Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

moneytalk
Anziia sehemu ya 28 jamaa kamwita mwenzake darling
ngoja nikaongeze siku zakuishi mie
 
moneytalk
Anziia sehemu ya 28 jamaa kamwita mwenzake darling
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anamuuliza kwanini unaniita darling,unanijua
 
Katika sehemu ulizozitaja kuzitembelea kwa shughuli za madini, mkoa wa Mara umetaja sehemu nyingi zaidi. I'm curious to know why!
Mkoa wa mara unapakana na nchi ya kenya, Alfred alikuwa anatumia mpaka wa sirari kuvuka.

Alikuwa na connect kubwa na wadau wa madini mkoa huo, ndio sababu ya sisi kuuzunguka sana.

Pia ni mkoa wenye machimbo rasmi na yasiyo rasmi kwa wingi, upatikanaji wa dhahabu zinazo toroshewa kenya ni mkubwa sana.

Namanga walikuwa makini mno, ila sirari ilikuwa nafuu sana.
 
Kumbe shangazi Antonnia uko kwenye story hii
Acha uchokozi mkuu.
Antonnia ni mke wa mtu, ni shemeji yangu, usisumbue hisia zake tafadhari. 😂

Umeona umvae huyo? Yule ni wakishimundu kule hakuna maendeleo, tena ndugu yako Alfred alijiona mjanja akaenda kula chuma South.

Nina RB na chagga nature wote, nanza
na wewe😂😂😂🏃🏃🏃
 
Aisee umetisha,,ila watani zangu wachaga mmesemwa huku hamjui mambo [emoji23][emoji23][emoji23]
Dada zake Gily wana cute face ila sasa💤

Kuna mmoja yuko Arusha pale stand ndogo, shape Nikki Minaji, anachapa kichaga sana ila kwenye shape kila mtu anamwambia hiyo sio mbegu ya chaggas, itakuwa mama alichepuka. 😂🤣

Gily habari yako mkuu, umewapa kuku pumba?
 
Dada zake Gily wana cute face ila sasa💤

Kuna mmoja yuko Arusha pale stand ndogo, shape Nikki Minaji, anachapa kichaga sana ila kwenye shape kila mtu anamwambia hiyo sio mbegu ya chaggas, itakuwa mama alichepuka. 😂🤣

Gily habari yako mkuu, umewapa kuku pumba?
Wanawake wa kichaga wana kila shape unazozitaka duniani ndio maana ukafa ukaoza kwa Antonnia 😀 ukahonga na laki tatu😀

Kuku wameshapata na futari kabisa 😀 naona waasubiri daku. .
 
Back
Top Bottom