Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Nourhan ukiwa unapiga deki jisahau upige chafya ukisikia mwangwi ujue hapo sio[emoji51][emoji51][emoji51]
Jokes aside? wanawake mmekuwa na mapicha picha sana Yan unakuta mtu anapiga kelel halafu analia vibaya. Kuna demu nilimnyony ziwa akalia kama mbuzi meeeeee. Mwingine nilipima oil akapiga mruziii pyyuuuuu labda atakuw alivyonza. Ngoja nipate ushauri kwa moneytalk
[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]nikome,sitaki ugomvi
 
Purple: " Edson, kwanini hukuniambia umepigwa risasi? Huon kama umehatarisha uhai wako?
Purple kaongea kiswahili mpaka nikashtuka😬😬😬
Violet:" I never knew what real love would be like until I met you. You taught me how to love, how to show how I feel, how to care, and how to be responsible. Now I feel like I have everything I need in life. I love you, and words won’t ever be enough to thank you for all you have done for me. Is my wish this go on forever but you keep hurting me, cheating on me Edson, why? ."
Oh now she is speaking anglisb again. This the purple I know 💜
Violet:" Unataka nikufanyie nini ili ujue thamani yako moyoni mwangu? Ninakufanyia kila kitu, nakupendezesha mume wangu, yote haya ni kukuonyesha jinsi ninavyo kuthamini, lakini hauliziki Edson."
Kweli wewe mdhunguuu bongo ukipewa fursa kama hii unaomba😬😬😬😬
 
"Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu".

Asante sana,unaijua kazi yako vyema,yaani mpaka wanaongea lugha ya mwezinii. X anuniwii
 
"Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu".

Asante sana,unaijua kazi yako vyema,yaani mpaka wanaongea lugha ya mwezinii. X anuniwii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila watu,anaongea lugha gani
 
Part Fourteen B: Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}
[emoji97] When will you give me this Livia flower?


Flashback
Edson: "You slept in it before."
Livia: "No, I was getting a room for my friend, they were giving him a hard time, I hated it."
Edson: "Sorry. I thought it was an excellent hotel."
Livia: "Thank you, what you said to your wife till she gave you permission."
Edson: "She's not here today, she went to Finland last morning to take care of the kids."
Livia: "Today we're enjoying ourselves."
Edson: "Indeed."
Flashforward

* **
Baada ya maongezi ya muda kiasi, akaniambia anaweza kuondoka mapema kurudi nyumbani, kwa vile ameondoka bila baba yake kuwepo. Nikajua huyu anaona namcheleweshea tango, ngoja alipate.

Livia: "When I saw you, I fell in love, and you grinned because you knew."

Edson: "If someone would have asked me about my ideal woman , I wouldn't have had the words to describe you. You have surpassed all expectations, fantasies, and dreams combined."

Nilimvuta kwangu, nikamgeukia pale kwenye kochi, nikaanza nyonya lips zake, kisha ulimi. Sijui alikuwa amekula nini, akawa na radha nzuri sana ya ulimi na mate yake.

Nikatulia hapo kwa muda huku mikono ikiwa kiunoni. Akarudisha mashambulizi, akanibana na miguu yake,mikono ikazama kifuni kwangu.

Livia alikuwa na ngozi raini sana, harufu ya perfume yake ikanikata stimu, sipendi kutumia ulimi kama mwanamke hajaoga kutoa manukato.

Livia: "Let's go and lower the temperature a little."

Edson "Alright"

hapa aliniwahi, labda alinisoma fikra zangu.

Tukaenda kuoga, huku tunashikana shikana na kuogeshana. Akawa ameshika tango kama vile anataka kulivuta, akailiosha, tayari kwa matumizi.

Nilijitahidi kumkwepa kule bafuni, alitaka kuchomeka tango bila utaratibu, siko hivyo. Tuliporudi chumbani, tukahamia kitandani.

{Huwa najipa mda wa kumsoma mpinzani wakati wa maandalizi, huyu hakuwa mtundu kama Fernanda, labda sababu ya ugeni}

Nikamnyonya shingo, kisha chuchu, akawa anaomba nimnyonye pussy, nikamwambia apunguze speed, atapata kila anchotaka. Nikanyonya nipples mpaka zikawa nyekundu huku Livia analalama kwa tamu.

Mwili wake ukaanze kuwa mwekundu, damu ilikuwa inachemka. Nikatembea kwa ulimi toka kifuani, mbavuni mpaka nyayo. Akapagawa kwa raha, akawa ananibana na miguu yake, I removed her underwear, I found that the flower is big, and the porridge is a bit poured. I measured the oil, she pulled out my hand, she won't let me insert my finger, she wants my tongue.

Nikachezea kisimi na mashavu kwa muda, huku namnyonya kitovu, akazidiwa zaidi, mpira ukagusa nyavu, akajifunga goli la kwanza.

Akaanza kuomba tango, nikalichomoa, nikaanza livalisha kofia yake, nikaanza kusugua kisimi chake kwa style ya kate. Akaongeza sauti na miguno, akashika shuka akawa analiuma kwa nguvu ili ajizuie sauti.

Livia: "Ooooohpss, thanks a lot! Ah dude, you know how to torture me Edson... I've never been subjected to this stuff with my husband! Please do not delay me, I am very nervous."

Hapa nilisikia neno mume wangu, nikaona hata nikimuuliza hatasema ukweli kwa hali aliyonayo, anaweza kuzuga kamanisha mpenzi wake.

Livia:" That's enough, I like your preparation, I want to be massaged by a prick, not fingers"

Nikiwa kazini, mood iko on, huwa sisikilizi kelele za chura, Sipendi mwanamke anaenipangia.

Edson: "Relax, let me give you something to enjoy."

Livia : "O.. Okay baaaby. ooopssss"

Nikahakikikisha mpaka amwage tena uji, mara kidogo akanikazia macho huku analia, akaomba akakojoe kwanza, nikajua ni dawasa inakuja, kumbe haijui.

Livia: "Oooooh! Oh love... see I'm peeing! Ah, no, you're going to carnage me Edson, please stop my love... Let me pee first…"

Sikumjibu nikaendelea kusugua ile kate style, dawasa nyembamba ikawa hewani, akashtuka akijua anekojoa. Nikamtoa hofu

Edson: "Have you ever squirted?"

Livia: "No, I never did, is this what happens?"

Edson: "Yes, you squirted, how are you feeling now?"

Livia: "Aaaah ash, thank you my love... I love you... oops, it's so sweet,..honey, don't leave me."

Edson: "I'm married, remember."

Livia: "I don't care."

Nikaaingiza tango ndani kabla hajapoa,

Livia: "Aaaah ash, thank you my love... I love you... Ooops submerge it all out... Baby, don't leave me... Aaaahhhhhh…. I'm coming honey, I'm Coming, Make it harder, babe... Yes, yes, thank you."

That was Livia screaming in bed.

Edson:" Talk to me baby, feel good?."

Livia: "Yes... I feel good... I won't let you leave me my Edson, aaaahpppss, you're so sweet my big boy"

Livia alikuwa nanipandisha mzuka kwa zile kelele zake na maneno, hakukubali kunyamaza huku anaona utamu unazidi kipimo alichozoea.

Livia: "Aaaahhhhhh... I'm coming . I com... I com... thank you Edson, you're a real guy, thank you, babe. "

That was Livia in bed, she finished the third time, she was powerless. I also finished my long trip, and we slept.

Baada ya dakika ishirini, akaomba aende kwao, ila mimi nisiondoke hapo kwani anarudi kulala. Alioga akaniacha nimejilaza, akanibusu mdomoni akaondoka.

Nilienda kununua kondom za ziada maana amesema anakuja kulala, sijui atataka mara ngapi, afya kwanza.

** ** **
Nikagiza maziwa fresh na juice ya tangawaizi, nikanywa taratibu huku nasubiri kipindi cha pili.

Mida ya saa 12: 30, akanitumia ujumbe akiwa njiani anakuja.

Livia: " If уоu саn guеѕѕ whаt соlоur mу underwear is, thеn I’ll gіvе уоu a blоw јоb whеn i gеt there."

Nikajua huyu ameshauelewa huu mziki, acha aanzishe steps zake, kisha nitacheza nae.

Edson: " red."

Livia: "How do you know?"

Edson: " I am absolutely sure. All you have to do is show up and make this night even better."

Najua wanawake wengi wanapenda chupi nyekundu kwenye mtoto wao wa kwanza.

{The colour red represents life, love and passion. Wearing red underwear on the first date says it brings new passionate relationships.}

When she arrived, she was wearing a red cropped blouse and black shorts. Below she has a red snicker, in her hand a black handbag, sunglasses, A diamond chain on her neck, a diamond watch, her beauty is definitely more than she was during the day, all her thighs and hips are completely exposed.

Nikajikuta namwangalia kama vile simjui. Akaweka mfuko mezani, akanikumbatia kwa hisia sana. Livia angejua kuna mtu anaitwa Purple, angepunguza speed aliyonayo kwangu.

Akatoa chakula kwenye ule mfuko, kinaitwa Kottbullar – Meatballs

{ The recipe is simple and goes great with ground beef, onion, egg, milk and bread crumbs. Blended and fried in a generous quantity of butter, served with mashed potatoes, cranberry jam and brown cream sauce.}

And a couple of wines, the Australian Cabernet Sauvignon, alcohol concentration: 14%, and Thomson & Scott Noughty Dealcoholized Sparkling Rosé, Alcohol concentration: 0.0%.

Tukala chakula, kilikuwa kitamu sana, nyama raini sana, nikala kufidia kazi iliyo mbele yangu muda mfupi ujao, nikanywa wine yangua isiyo na kilevi . Yeye akatumia yake ya kilevi.

Edson: "Very tasty food, you prepared it yourself?"

Livia: "Yes, I have prepared for you my love, it tastes great ."

Edson: "Thank you so much, but your beauty is not only in your face and in bed, you're also good in the kitchen, congrats."

Livia: "Thank you very much, honey, as a woman I have to be able to cook for my husband."

Livia: "Just ѕаw ѕоmеthіng rеаllу hot thаt mаdе mе thіnk оf уоu."

Edson: "Tell me about."

Livia: "I think you’re hot stuff. The hottest" .

Edson: "Really?" why?

Livia: "I dоn’t knоw whу, but аll I wаnt rіght nоw іѕ ѕеx, take my heart with you wherever you go and continue to nourish it with your love. I love you dearly.

Edson: "Don't worry, you'll enjoy tonight."

Livia: "I want to fulfil my promise, you have provided the colour of my underwear I am wearing."

Nikaona huyu wine imeanza kazi, maana alikuja ameshaonja tayari.

Nikambeba nikatupa kitandani, kilichofata hapo, alinena kwa lugha zote anazojua, alilia vilio vyote, tulilala aliposema mwenyewe ametosheka.

** ** **
Part Fourteen C : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

[emoji15]You deserve to know your mistake before you die."

View attachment 2596434
View attachment 2596433
Sorry guys!

I've been in the hospital since morning, I didn't have time to edit the story for today's part. I'll be late for two or three hours. I'm sorry about that. [emoji120]
Pole sa na kamamda,

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Note: Nimejaribu kutumia kiswahili sehemu kubwa ili watu wapate ujumbe niliokusudia. Kuanzia hapa na sehemu zifatazo, kiswahili kitatawala. Au mnasemaje wadau 👂🦻

Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

💓She cried as she slapped my lap.

Flashback

Ludvig:" Remove the bandage, please. "

Akauchukua, unga alipewa na yule mpambe, akaninyunyizia kwenye kidonda. Nilipata maumivu sana, kisha Livia akanifunga, damu ziliacha kutoka.

{Ludvig hakutaka ile risasi iingie mwilini kwangu, aliipalaza juu ya nyama, haikugusa mfupa, ikatua ukutani}

Ilikuwa saa tano usiku yule Hugo akaniongoza kurudi kwenye gari, akanipeleka mpaka semehu kuna usafiri wa uma akaniacha hapo, akanionya nisiende hospital, jeraha litapona haraka, hawakuchukua chochote nilichokuwa nacho, walisafisha account pekee.

** ** ** **

Flashforward

Nilikaa kituoni, ikasimama taxi, nikapanda, nikampa maelekezo.

Nilifika hotelini, nikajimwaga kitandani, nikawaza kilichotokea ni kweli au ni ndoto tu. Nikaenda kuoga, chakula kikaletwa ila sikula, nikaambiwa mkeo amepiga simu hapa baada ya kukukosa hewani, kasema umtafute.

{ Simu niliyokuwa nawasiliana na Livia sikuwa nayo, na sikumbuki niliiacha wapi, labda kwenye ile apartment.}

Nikampigia simu mfini wangu, nikamweleza mkasa wote, ila sikumwambia kisa ni mwanamke. Violet aliumia sana, usiku ule ule alinitumia kiasi kikubwa cha pesa kwenye account yangu, akaahidi kuja kesho yake. Niliona sio vizuri kutomtafuta Rosemary.

Nikachukua simu ambayo huitumia nikiwa Tanzania, nikampigia, hakuwa amelala tangu nilipompigia mwanzo, Nilimweleza mkasa wote ila nikaficha chanzo halisi, mke wangu alilia sana mpaka nikakata simu nimuache Kwanza. Ila wote sikuwambia kama nimepigwa risasi, niliwaeleza kuhusu pesa.

Rosemary aliniahidi kesho yake asubuhi ataenda bank anitumie pesa, ila nilimkataza, nikamwambia Violet ameshanitumia, nikihitaji zaidi nitamjulisha. Baada ya hayo maongezi nilikunywa pain killer, nikalala.

** ** **
Kesho yake niliamka na maumivu makali sana, nikatoa taarifa ofisini kuwa nimepata matatizo nimeumia, sitaweza kwenda siku hiyo. Wakanielekeza cha kufanya, nikatumiwa kwa email yenye sick sheet file ili niende hospital.

Sikuweza kwenda kwa vile wangelifanyia uchunguzi jeraha langu, ingebainika kuwa ni risasi, ningekabidhiwa kwa polisi, ili nipate form ya matibabu. Sikutaka hilo lijulikane kwa ajili ya usalama wangu.

Mida ya mchana, Violet alifika hapo hotelini kwangu, alivyoniona akaanza kulia, mkono umevimba, nina maumivu makali. Akanitaka twende hospitali ila nikakataa maana kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yangu na Livia, nilishaonywa.

Purple aliumia sana baada ya kugundua nimepigwa risasi, akahamaki kwa nini nilimficha na kuhatarisha maisha yangu.

Purple: " Edson, kwanini hukuniambia umepigwa risasi? Huon kama umehatarisha uhai wako?"

Edson: " Usipaniki mke wangu, ni jereha la kawaida tu, nitakuwa salama."

Purple: " Hivi wewe mwanaume unanichukuliaje?, unaijua thamani yako moyoni mwangu? Unajua kama wanao wa nakuhitaji? "

Edson :" sasa maneno yote ya nini mke wangu, najua nimekuogopesha lakini niko salama, usijali. "

Purple:" Tunaenda hospital kisha tunaenda polisi, naomba iwe hivyo. "

Edson:" Tafuta namna nyingine, hospital siendi na polisi pia siendi. Ni kwa ajili ya uhai wangu pls elewa. "

Baada ya kuona nimegoma, Violet aliongea na rafiki zake kadhaa, hatimae akaniambia twende nikapate matibabu, kwa mtu anae mwamini.

Tulichukua taxi kwenda mtaa wa
nyumbani kwa dada moja ambae ni daktari, walisoma chuo kimoja na Violet, na walikuwa marafiki.

Alinifanyia usafi wa kidonda, akatoa risasi, akanifunga dawa na kunichoma sindao ya kusaidia kukausha kile kidonda, nilimuomba kwa kuwa siwezi kwenda hospitali, anisaidie kujaza ile sick sheet, alisema kesho yake angeenda nayo kazini kwake, itaijaza na kugonga mhuri na atanipa mapumziko ya siku 14.

Aliniacha nipumzike ila kila mmoja ana hamu ya kujua kilichonipata, baada ya masaa mawili maumivu yalikata, usingizi uliisha nikakaa kitandani, muda wote Violet hakuondoka hapo kitandani.

Violet: "Pole sana mume wangu, unajisikia kwa sasa."

Edson: "Naendelea vizuri, asante sana."

Yule dada akaingia, alimletea rafiki yake juice, hakuwa amekula toka ameondoka Rovaniemi.

Dada: "Pole, Unaendeleaje."

Edson: "Asante sana Dr, nina nafuu sasa."

Dr: "Usijali hiyo sindano itakusaidia kuondoa maumivu kwa muda mrefu."

Edson: "Asante sana Dr."

Dr: "Naitwa Astrid, Dr. Astrid"

Edson: "Nashukuru Dr. Astrid, Mungu akubariki sana kwa msaada huu."

Dr. Astrid usijali, ngoja nimpe nafasi mkeo ana hamu ya kuongea na wewe, Purple ukinihitaji niko jikoni.

Violet: "Sawa Astrid, tunashukuru."

Aliondoka tukapa wasaa wa kuongea, niliwaza niendelee kudanganya au niseme ukweli, vipi akijakugundua badae? nitaeleweka?.

Nikaamua kueleza ukweli, Violet alilia sana na kunilaumu kwa kutokuwa mwaminifu, amejitahidi kuwa karibu na mimi ili kuniweka mbali na vishawishi, lakini nimeshindwa kumthamini.

Violet: "Unakosa nini kwangu Edson, hawa wanawake watakufikisha wapi? Ulinisaliti Ethiopia japo ulikataa niliamua kukusamehe, hapa pia umenisaliti, unashida gani? Sikulizishi?."

Edson: "Hapana Purple, usiwaze hivyo, Ethiopia nilikwambia na narudia, yule dada sikuwa na mahusiano nae, huyu wa hapa kweli nimeanzisha uhusiano nae lakini hatujawahi kulala pamoja, ndio kwanza tuna wiki tongu tumeanza kufahamiana, na yametokea haya. Samahani sana. "

Violet:" Hivi unajua unayoyafanya sasa hivi, yanapaswa kufanywa na Edson jr sio wewe? Unataka wanao wajifunze nini kwako?"

Alilia huku ananipiga piga vimakofi mapajani,

Edson: "Honey, I am so sorry for whatever I have done. You are the best girl in the world and I know that I accept you as the most beautiful and sweet girl in the world. I feel blessed and grateful because you are in my life. But after all, I have committed a terrible mistake by cheating on you, I am so sorry for this, honey. I want let you know that I will never repeat such mistakes again . "

Violet:" I never knew what real love would be like until I met you. You taught me how to love, how to show how I feel, how to care, and how to be responsible. Now I feel like I have everything I need in life. I love you, and words won’t ever be enough to thank you for all you have done for me. Is my wish this go on forever but you keep hurting me, cheating on me Edson, why? ."

Violet alikuwa na uchungu sana moyoni, kwa mara ya kwanza niliumia kwa huzuni yake, nilikosa raha.

Edson:" Violet, you mean the world to me , I can’t stop tearing thinking about you. You are the best girl in my life. I am so blessed that you are with me. Please forgive me for whatever I have done. I can promise you that I will never make such terrible mistakes, I am sorry for everything my lovely wife . "

Violet:" I am so disappointed by your deception. I gave you everything and you took me for granted. Anyone could have made this mistake, but not you. I made a wrong decision with you."

Edson:" Honey, I am so sorry for whatever I have done to you. Look, I am accepting all my mistakes and wrongdoing. I hope I will never repeat such things. Please forgive me for this, I am feeling extremely bad for whatever I have done, please forgive me."

Violet:" I’m wondering how you’re going to tell your family that we’re done. I hope for once you’ll be honest about your betrayal. Tell them you gave up on this relationship first."

Edson:" Purple my love, I'm not letting you go, never on earth. You're my wife, we stay together as family, I promise I will change otherwise you wish for my death ."

Violet:" Unataka nikufanyie nini ili ujue thamani yako moyoni mwangu? Ninakufanyia kila kitu, nakupendezesha mume wangu, yote haya ni kukuonyesha jinsi ninavyo kuthamini, lakini hauliziki Edson."

Edson: "When I look back, I can see lots of good memories with you, but I did wrong by cheating on you. I can understand my mistake and I want to assure you that I will never make such a terrible mistake again. Please accept my apology and forgive me for this time, I am so sorry honey. "

Violet:" Bahati yako pekee ni kwamba sina uwezo wa kukuacha Edson, wewe ni mwanaume wa ki pekee sana moyoni mwangu, wewe ni baba wa wanangu, nikikukosa sitakuwa na sababu ya kuishi, unanipa mawazo sana"

Edson: "I’m so sorry! I’m sorry for all those sleepless nights you endured because of me. I’m sorry, I hurt you and broke your trust. The biggest mistake I ever made was risking us, and what we have together over one stupid, meaningless night. You are the most valuable part of my life and I can’t let go of you, the memories we share and the future we imagined. I hope you can forgive me. If you give me one second chance to prove how much I love you, I won’t let you down."

Violet:" kama kweli unanihitaji niendelee kuwa maishani kwako, tufunge ndoa ya serikali, ili niwe na uhakika wa wewe kuwatunza wanangu ikitokea sipo. "

{Violet aliniomba hili tangu zamani, nikawa namkwepa, ila leo limekuja kama sehemu ya sharti la kusamehewa. }

Edson:" Sawa mke wangu, fanya maandalizi, nikipona tutafanya. Ila nikuhakikishie, hawa sio wanao pekee ni wetu sote, ninawajibu wa kuwatunza hata bila ndoa, ni damu yangu."

Violet: "Asante sana mume wangu, asante kwa kunipenda na kunithamini, asante kwa kuniahidi ndoa."

{ Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Violet alikubali kunisamehe, alikua ananipenda sana kupita kiasi, mpaka nikawa naogopa na kujiuliza kilichomchanganya vile ni nini, mbona Rosemary hajawa kama yeye.}

Siku hiyo hatukurudi hotelini, tulilala kwa Astrid, lakini no tango, baba anaumwa. Usiku akawa kila mara ananiangalia, ananifunika, ananibusu paji la uso, mara anilalie, kwa kweli Violet alinifanya nijione nisie na shukrani, mapenzi yote haya bado na cheat. Alikusudi kwa dhati kuniumiza moyo wangu kwa kunipenda na kunijali, niliumia kiukweli.

Kesho yake nilimuomba amjulishe Rosemary kuwa niko salama, asihofu.

** ** **
Baada ya zike siku 14 kuisha, nikarudi kazini, Livia hayupo, nikauliza kumhusu, nikaambiwa amesitisha mkataba wake.

Nilikaa mwezi mzima bila kujua lolote kuhusu Livia, hatimae siku moja nakuta email yake

** ** **
Rafiki yangu Edson.

Pole kwa yote yaliyokupata, sikuwa na namna ya kukuepusha nayo, ila mimi ndie mwenye makosa.

Najua utakuwa unanichukia, hasa kwa kuhisi nilikudanganya, hapana sijakudanganya.

Ludvig sio mume wangu, kuna mengi unapaswa kuyajua, tafadhali naomba unipe nafasi ya kukuona, utaujua ukweli.

Usimwamini Ludvig, atakupa pesa nyingi kama alivyo kwambia, ila utakuwa umekikaribisha kifo chako mwenyewe. Naomba nikuone haraka iwezekanavyo.

Wako rafiki, Livia.

** ** **
Nilimjibu ile email, lakini kwa uangalifu usije kuwa mtego. Nilipopata uhakika ni Livia, akaniambia kwa wakati huo Ludvig ameenda Bolivia kwenye biashara zake, akirudi ndio natakiwa nianze kazi aliyosema.

Sikumkubalia haraka, ila aliposisitiza nikamwambia tuonane Helsinki, asichukue hotel, nitampa mimi location.

Ijumaa baada ya kazi nilienda Helsinki, nikatafuta hotel ya kawaida, nikamuomba tukutane station ya train, alipofika baada ya kuhakikisha kuna usalama, nikachukua taxi kwenda hotel niliyopanga.

Livia alinieleza mambo mengi sana, sikutegemea kabisa. Ludvig hakuwa amemuoa, japo alimpangia kwenye ile apartment tuliyopelekwa.

Walianzisha urafiki huku Ludvig akimpa pesa nyingi kila mara, baada ya miezi 9 ya uhusiano, akamwambia azma yake ya kutaka amtumie kwenye biashara zake,

Livia: "Mwanzo nilikubali, sikuwa najua ni biashara gani, na hakuwa tayari kuniambia mpaka nikikubali. Nilimkubalia kwa vile nilimpenda sana, alikuwa ananijali sana. Baada ya kukubali, ndio akaniambia ni biashara ya madawa ya kulevya, nilishtuka sana na sikuamini kama anafanya hiyo biashara. "

" Nilimwambia siko tayari kufanya hiyo biashara, ila kwa kuhofia usalama wangu nikamwahidi nitaendelea kuwa mpenzi wake, ila sitashiri biashara yake. Alikubali ila akanimbia siku nikitoa siri yake au kuachana nae ataniua. Niliahidi sitafanya hivyo. "

Nilipokuona, ukanivutia sana, nikahisi ndio wakati wa kujiondoa kwa Ludvig. Nikaanza harakati za kukuvutia, sikusubiri mpaka unione, nilihitaji kuachana na Ludvig haraka. Uliponiambia umeoa, nilikuwa nimeshakupenda sana, nikashindwa kukuacha.

Nikajipa moyo nitaanza na wewe ila nikifanikiwa kutoka nitaanza maisha mapya. . Penzi lako likaniteka, nikajikuta nakupenda kuliko nilivyotegemea, nikahofia kukupoteza endapo nitakujulisha shida yangu.

Siku nimeachana na wewe, nilikuta Ludvig amerudi, bila kunijulisha kama ilivyokuwa kawaida yake, sikutegemea kumkuta pale nyumbani, akataka kujua nilikotoka, hatimae akaziona meseji zetu. Alimtuma yule Hugo akufatilie, akajua mpaka hotel unayokaa ingwa mimi ulinificha.

Ludvig anajuana na wafanyakazi wengi wa hotel za malmo, wengi ni watu wake. Ndio maana nilikataa ile hotel uliyochagua siku ile, kuna mwanamke anatembea nae, ni mfanyakazi wa pele na mara nyingi Ludvig anakuwepo pale.

Livia alinieleza mambo mengi sana, tulitumia masaa manne hivi, nikajua kwa nini Ludvig aliniambia nikiwa mwaminifu kwake atanipa maisha mazuri, kumbe ni zungu la unga, anataka niwe punda wake.

Livia: "Edson najua ni kosa langu mpka wewe kukutwa na haya yote, nakuomba nisaidie niepukane na Ludvig, na pia wewe uwepukane nae."

Edson: "Usijilaumu, tatizo limeshatokea, tunatakiwa tutafute namna ya kulimaliza sio kulaumiana. Unataka nikusaidieje?"

Livia: "Nataka niondoke kwa Ludvig, nataka niwe mbali na malmo."

Edson: "Unajua sio rahisi kumuepuka mtu unaejua siri zake, amani yake ni pale unapokuwa mikononi mwake."

Livia: "Tafadhali Edson, nisaidie, huwezi shindwa, nakuomba kwa vile sina msaada wala tumaini lingine."

Edson: "Sawa, nipe wazo lako."

Livia: "Kumbuka uliniahidi jambo pindi nikikupa ua langu, Naomba utizime ahadi yako, nahitaji kuwa mbali na Malmo, mbali na Ludvig."

Edson: "Sawa, nitatimiza, lakini halitakuwa jibu la kudumu, inatakiwa upate njia ya kudumu."

Livia: "Nikiwa salama mbali na Ludvig, nitafikiria cha kufanya, nahitaji tu kupumzisha akili."

Edson: "Unataka kwenda lini?."

Livia: "Hata kesho, sitamani kurudi malmo, sitamani kukutana na Ludvig, hii ni nafasi pekee ninayo. "

Edson: "Hapana, ukiondoka ghafla bila kujipanga, utaniingiza matatizoni, atahisi nahusika."

Livia: "Sasa nifanyeje."

Nilimshauri Livia arudi kwa Ludvig, amsubiri mpaka arudi, huku tunajipanga, siku akiondoka tena, nae aondoke siku hiyo hiyo.

Nilimshauri asiache ushahidi wa kweli nyuma, badala yake amwachie ujumbe kuwa atamtunzia siri zake, ila hataweza kuwa nae, bora akaanze maisha mapya.

Kukoleza mchanganyo, afanye booking ya hotel za Marekani, atafute tiketi ya Marekani, ahakikishe huo ushahidi anauacha pale ndani.

Baada ya maongezi hayo, akasema amenimisi sana, anaomba nimsadie. Tulipiga show kama kawaida, alilia sana kuwa atanikosa kabisa, baada ya magoli kadhaa, tulilala na kesho yake kila mmoja aliondoka kivyake kurudi Malmo.

* **
Baada ya wiki moja ya toka tumeonana na Livia kule Helsinki, Ludvig alinitafuta, tukaonana, nikakubali ofa yake kwa malengo mawili, moja ili Livia akitoroka, Ludvig asiwe na mashaka na mimi, pili kuwa na uhakika wa usalama wangu nikiwa natafuta namna ya kumkwepa.

Alifurahi sana, akaniambia kazi yangu ni kupeleka mzigo wake Canada na sehemu zingine atakazoniambia, nitalipwa nusu nikichukua mzigo na nusu nikifikisha mzigo. Gharama za usafiri na hotel ni juu yake yeye, nikakubali yote.

{ Kumbe Ludvig alikuwa wakala tu, kuna mabosi zake walikuwa wanamtumia na yeye anapaswa kutengeneza team yake ili asiingie field moja kwa moja.}

Baada ya maongezi mengi ikiwa pamoja na masharti ya hiyo kazi, tuliagana kwa makubaliano ya kuanza kazi baada ya wiki mbili.

[The details about me and Ludving, which have been suppressed from this part, will find their way into the series of this story, I did it under the terms of the contractual agreement. I will say when I arrive at the end.]

* **
Niliongea na Rosemary, nikamdanganya kuwa kuna dada alinisaidia ilipotekwa, ni mfanyakazi mwenzangu, wale watekaji wanamtafuta, naomba anisaidie kumficha, maana aliokoa uhai wangu.

Rosemary huwa anajifanya mjinga, hapendi ujuaji lakini ana machale sana. Ila hapo hakuwa na sababu ya kunikatalia, kwa vile huyo mwanamke akiwa Tanzania mimi nitaendelea kubaki sweden, hakuona hatari yoyote. Ila nilimsisitiza sana, asimwambie Violet kwa kuwa ni mgonvi sana, asimwamini sana.

Baada ya kuwa na uhakika, niliwasiliana na Livia, nikataka tuonane Helsinki akiwa tayari na hatarudu tena kwa Ludvig. Akumbuke kuacha ushahidi wa uongo.

* **
Baada ya wiki, Livia aliondoka na nguo zake kiasi, akaenda Denmark, kisha akaenda Helsinki. Lengo ni asiache nafasi ya kufatiliwa. Alikata tiketi ya Denmark na kufanya booking ya hotel, aka print hizo taarifa akaziweka kwenye mkoba wake, akajitahidi kuuficha, lakini alijua lazima Ludvig apekue kila sehemu. Alipofika Denmark alichua ndege nyingine mpaka Helsinki, ushahidi alioacha ulionyesha atalala Denmark.

* * *
Baada ya kuonana na Livia kule Helsinki, tulikubaliana kuwa asisubutu kumweleza Rosemary kuhusu uhusiano wetu, mimi na yeye tumefahamia baada ya kunioko. Alikubali na kuniahidi hatafanya jambo lolote la kumfanya mke wangu ahisi chochote.

Tulipiga show ya mwisho kabisa katika uhusiano ule, kesho yake nikaondoaka, yeye akikuwa anaondoka siku ya tatu yake, nilishampa maelekezo ya namna ya kukutana na mwenyeji wake.

Livia alifika Tanzania, akapokelewa na Rosemary, japo alijitahidi kumdadisi lakini Livia hakudanganyika, baada ya muda Rosemary akaamini hakuna baya kati yangu na Livia.

Alipangiwa safari ya ngorongoro na serengeti, akatumia siku 14 huko, kisha akarudi kwa Rosemary.

Rosemary alikaa nae kwa miezi miwili, ndipo Livia akaamua kuondoka kwenda Hispania kuanza maisha mapya. Tuliendelea kuwasiliana ila uhusiano ulifika mwisho, alianza maisha mapya.

Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu.

Ameolewa kwa sasa, mara nyingi wanakuja kutembea Tanzania, hajawahi vunja ahadi ya kuniheshimu, amezificha kabisa hisia zake kwangu.

Nilijiunga na chuo ili nipate maarifa, sikutaka kuwaza starehe, nikaona bora nipate elimu mbali mbali. Pia niwe mbali na wanawake, niwe busy.

{Tangu nikiwa Germany, nimekuwa nikisoma vitu tofauti na career yangu, ninasoma kile ninachohitaji mimi na kupenda kukijua sio ili nikuze Career yangu. }

* **
Next
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.
View attachment 2598575
Analyse sijakuona kabisa humu ndani🙃 njoo ujifunze namna ya kufuraisha mashangazi yako
 
Dah
Nourhan ukiwa unapiga deki jisahau upige chafya ukisikia mwangwi ujue hapo sio😬😬😬
Jokes aside? wanawake mmekuwa na mapicha picha sana Yan unakuta mtu anapiga kelel halafu analia vibaya. Kuna demu nilimnyony ziwa akalia kama mbuzi meeeeee. Mwingine nilipima oil akapiga mruziii pyyuuuuu labda atakuw alivyonza. Ngoja nipate ushauri kwa moneytalk
! 😂😂😂🙌
Mzigo kama mzigo sio😷
Najua umeowa mngoni nawe ushakuwa mngoni 😄wanasema mngoni mpe pesa atafikisha Ila sio mke atamtafuna tu 😄
 
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning glory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

💓Your heart needs a pacemaker.
images.png
images (1).jpeg
 
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning grory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

💓Your heart needs a pacemaker.
View attachment 2599521View attachment 2599522
Ya leo haijanibamba au nitakuwa kafuasi ka shetani 😂
 
Ya leo haijanibamba au nitakuwa kafuasi ka shetani 😂
Gily njoo huku ameokoka 😁
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning grory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

💓Your heart needs a pacemaker.
View attachment 2599521View attachment 2599522
 
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning grory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

[emoji176]Your heart needs a pacemaker.
View attachment 2599521View attachment 2599522
Nimependa umeokoka ,,na umeokoka baada ya kukinai ,hapo utadumu kwenye wokovu ila hawa ambao bado kabisa waonjaji na walaji kuoka leo kesho kukengeuka
Binafsi nina amani zote nami pia kwa kuwa bado asilimia 20 wokovu wangu ukamilike ,,mwenyezi Mungu anisaidie
 
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.

Baada ya kusitisha uhusiano na Livia, na kwa kutambua kabisa nimesamehewa mara nyingi na Vio na Rose, nikaamua sitalala na mwanamke mwingine tofauti na mke wangu Rosemary na mchepuko wangu Violet.

Kila nilipopata tamaa ya ngono na mwanamke mwingine, nilikumbuka kovu la risasi nikaacha kabisa. Nikaamua kumpa ruhusa Violet akae na mimi pake hotelini, na awe anaenda kwa watoto mara moja moja. Akikaa wiki kwangu, kwa wototo wiki mbili. Maana mam yake nae alianza kuzeeka.

** **
Mwaka 2013 July, nilikutana na Pastor Quinton katika mizunguko ya kikazi, alikuwa mcheshi sana, anapenda waafrika aliwahi kuishi Nigeria . Tukawa marafiki akanikaribisha kwake.

Nilifurahi kukutana na Pastor, nikaamini kuna sababu ya yeye kunipenda ndani ya muda mfupi, nikakubali mwaliko kanisani kwake. Ni kanisa dogo tu, lina waumini wengi waafrika kutoka Ghana na Nigeria, na mataifa mengine pia, wazungu hawakuwa wengi sana.

Liko mtaa wa Vastra Hindbyvagen 18, Malmo, Sweden, ni umbali wa kilometa 5.5 kutoka Elite hotel sio zaidi ya dakika 20 kwa gari.

The Redeemed Christian Church of God, Restoration Assembly (Pentecostal church in Malmo)

{No Matter What You’re Good Enough
We believe life is not meant to be walked alone, but in a community where we look after one another.

We believe in Jesus. To live out his message means we care about the people and place where we live. We encourage each other to follow Jesus’ teachings and work together to make a positive difference in our city.
We’d love to have you join us.

Huyu pastor alitoka Sydney, Australia akaja Malmo kufungua hilo kanisa 2007 akiwa na mke wake na watoto wao wa nne.

Nilipokelewa kwa furaha sana na kanisa zima, nikashangaa maana sikuwa nafahamika ila wao hawakujali hilo, walinionyesha upendo wa ajabu mpaka machozi yakanitoka.

Niliongozwa Sala ya toba na Pastor Quinton mwenyewe , mpaka leo nayakumbuka yale maneno. Nikapewa karatasi ime- pritiwa hiyo sala, sio mchungaji anasema namfatisha.

Kanisa lote liko kimya, niko mbele ya kanisa zaidi ya watu 100. Nikaweka mkono wa kuume kwenye moyo na mkono wa kushoto nikainua juu, nikasogezewa mike nikiwa nimepiga magoti.

** **
Bwana Yesu,

Ninakiri kwamba mimi ni mwenye dhambi. Nimefanya mambo mengi ambayo hayakupendezi. Nimeishi maisha yangu kwa ajili yangu tu. Samahani, na ninatubu. Naomba unisamehe. Ninaamini kwamba ulikufa msalabani kwa ajili yangu, ili kuniokoa.

Ulifanya kile ambacho sikuweza kufanya kwa ajili yangu mwenyewe. Ninakuja kwako sasa na kukuomba uyatawale maisha yangu, nakupa wewe. Kuanzia leo na kuendelea, nisaidie kuishi kila siku kwa ajili yako na kwa njia inayokupendeza.

Yesu, ninaamini wewe ni Mwana wa Mungu, kwamba ulikufa msalabani ili kuniokoa kutoka kwa dhambi na kifo na kunirudisha kwa Baba.

Ninachagua sasa kugeuka kutoka kwa dhambi zangu, ubinafsi wangu, na kila sehemu ya maisha yangu ambayo haikupendezi wewe.

Nakuchagua wewe, ninajitoa kwako.

Ninapokea msamaha wako na kukuomba uchukue nafasi yako sahihi katika maisha yangu kama Mwokozi na kiongozi wangu. Njoo utawale moyoni mwangu, nijaze na upendo wako na maisha yako, na unisaidie kuwa mtu ambaye ana upendo wa kweli, mtu kama wewe.

Ninakupenda, baba, na ninakushukuru kwamba nitakaa nawe milele yote. Unirudishie furaha moyoni mwangu, Yesu. Ishi ndani yangu. Tenda kupitia mimi.

Asante Mungu, katika jina la Yesu ninaomba. Amina.

** ** **
Nikatambulishwa kwa heshima, karibia nusu ya kanisa walikuja kuni kumbatia na mabusu ya mashavuni . Kwa mara ya kwanza nikaona mwanga mpya maishani mwangu. Tango likatii, likaacha kushtuka kila likiona mwanamke mzuri.

Nilipata wasaa wa kuongea na mchungaji na mke wake baada ya ibada, kisha nikakaribishwa chakula kwake, akanitambulisha kwa familia yake.

Nikaomba appointment ili nimsimulie mapito yangu, aone namna ya kunisaidia.
Tulikubaliana atanipa nafasi baada ya ibada ya wiki ijayo.

July 21, 2013. Nilipata wasaa wa kumweleza mapito yangu yote bila kuacha hata nukta. Nakumbuka nilitumia masaa manne kujieleza, akawa ananirekodi, na kuna mengine anaandika kwa mkono kwenye diary yake.

Baada ya maongezi aliniombea, akaniomba nimpe muda wa maombi kisha atanijulisha tukutane anipe majibu. Moyo wangu ulijawa na furaha sana baada ya kuelezea history yangu.

Song: Our God.
Artist: Chris Tomlin
Album: And If Our God Is for Us...
Released: 2010
Genre: Christian

Water You turned into wine
Opened the eyes of the blind
There's no one like you
None like you

Into the darkness You shine
Out of the ashes we rise
There's No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Into the darkness you shining
Out of the ashes we Rise
No one like you
None like you

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

Our God is greater, our God is stronger
God You are higher than any other
Our God is Healer, awesome in power
Our God, Our God

And if Our God is for us, then who could ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
And if Our God is for us, then who can ever stop us?
And if our God is with us, then what can stand against?
Then what can stand against?
Then what can stand against?

** ** **

Baada ya wiki nzima, mchungaji alinijulisha nikaonane nae,

Pastor: "Bwana Yesu asifiwe ndugu Edson."
Edson: "Amina pastor."
Pastor: "Karibu sana."
Edson: "Asante sana pastor."
Pastor: "Kuanzia siku ile nimekuongoza sala ya toba, wewe umezaliwa upya, umesamehewa dhambi zote, haya tunayoongea leo ni kama hadithi tu."

Edson: "Amina pastor."

Pastor: " Familia yako iko wapi, umesema una wake wawili?"

Edson : "Ni kweli pastor, nina mke wa ndoa yuko Tanzanian, huyu tulifunga ndoa kanisani, mwingine ni mfin, hatujafunga ndoa, ila nilizaa nae kabla sijaona, nilishindwa kuachana nae, hatimae wakaelewana na mke wangu, ninaishi nao wote."

Pastor : "Ndoa ya pili inaweza kuonekana kama tendo la dhambi na wengine, lakini mtazamo huu haukubaliki kwa ulimwengu wote. Hata Biblia haikatai waziwazi kuoa tena; watu wengi hupata furaha katika ndoa zao za pili. Mungu atabariki ndoa ya pili ikiwa itafungwa kwa heshima, upendo, na uaminifu kwa kila mmoja."

Edson : " Nahitaji kujua nafanyaje maana najua maandiko yanasema usimuache mke wa ujana wako, huyu nimekuwa nae toka ujana wangu, nimepata mwanga mpya maishani nikiwa na umri huu, na tayari tuna watoto, natakiwa nifanyeje?. "

Pastor: "Mungu hakukusudia watu wasiofunga ndoa waishi pamoja kabla ya ndoa. Hii ni pamoja na kulala au kushiriki kitanda kimoja pamoja, kuishi pamoja wakiwa wamechumbiwa, au kuishi pamoja lakini bila kulala pamoja. Kwa sababu tu unapanga kufunga ndoa au ikiwa hamlali pamoja haimaanishi kuwa ni sawa.

Lakini jambo lako ni gumu, linahitaji hekima, ni ngumu kufuta kumbukumbu hiyo ili hali mna watoto, wale watoto ni uzao wa uzinzi sasa je itakuwaje, tunahitaji hekima na utu. Lakini kwa Yesu anayo majibu yote. "

Kutoka 21:10-11 "Mwanamume akioa mke wa pili, ni lazima aendelee kumpa mke wake wa kwanza kiasi kile kile cha chakula na mavazi na haki aliyokuwa nayo hapo awali." Hizi ni sheria za Musa kwa wana wa Israel. Na Yesu hakuja kutengua sheria zilizokuwepo, bali alizitimiliza.

1 Wakorintho 7 : Lakini kwa kuwa kuna uzinzi mwingi, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe. Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe, na vivyo hivyo mke kwa mumewe. Mwili wa mke si wake peke yake bali ni wa mumewe pia.

Waefeso 5:25 inasema, “Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake.

Kumkubali kwako mke wako bila masharti hakutegemei utendaji wake, bali ni thamani yake kama zawadi ya Mungu kwako. Ikiwa unataka kumpenda mke wako bila masharti, daima hakikisha kuwa tanki lake la hisia limejaa

Ushauri wangu kwako, tafuta uso wa Yesu, hakuna analoshindwa, huyu ni mke wa ujana ambae sio mkeo wa ndoa. Huwezi waua watoto wako ili kuisahau dhambi hiyo, kama utabaki na watoto, huna haki kibinadamu kumfukuza mama yao, ila kibiblia anapaswa kuachana nae. Tutafanya maombi, na wewe uwe na ratiba ya maombi kutafuta amani ya moyo ili ikuongoze kuachana na huyu violet.

Kwa kweli, hapa nilipewa mistari mingi sana, lakini tatizo likawa ni kumfukuza yule mwanamke na damu yangu. Nitakuwa nimetenda dhambi pia. Niliamua nitaendelea kuomba, na pastor aniombee, kama nikipata amani ya kumuacha nitafanya hivyo, ila kama sijapata amani moyoni niwatunze.

Pastor hakuchoka kuniombea, niliwapeleka familia yangu yote kwake (Rosemary, Violet, Edson Jr1, Eila, Elise, Elisa na Edson Jr2), wote wliokoka , wakabatizwa , tukaanza maisha ya furaha kama familia moja.

* *
Nilitumia kipindi hicho kuhudhuria kanisani, asubuhi naenda morning grory ndipo niende kazini. Pia nilitumia ujuzi wangu niliojifunza Ujerumani wa kupiga Kinanda, maana mpigaji waliekuwa nae alikuwa ni mwajiliwa mara Kadhaa husafiri.

[Nilisoma music najua kupiga vyombo mbali mbali vya musiki kwa ustadi wa hali ya juu kama vile, violin, drums, solo guitar , base guitar, keyboard nk.]

** * *
Ni katika kipindi hiki nilipata uwezo wa kufunga (fasting), nikagundua raha nyingine kiroho. Ukifunga unakuwa na uwezo wa kutiisha mwili, unajawa na amani, huruma, upendo nk.

Nilianza siku moja, hatimae tatu kavu, ikaja saba, tatu kavu na nne za kawaida, nikahamia 14, tatu kavu na 11 za kawaida.

Fasting yangu ya muda mrefu ni siku 21, tatu kavu 19 kawaida juice ya matunda na mboga na maji pekee kila saa 1 jioni mpaka kesho yake tena. Nilipata nguvu zaidi kiroho, nikayachukia maisha yaliyopita, nikachukia ngono. Hii sijaiacha kila mwaka lazima nifanye mara moja.

Song: Amadeo (Still My God)
Artist: Ryan Stevenson
Album: Wildest Dreams
Released: 2020
Genre: Christian

Songwriters: Bryan Fowler / Micah Darrel Kuiper / Ryan Stevenson

Life can take our breath away
Tragedy can leave a wake
A broken heart won't ever beat the same
Pain can stop us in our tracks
Losing what we can't get back
Shaking the foundations of our faith

No matter what's in my way
No matter the battles I face

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God
You're still my God

The questions keep us in the fight
The answer's never black or white
We may not know until the other side
But even in this in-between
We fix our eyes on what's unseen
The shadows never overcome the light

No matter what's in my way
I know that You won't ever change

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe

You are still my God
You're still my rock
My only hope Lord, You're all I've got
In every valley or mountaintop
I'll say hallelujah
You're still my God

You're still my hope
You're still my peace
You're still my joy
You're all I need (You're still my God)
You're still my strength
When I am weak
You're still my God
I still believe (You're still my God)

You're still my God

* **
Next

Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

[emoji176]Your heart needs a pacemaker.
View attachment 2599521View attachment 2599522
Ndugu leadermoe una kitu cha kuibadili jamii , nimeipenda historia yako hasa hapa mwishoni
 
Back
Top Bottom