatuwezi kukulipa chochote zaidi ya upendo na shukrani nyingi pia wasalimu wanao wote na familia tunatumai siku ukipata nafasi utatumalizia
Nikimaliza mizinguko ya kikazi nitakutafuta PM tunaoweza badilishana mawili matatu nakutakia Usiku mwema
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante sana ndukulusudichoDuh! Ahsante sana Mkuu tumejifunza pia tumeburudika, ahsante sana kwa kujitoa kwako Mungu akusimamie na akupe maisha marefu Inshallah leadermoe
Asante sana Queen KanKudos mkuu, asante kwa ushauri na entertainment umetupa though I wish ingekua ile JF ya enzi hizo ambayo watu waliweza kuficha ujinga wao but this one inabidi tu tuizoee[emoji1787].....again congrats for having a very marvelous life
huyo hanitishi mimi,ila acha tu niarisheNdio, Purple ana tyuuuu tyuuu tyuuuu, Rose yeye ni machozi tu. Ni bora uanze kwa yule hatari.
usitukomoe bana na hivyo vithunguNgoja nikuitie shishi akuoe Tafsiri mujaraabu
[emoji1787][emoji1787]Nilijisahau mkuu, samawani sanaaaa[emoji28][emoji28]
alafu unakumbuka kuna mada flani hatukufika mwishokama wautendea hivi mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu?”
leadermoe amekula sana mbususa, mwishoni anahubiri injuli hii sio poa kabisa.And the body is the home of the Lord. The Lord does not dwell where there is sin and darkness. Our Lord is full of light and grace. .