Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Hapa ndio mtihani wanaume mmewekea niamini asiependa papuchi ana kisukari maana wengi nguvu hufa za kiume na hawachi hata kama ataenda gusa gusa tu ili mradi tu amwagilie moyo

Ni kweli wanaume wamepewa mtihani sana wana vishawishi anae viepuka mwenye ugonjwa wa kisukari maana wengi nguvu hufa za kiume na wengine hawachi hata kama mtalimbo umelala yoo 😁raha yake aonekane kidume 😁anawapanga tu hata kama atawashika shika 😁
There is something called Lust. I remember when I was a ministrant at Cathilic church there was a Padre named Jumanne. He said you me " Gilbert, in your life you have to different between raha (pleasure) and furaha (happiness). Please is short lived, while happiness is last longer 🙂🙂

Unajua msemo wa mwanaume ni mbwa ni kwa sababu mbwa ana tamaa sana. Mbwa anaweza kukusaliti akiona jike kwa jirani.🤣🤣 they say women are cats bse cats tend to be loyal. I wonder tho if all these are true🤣🤣🤣
 
Part Fifteen A : I hate to see you suffer from my bad behavior.

💓Your heart needs a pacemaker.

Feb 6, 2020

Nilipata matatizo ya kiafya, nikaenda kufanyiwa uchunguzi , ikaoneka nima shida ya moyo, nikaambiwa niende kufanyiwa huchunguzi wa kina uturuki au india.

Tuliamua kwenda Uturuki baada ya kuambiwa kuna hospital nzuri, Hii hospital inaitwa VM Medical Park Florya Hospital Istanbul, Turkey nikaanza safari ya tukafuta ufumbuzi wa tatizo nikiwa bega kwa bega na Violet, hakuniacha hata sekunde.

Tulipata appointment ya kuonana na Prof. Dr. Hakan Ucar, specialist Cardiology, and Cardiovascular Surgeon. Consultation pekee kwake ni 120 usd.

Baada ya taratibu zote na uchunguzi ikabainika nina tatizo la moyo linajulikana kama tachycardia, (abnormally fast heartbeat). Nikashauriwa niwekewe pacemaker.

Bei ya Pacemakers kawaida huanzia $19,000 hadi $96,000. Gharama pia itajumuisha ada za kupandikiza, x- ray, au vipimo vingine vya picha ambavyo vinaweza kuhitajika kabla na baada ya utaratibu, pamoja na ziara za kufuatilia na marekebisho yoyote yanayohitaji kufanywa.

Ni matibabu yaliyonigharimu pesa nyingi sana, sikuona shida, nilizitafuta za kazi gani kama nisipozitumia?. Violet akasema nisijiguse, atagharamikia matibabu yangu kama asante ya kumuokoa na wazazi wake, pia kumfanya aitwe mama, hakutaka nitoe hata mia mbovu mfukoni kwangu.

Hiki kipindi nilikuwa nikimwangalia machozi yanashuka, nikikumbuka ujinga wote nimemfanyia lakini ni kama tumejuana jana, nilijiona mkosaji sana kwake, simpi heshima anyostahiri.

Rosemary pia alikuwepo hapo hospital, walinihudumia kwa upendo, huwezi jua nani mke wa ndoa na nani mchepuko. Mchungaji aliendelea kututia moyo kila siku lazima apige simu aniombee na kuongea na Violet na Rosemary.

Nikapewa briefing kuhusu matibabu yangu.

Dr. Feriha : "A pacemaker is a small battery device. It sends electrical signals to the heart. It keeps your heart rate steady. Thin wires, called leads, carry the signals between the pacemaker and the heart.This apparatus is also known as a pacer.

You will receive medicines before surgery. This helps you to unwind and prevent pain.

The doctors will cut the skin just beneath your collarbone. The cut can come from either side of your chest. The doctor will place the pacemaker through the cutoff. The leads go into a large blood vessel in the upper chest. Then the doctors will guide the conductors across the blood vessel in the heart.

The doctors will place the pacemaker under the skin of your chest. He or she will tie the threads to the pacemaker. Then the cup will be closed with sutures.

The process typically takes approximately one hour. You are likely to return home on the same day.

Pacemakers typically have batteries that last 5 years or longer. The doctors will tell you how often you must have your pacemaker and battery checked.

You can likely return to many of your normal activities after your procedure. But to stay safe, you may need to make some changes in your normal routine.

You may be worried about having a pacemaker. It's a regular occurrence. You could feel better if you learn the skills to help you relax. And it might help if you find out how the pacemaker helps your heart. Discuss your questions and concerns with your health care provider.

Aftercare is a key element in your treatment and safety. Make sure you attend every appointment, and call your doctor if you have any problems. It's also a good idea to get your test results and keep a list of the drugs you are taking."

[ Haya ni maelezo nilipewa na Dr. Feriha, mmoja kati ya ma Dr. warembo kupata kunihudumia, alikuwa na hips za hatari sana.]

Doctor : " Follow the instructions to know when to stop eating and drinking. If not, your surgery may be cancelled. If your doctor told you to take your medications the day of the procedure, take them with just one sip of water."

I had to follow my doctor's instructions about when to bathe or shower before my procedure. Furthermore, they told me not to apply lotions, scents or deodorants. And I was supposed to take away all the jewellery and piercing. And take off contact lenses, if I wear them.

They asked me if I would rather be at ease and safe in an anesthesiologist. I can obtain medications that relax me or put me into a light sleep. I chose to get a drug that relaxes me so that I could look, I was allowed to look through a big screen. The surgery took one hour.

* **
Nikaanza maisha nikiwa na pecemaker kifuani, Violet alipambana mpaka Rosemary akaniambia ningepata dhambi kama ningekataa kumrudia, alionyesha mapenzi ya dhati kwangu.

Walinipatia kadi maarum, niwe nayo kila ninaposafiri kwa ndege. Natakiwa kuionyesha kwa uongozi wa uwanja husika ili nisipite kwenye scanners.

Tulipotoka hospitali, tulikaa wote nyumba ya Violeth, watoto walikuwa kwa bibi yao. Walihamishwa ili nipate utulivyo, tuweze kuyajenga upya. Kwa kweli kwa walichonifanyia, nafsi ilinisuta, nikaamua kutubu kwa mabaya niliyowafanyia. Niliamua kusema yote hata yale niliyokataa

* **
Baada ya siku tatu toka nimetoka hospitali, nilwaomba tuongee, lengo nitubu kwao kwa mabaya niliyowafanyia.

Honey, Rosemary and Violet. Sometimes no word can properly express the depth of a person's feelings that suffer from regret, guilt and sorrow for the wrong done. It's my problem now because I hurt you so much when you trusted me.

I mean, I'm sorry a thousand times, but I know my forgiveness can't undo what's been done or relieve the pain in your hearts. To cheat on you is an unpardonable sin. I fully deserve all the anger and hatred from you for what I have done to you.

But it also hurts me to see you suffer from my bad behavior. Guilt burns in my heart when I think about all the pain you endured because of my neglect. Every time I think about you, I get upset because I can imagine all the tears of pain you had to shed when you learned about my recklessness.

I feel that way because I still have love in my heart for you. Otherwise, I would completely ignore it and move on. But I don't want this relationship to end. You're still important to me, and I love you with all my heart. I truly want you to be happy again and I'm still a part of your life.

Well, a mistake is a mistake. I know I can't ask you anything when I've foolishly betrayed your trust in me. But if you can find it in your hearts to forgive me and give me another chance to prove to you how much I love you, I will surely be very relieved. Because that would mean I still have a chance to love you and appreciate you the way you deserve. and a chance to make your future life happier with more laughs and less crying.

Finally, I would like to express my confidence in my love for you. I am confident that we will get through the bad habits and make our relationship better than before. Give me another opportunity and I am confident that one day we'll look back and be happy that we have not strayed from each other. I still love you, nothing I can say will comfort you, and I am deeply sorry for the pain I have caused.

Leo napenda nikili mbele yenu, nikiwa nafanya biashara ya madini niliwahi tembea na mwanamke mmoja tulikutana safari mbeya, baada ya hiyo siku hatukukutana tena, naomba mnisamehe sana kwa usaliti huo.

Nilipoenda Ethiopia, nililala na mwanamke mwingine, japo Violet alinituhumu san ila nilikataa kusema ukweli, sioni sababu ya kueelea kukataa, nahitaji amani moyoni, naomba mnisamehe sana kwa usaliti huo.

Nikiwa ujerumani nilizaa na mwanamke mwingine, japo hamkufanikiwa kujua hili, ila naomba leo mtambue nina mtoto wa kiume ujerumani, najutia makosa yangu.

Siku nimepigwa risasi Sweden, chanzo alikuwa ni mwanake, najua niliwadanganya, lakini nahitaji msahama wenu ndio maana nakili ujinga wangu niliowafanyia.

I know now that I was blind without knowing that I already have the best wife.You are more than I could have dreamed, and I want to spend the rest of our lives together. chose the wrong path and because of that, I have caused you a lot of pain. I'm sorry from the bottom of my heart for ruining the good life we had together.

Rosemary : " All this time, I somehow blamed myself for the way you behaved. Maybe I couldn't get myself to believe that it wasn't me who was causing the problems... it was you all the time.

Love made me not see the fact that you were taking advantage of my ignorance. I find the strength to realize that it wasn't my fault that you lied to me. Despite all you've done, I respect the love I had for you, and I always will.

It is a part of me that I will never want to erase. I have forgiven you. I don't know what's harder, forgiving you or forgetting what you've done… I think I'll be numb from the inside, hoping that life will pass and the dust settles, we're still standing together hand in hand. I love you Edson. "

" I have forgiven you. I forgive you, not because I'm okay with what you did… but because letting hate ruin the memory would be an insult to my commitment to putting a smile on your face. Forgiveness does not have to be complete.

Just because you're ready to let go of the pain, doesn't mean you have to be okay with what happened. It just means that you are mature enough to stop the pain…' With these thoughts, I forgive you. But don't mistake my maturity for weakness. My forgiveness is not my weakness. It is my power to see the greater good that lies in letting go of the past for the better of you, me and all that matters most."

Violet : " Forgiveness is a conscious choice to let go of disappointment and embrace hope. I do it today, I forgive you. I'm not mad at you, I'm sorry to see you become someone I never thought you would be. Maybe it's time to move on... I'm sorry. Giving a second chance is better than regretting later that you didn't. And for those thoughts, I forgive you, hoping that this second chance will heal the wounds.

You are my first love and the most important person in my life. You are the perfect person and you are everything I need in a husband. But for the sake of our children, I hope we can find a way to resolve this so we can keep our family together. No matter what, deep down I know that you love me and I love you… and nothing else matters, I forgive you Edson .

Edson : "Nashukuru sana kwa wote kunisamehe, hii inaonyesha upendo mlionao kwangu, naahidi kwa mume bora tangu sasa."

Rosemary : " una mpango gani na huyo mtoto wa ujerumani.?"

Edson : " Najua nilifanya ujinga, naomba mkubali kumpokea katika familia yetu, tafadhali hili ni ombi pekee toka kwangu."

Rosemary: " Mtoto ni damu yako, anakaribishwa wakati wowote, lakini tambua una watoto wakubwa, tafuta namna watampokea bila migogoro kwenye familia hii. Kuhusu mama yake hatutaki kumsikia hapa, mlisha zaa yameisha, sisi tunapokea mtoto pekee. "

Violet: " Mwanaume ni kiumbe wa ajabu, mpaka na mtoto ulizaa ujerumani na mimi nilikuwa nakuja mara kwa mara huko. Sema leo watoto wote uliozaa nje, yawezekana kuna wengi zaidi. "

Edson : " Nawashukuru kwa kumpokea mtoto, mama yake ameolewa, hamtamuona wala kumsikia. Kuhusu watoto wengine sina, ni huyo tu wa ujerumani. "

Rosemary : " Kwa umri huu, hakuna haja ya kujiumiza, sikutaka mashindano japo niligundua usaliti wako mapema tu. Sitaki kuvuruga familia yangu Edson, tafadhali pumzika sasa baba, nilikuruhusu uwe na Violet kwa maana niliona mnapendana sana, sio rahisi kwa machungu niliyopata mpaka kufikia uamuzi ule, sikutaka kukupoteza Edson, na sitataka nikupoteze, Nakupenda Edson, acha kuumiza moyo wangu. "

Edson : " Sorry Rosemary, natambua uliumia sana mpaka kufikia uamuzi ule, ukweli ni kwamba kukosa kwangu msimamo mwanzo wa uhusiano wetu, ndio chanzo cha haya yote. Nilikupenda nikampenda8 na Violet bila kujua mwisho utakuwaje. Hatimae nikashindwa kubaki na mmoja, wote ni wa thamani sana kwangu. Asante sana mke wangu kwa kutambua kuwa sina uwezo wa kuachana na Violet, Asante kwa uniruhusu kuishi nae. "

Violet : " Asante sana ndogo wangu, pole kwa machungu niliyokusababishia, sikupenda kuingilia ndoa yako, nilijaribu sana kuachana na Edson lakini nikashindwa kabisa, nilianza kuwa mlevi na malaya ili tu nimsahau lakini sikuweza, nilitembea na wanaume wawili baada ya Edson lakini wote hawakunisahaulisha, kila mara naiona picha yake kichwani mwangu.

Baada ya kufanikiwa kumpata tena, nikajitahidi nisikukwaze, nikashindwa kutokana na kumpenda sana Edson, nafsi yangu ilinisuta ndio maana niliamua kuwachukua watoto wako ili angalau usinichukie.

Nisamehe mdogo wangu, hatujui nani alianza lakini wewe una haki kwa vile ulipata ndoa, nampenda Edson ndio maana mpaka leo niko hapa. Nashukuru kwa kunionea huruma na kukubali kushea mume wako, ndio maana nakupenda na kukuheshimu sana Rosemary, umenifundisha utu na uvumilivu, asante sana Rosemary. "

Rosemary : " ondoa shaka dada, nilikubali baada ya kuona hamuwezi kuachana, nashukuru sana kwa kuwatunza na kuwasomesha wanangu, tumtunze huyu baba alietuchanganya, najua mwanaume halindwi, pamoja na kumruhusu kwako lakini bado amezalisha na wengine, tutafute amani ya moyo, mapenzi hayana mwenyewe. Leo tuko wote kesho anatuacha anachukua wengine, hakuna haja ya kuchukiana. "

Violet : " Kweli Rose una moyo wa kipekee sana. Nakuahidi mbele ya Edson, watoto wetu watamiliki mali zote kwa usawa, hakuna atakae mzidi mwingine. Nataka usijutie kwa maamuzi yako, asilimia 50 ya mali zote nakupa kwa ajili ya watoto wako na mimi nabaki na asilimia 50 kwa ajili ya watoto wangu. Edson naomba uzingatie hilo kama kiongozi wa familia tafadhali sana nakuomba. "

Edson : " Nimefurahi sana kuona mmeridhiana kwa upendo sana, Nawashukuru sana, tujenge famila bora, nyinyi msipo wayumbisha watoto kwa maneno ya ubinafsi watakuwa na umoja. Naomba tusiangalie mali, tuangalie utu kwanza, mali zinatafutwa. Kuhusu mgawanyo wa mali, msijali kila mmoja atapata haki yake. "

Tulifanikiwa kukubaliana kwa mambo mengi sana, kila mtu alilidhia kwa upendo. Kuhusu ndoa na Violet tulikubaliana tusiongeze mikanganyiko mbele ya watoto, tuliandaa waraka wa kumtambua Violet kama mke wangu, na haki zake zote, tukasaini wote watatu. Tayari Rosemary na Violet walikuwa ameaminiana, hakukuwa na haja ya kisheria.

[Rosemary alikubali ku-share mume wake na Violet, na Violet alijibu kwa kukubali ku-share mali zake na Rosemary . Nilibaki kuwa msimamizi tu wa huu muunganiko wao, maamuzi yote walifanya wenyewe.]

Niliambiwa nikifikisha mika 50, sitakuwa na ruhusa ya kufanya kazi tena mbali nao. Pia tulianza ujenzi wa nyumba ya Violet Kigamboni na ya Rosemary Njiro. Japo walikubali tuishi pamoja lakini mimi niliwaomba kila mmoja akae kwake, awe huru kwake, kupunguza maneno na wivu.

Next today
Part Fifteen B: I hate to see you suffer from my bad behavior.

👋Farewell Tatiana,
View attachment 2600363View attachment 2600366View attachment 2600378
Missy Gf

moneytalk

Half american

Watu8

baby zu

Depal

Kalpana

Lovelovie

Binadamu Mtakatifu

Lloyd Munroe

mshamba_hachekwi

moneytalk

Dahan

Johnnie Walker

Leejay49

am 4 real

Shunie

Numbisa

Bantu Lady

charlote

Kalpana

Luv

masai dada

Litro

Edmund

Nima Imma
 
Part Fifteen B: I hate to see you suffer from my bad behavior.

👋Farewell Tatiana,

June 4,2020

Napokea taarifa ya kifo cha mama Violet (Tatiana), alifariki kifo cha kawaida tu kutokana na uzee, alikuwa na miaka 68.

Nilifanya utaratibu wa kwenda msibani, niliongozana na mke wangu Rosemary . Tulimaliza msiba salama, ikabidi kufanya kikao kama familia kujua tunasongaje mbele.

Nilisimama kama kiongozi wa familia, kwa vile ni mwanaume, pia kwa umri namzidi Rose na Violet, pia baada ya kifo cha baba Violet (mr. Collins ), Miongoni mwa yale mafile aliagiza nipewe kulikuwa na maelekezo ya kuwa kiongozi wa familia ile. Hata mama Violet (Tatiana ) alinisisitiza hilo kipindi tulifanya kikao baada ya kifo cha mmewe.

Tulikubaliana kuishi kulingana na misingi tulio achiwa na wazazi wetu.

Edson : "Poleni kwa msiba, sisi tumepoteza mama na watoto wamepoteza bibi, tunapaswa kumshukuru Mungu maana hawezi kutupa mtihani ambao hatuwezi kuumudu.

Katika maisha yetu tumepoteza wapendwa wetu, tuliwapenda sana lakini Mungu aliona wamemaliza kazi aliyowapa hivyo akawachukua, Mzee Anthony, Mzee Collins, Mama (Antonia), Mama (Tatiana).

Pia tufanye lililo jema ili kukamilisha safari yetu sisi tuliobaki, ili wapendwa wetu wafurahie kile walichopandikizwa ndani yetu"

[Mtu hafi, mwili huoza, mtu hurudi kwa muumba wake kusubiri siku ya hukumu. Kwa sababu mtu si mwili, mtu ni nafsi ya ndani.]

"Violet nakushukuru sana, tumeshirikiana vyema katika matatizo na misukosuko, hakuna siku ulituacha, hata ulipopata sababu ya kuondoka lakini ulichagua kubaki nasi, asante sana kwa wema wako.

Rosemary pia nakushukuru sana kwa uvumilivu wako mchango wako mkubwa kwa familia hii, umetoa ushirikiano mkubwa. Hongera kwa moyo ulionao. "

Edson Jr1, Asante kwa mchango wako wa kumsaidia mama yako, wewe ni hodari na jasiri, familia hii haitaanguka kamwe. Wewe ndiye kaka mkubwa na mkuu wa wenzako, wewe ndiye msingi wa familia hii. Jengo salama na imara inategemea ubora wa msingi.

Unapaswa kuwa kaka mzuri ili tujivunie mafanikio yako. Umemaliza shahada yako ya uzamili, ni wakati wako wa kuwatunza wadogo zako. Fanya kazi kwa bidii na kila wakati mtangulize Mungu, waongoze vyema wenzako.

Eila, Nashukuru kwa mchango wako katika familia, umekuwa msaada mkubwa kwa mama yako, wewe ni kuta zinazowalinda ndugu zako, kamwe wasipate nyufa. Wewe ni binti mkubwa sasa, umemaliza masomo. . Ni wakati wako wa kuwaangalia wadogo zako, na kuwaongoza vyema. Usisahau hata siku moja yale ambayo wazazi wako walikufundisha."

Elisa, Nakushukuru kwa mchango wako kwa familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako. Wewe ni madirisha ya familia hii, ukifunga wanakosa hewa safi na mwanga ndani ya nyumba. Siku zote tambua kuwa hawa ni kaka na dada zako, nataka ushirikiano na heshima kutoka kwenu nyote. Unamaliza masomo yako, jiandae kutumia ulichonacho kuwasaidia ndugu zako."

Elise, Nakushukuru kwa mchango wako katika familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako, wewe ni paa katika familia hii, usikubali ndugu zako wakutane na hali mbaya ya hewa, hakuna mafanikio katika maisha bila ushirikiano. Ukikumbana na tatizo ndugu zako ndio wajue kwanza. Heshimu kila mtu, mdogo au mkubwa.

Edson Jr2, Nakushukuru kwa mchango wako katika familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako, wewe ni nguzo katika familia hii, ukianguka msingi, kuta, madirisha na paa vyote vitaanguka. ndio wa mwisho katika familia hii, maana yake unatakiwa kuwashikilia ndugu za wasianguke.

Shirikiana na ndugu zako, jifunze mambo mazuri ya ndugu zako, jitahidi katika masomo yako utafanikiwa.

Asante kwa kunisikiliza, naomba mchangie

Violet : "Tunakushukuru sana baba, umetuongoza vyema mpaka sasa. Tumeshirikiana kwa kila jambo, na kwa upendo, sina ndugu ila wewe na familia yangu tu. Asante kwa kushiriki msiba wa mama yangu, na msiba wa baba yangu. Naipenda sana familia yangu. Edson, nakushukuru kwa kunifariji na kunishauri, hakika una moyo wa kipekee sana.

Hukati tamaa, huchukii, huwa unashauri kwa upendo. Natamani hawa watoto wetu wawe na moyo kama huu wako. Mdogo wangu Rosemary nakushukuru sana kwa upendo uliouonyesha. Hakika nimejifunza kitu muhimu sana kutoka kwako. Nakupenda sana, tuna wajibu wa kumtunza Edson, tulipewa kama zawadi ya kutuonyesha njia iliyonyooka.

Rosemary : " Asante baba na asante sana dada Violet , nashindwa hata niseme nini maana umemaliza kila kitu, nilipokutana na huyu mwanaume nikaona ni kana kwamba nilikutana na malaika nikiwa na matatizo. hajawahi kubadilika tangu hapo Mungu ana sababu zake za kujiunga na familia hii tupendane zaidi tuzidi kumuombea huyu baba atuongoze vizuri."

Edson : " Asante Rosemary na Violet, nyie ni wa maana sana kwangu. Tuendelee kusaidiana, nawapenda sana. Ngoja tumalizane na watoto, Nyie leo hamuongei?"

Edson Jr 1 : " Tulisubiri umalize kuongea baba, asante kwa ujumbe wako umenigusa naahidi nitafuata nyayo zako, wadogo zangu wako kwenye mikono salama nitawaongoza vyema kabisa. Asante mama zangu mnatufundisha kitu cha maana sana nawapenda sana.

Eila : " Asante wazazi wangu, nitafanya kile mlichonifundisha kwa hakika. Nawapenda sana."

Elisa : "Asante wazazi wangu, nitashirikiana na wenzangu kufanyia kazi ushauri na maagizo yako baba, asanteni sana."

Elise : "Asante mama na baba, naahidi sitawaangusha. Nawapenda sana."

Edson Jr2: "Asante, Baba. Ulichojenga kitaendelea kuwa na nguvu. Nakupenda sana. Nitafata maagizo yako yote, Asante sana mama zangu, nawapenda."

** ** **
Nakabidhi majukumu kwa kila mmoja wetu, watoto ni wakati wenu kufanya kazi na kujifunza tukiwa bado tuna nguvu, ili tuwakosoe mnapokosea.

Mali zote za familia zinakuwa mikononi mwenu, sitaki ubinafsi maana nyie ni ndugu, hakuna mwenye haki kuliko mwingine hapa. Mmepata akili mkakuta nasimamia hizi mali bila upendeleo, Violet na Rosemary wote ni mama kwenu, hakuna mama mwenye haki kuzidi mwenzake hapa, na nyinyi pia hakuna mwenye haki kuzidi mwingine.

Atakaeleta ubinafsi atajibu kwangu moja kwa moja, sitakuwa na msamaha kwa mkorofi baada ya haya maelekezo yangu.

Mnapewa jukumu la kusimamia mali sio kumiliki, umiliki unabaki kuwa wa familia. Sisi kama wazazi tutakuwepo kuwasimamia.

**********
Baada ya kumaliza msiba na kukabidhiana majukumu, niliona sio mbaya tutafute chimbo moja, tutulie tupange yajayo. Pia nilitaka kumfariji Violet ili tukiondoka na Rosemary awe amekaa normal.

Katika upekuzi nikapata kijiji kimoja kizuri sana, nikawashirikisha maua yangu, wote wakaunga ukono.

Tulienda kutoa ushamba Sehemu Ina julikana kama Santa Claus Holiday Village. Kiko katikati mwa Kijiji cha Santa Claus, kilomita 10 kaskazini mwa Rovaniemi.

Tulifurahia kuteleza na kupanda milima iliyo karibu. Chakula cha kupendeza sana na cha kimataifa kinatolewa Christmas House Restaurant & Coffee.

Ni Mgahawa mkubwa na mzuri sana. Ni mwendo wa kama dakika 5 hivi kwenda uwanja wa ndege wa Rovaniemi.

Tulikaa Rovaniemi kwa wiki tatu, Tulifanikiwa kutembelea mitaa kadhaa nikiwa mimi na maua yangu. Kisha tukarudi jiji letu la joto.

***********

Next

Final Part A: Where youth meets old age.
✍️LP: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

View attachment 2600401View attachment 2600402View attachment 2600403
Missy Gf
moneytalk
Half american
Watu8
baby zu
Depal
Kalpana
Lovelovie
Binadamu Mtakatifu
Lloyd Munroe
mshamba_hachekwi
moneytalk
Dahan
Johnnie Walker
Leejay49
am 4 real
Shunie
Numbisa
Bantu Lady
charlote
Kalpana
Luv
masai dada
Litro Ubarn
Edmund
Nima Imma
 
Final Part : Where youth meets old age.

Watoto wa kaka Edwin na Edith.

Catherine ni Dr. Bingwa wa watoto yuko Namibia, ameolewa na Mtanzania mwenzake nae ni Dr. huko Namibia, wana watoto watatu sasa.

Careen alipenda kuwa kama baba yake, kwa sasa ni captain yuko pale Air wings, ukonga. Aliolewa na mkurya mmoja, japo walishindwana wakaachana, wamepata mtoto mmoja.

Charles yuko ujerumani, nilimuunganisha na Isabella akamtafutia kazi kwenye campuni yao , kwa sasa anafanya biashara zake na ameoa mjerumani, wana watoto wawili. Anaishi na Edson Jr3.

Caressa alianzia kazi Finland, Violet alimtafutia kazi shirika binafsi. Kwa sasa ameolewa wakahamia Serbia, ana mtoto mmoja.

Niliwapambania kama malipo ya fadhira kwa kaka yangu na shemeji yangu, walinitafutia na mimi kazi kule Ethiopia.

* *

Sina ukoo, babu alifariki baba akiwa mdogo, alilelewa na rafiki tu wa baba, ndio maana hatukuwajua ndugu wa upande wa baba. Ndugu nilionao ni wale wa upande wa mama, mama alikuwa na kaka yake (Paul), huyu ana watoto sita, ndio tuko ukoo wa mama.

Watoto wake mjomba niliwatafutia kazi kadri ya uhitaji wa kila mmoja, wa biashara niliwawezesha, wote wanaishi maisha yao mazuri tu. Japo kuna ka binamu kangu karembo kalitaka kuniingiza mkenge kabla ya kifo cha mama, nashukuru nilimkemea huyo pepo akaondoka, tukabaki tunaheshimiana sana.

Sijui asili ya kabila langu, naweza sema sijui mimi ni kabila gani, ila nilijitahidi kujifunza lugha mbali mbali za makabila niliyofanikiwa kuishi nayo, nazungumza vizuri Kihaya, kikurya, kisukuma, kimasai, kimeru na kingoni. Pia nasikia baadhi ya lugha ila kujibu ni mtihani kama vile kijita, kihehe, kichaga, kipare, hapa ukiniteta najua ila siyo maeno yote na kujibu siwezi.

* **

Education

Twins: Edson Jr 1 & Eila, Sept 28, 1999

2006-2014: Comprehensive school education Primary & Secondary .

2014 - 2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019: 2 yrs, credit 120. Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

* *

Eila Edson.
2006- 2014:Comprehensive school education (Primary & Secondary).

2014-2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science.

2017-2019: 2 yrs, credit 120, Masters of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science

* **

Elisa Edson, Jan 2 2000
2007 - 2015: Comprehensive school education

2015 - 2018: Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

2018-2020: Master's Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

* **
Elise Edson. June 12, 2003
2010 - 2018: Comprehensive school education

2018 - 2021: Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences

2021-2023: Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences.

* **
Edson Jr2, April 22 2005
2012 - 2020: Comprehensive school education

2021 - ongoing: Bachelor in Finance, University of Oulu

* **
Edson Jr3 August 8,2009
2016 - ongoing : Comprehensive school education.

* **

Rosemary Edson .
Bachelor of Business Administration in International Business. UDSM

* **
Violet Edson
Bachelor Programme in Business, Information Technology. LUT University.

* **
Edson Anthony.
1982 - 1989: Certificate in Primary education. Misufini - Songea, Kitete- Iringa and Sanawari- Arusha.

1990 - 1993: Certificate in Secondary education. Songea boys - Ruvuma.

1994 - 1995: Certificate in Advance Secondary education. Ilboru high school - Arusha.

1996 - 1998: 'Bachelor of Arts Economics and Statistics. UDSM

2009 - 2011 : Bachelor in Audio Engineering, SAE Institute , Munich, Germany

2013 - 2015 : Bachelor in Chamber Music. Malardalen University, Vasteras, Sweden

2016-2018 : Bachelor of Theology and psychology. Evangelical seminary, Finland

Language proficiency: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

Local languages: Kiswahili, kiganda, Kingoni,, Kimasai, kimeru, kipare na kikurya kiasi.

** * *

Distribution of property.
Electronics company. {Finland}
Edson Jr1 20% as MD, Edson Jr2 20% as ED, Elise 10% as ED, Elisa 10% as FD, Eila 10% as ED and Parents 30% as Board managers

Beef company {Finland}
Edson Jr1 20% as ED, Edson Jr2 20% as MD
Eila 10% as FD, Elise 10% as ED, Elisa 10% as ED, and Parents 30% as Board managers

Accountability.
Electronics company: Edson Jr 1, Elise and
Edson Jr 2

Beef company, Elisa and Eila

Tourism company {Tanzania}
Rosemary 50% shares with her kids and Violet 50% shares with her kids.

Hotel {Arusha}
Edson Jr3 60% shares
Rosemary 20% shares with her kids and Violet 20% shares with her kids.

Arusha shops: Rosemary 100% shares.
Dar shops: Violet 100%

Tenant houses {Sakina & Njiro}
Rosemary 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Tenant houses {Kigamboni & Tabata}
Violet 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Residential house. {Sakina}
Rosemary 100% shares with her kids.

Residential house. {Kigamboni}
Violet 100% shares with her kids.

** **

UJUMBE MHIMU:
Waebrania 13:2
Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

Malaika wangu ni Mr Collins na familia yake.
* *

I don't regret it
The things I don't regret in my life is the decisions I've made for refusing to move to Finland, marrying Rosemary and stay with Violet.
* **

Regrets
# I regret
Not taking the first decisions regarding my relationship with Violet, and Rosemary. This situation led me to a crisis in my faith.
* **

# I regret
Mwaka juzi nilimsaidia wanafunzi wa chuo cha Udom, anaitwa Aisha. Alikuwa amefiwa na baba yake, akawa anatatuta usafiri wa kufika kwao Mtwara, hakuwa na pesa ikabidi amuombe boyfriend wake ambae sio mwanafunzi, wakakubalia wakutane Stand ya mkoa ili ampe nauli aondoke, yule dada alikaa pale stand toka saa 6 mchana mpaka saa 9.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya Dar, nikasimama hapo stand kuchukua mafuta, nikakutana na friend of mine, tukiwa tunaongea, huyo Aisha akaja tulipokuwa, akasalimia vizuri, akasema shida yake. Yule jamaa yangu akaniambia hawa ni malaya wa hapa mjini achana nao. Kweli nilimjibu yule Aisha kuwa sina cha kumsaidia. Akashukuru na kuondoka.

Masaa mawili baadae nikiwa naanza safari, nikamuona Aisha jirani na nane nane petrol station amekaa pembeni na begi lake. Nikasimama, nikamuita akaja nikamwambia apande twende maana naelekea Dar.

Alishukuru sana, akapanda, muda mwingi akawa analia tu kwa kufiwa na baba na kudanganywa na mpenzi wake. Njiani niliamini maneno ya yule rafiki yangu, Aisha akaanza mawindo ndani ya gari.

Alikaa siti ya mbele na mizigo tumeweka siti ya nyuma, kumbe alikuwa amevaa sketi fupi sana hata magotini haifiki, akawa amevaa mtandio juu yake. Kutokana na Ac ya gari, akavua mtandio ili ajifunike, akaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, ukizingati ana hips kubwa, nilimchukulia kama binti yangu tu.

Nikaona nikimwambia akae vizuri atajua nimetamani, nikanyamza tu. Tukafika Dar, nikamchukulia Hotel pale ubungo, nikampa nauli na pesa za ziada. Akalia sana wakati anazipokea, akaniomba namba nikampa nikaondoka.

Baada ya miezi miwili akaniomba tuonane, ni binti mzuri sana, ana hips kubwa na kalio la size yake.

Nikamwambia anieleze kama kuna shida nitamsaidia ila kuonana haitawezekana. . Nikakataa kuonana nae, maana nilijua anchotaka sitaweza kumpa.

Kumbe hakuwa mkazi wa mtwara, alidanganya ili apate nauli kubwa. Hakuacha usumbufu ila nikampuuza, mwaka jana mwezi wa pili nikapigiwa simu na mama yake, kuwa Aisha anaomba msaada ana matatizo ya moyo, ameambiwa aende India hawana pesa ya nauli na matibabu, nikakubali kuwachangia, sina hakika kama walienda au laa maana sikufatilia.

Mwezi wa nne nikaona usumbufu unazidi, nikamtafutia kazi pale Benjamin Mkapa Pension House, kuna kampuni moja ilikuwa mle.

Baada ya miezi miwili ya kufanya kazi, mama mtu akanitafuta, akaomba nionane nae, nikamfata maeneo ya mgulani jkt. Akaniomba niende kwao nikakataa, tukakaa sehemu tuongee. Mama na mwanae wakawa wananisihi nisimtese Aisha, ananipenda, nikawambia nina binti wa umri kama Aisha, nilimsaidia tu, ningetaka mahusinao nae ningejilipa the same day.

Nashukuru kwa kuwa ananipenda, naomba nimpe mtaji afanye biashara, Aisha akasema mbele ya mama yake, hataki pesa zangu ananitaka mimi ili apone.

Nialiamua kuchukua kiasi cha pesa nilishakiandaa, nikampa Aisha akakataa ila mama akapokea, kiliwatosha kufungua biashara nzuri. Nikaondoka, lakini Aisha hakuwahi pumzika kunitafuta na hapo kati nimemhudumia sana akidai anaumwa na hawana chakula, ila hatuonani tu, japo anafanya kazi.

Mwaka huu mwezi April siku nimebadili avatar yangu kutoka [Charles Champlin kuwa crying eye] , Aisha akanywa vidonge, baada ya kukataa kuonana nae siku ya pasaka, akafariki kwa kukosa penzi langu. Niliumia sana kwa maamuzi yake, ilisaidia kwa moyo, amenipa majuto.

* **

# I regret
Kipindi flani nilimpenda dada mmoja anaitwa Hadijah, alikuwa mzuri sana, nilimfahamu tangu akiwa chuo mkoa flani. Baadae nikakutana nae akiwa ameajiliwa, nikajaribu kuanzisha urafiki nae kwa njia za kawaida bila yeye kujua kama nina hali gani kiuchumi, nilikuwa simple sana mbele yake.

Akawa anatoa ushirikiano mara ananipotezea. Kila mara nikijiweka karibu nae, hanithamini, na malalamiko yasiyoisha, nikakata tamaa nikaachana nae.

Baada ya muda flani, nikajisiki tu nimsaidie kwa vile nilimpenda sana, alinivutia, nikaomba nimsomeshee mtoto wake na aniambie biashara anayotaka nimpe mtaji ili awe na kipato cha uhakika asitegemee ajira tu.

Akafurahi sana, akarudisha urafika kama mwanzo. Nikamwambia, sitaki tuonane, ili usiseme na namsaidia ili nile tunda lake.

Akaanza kunijali kiasi kupitia sms, sikuwa na nia ya kutaka penzi lake kwa vile nilishaona hana upendo kwangu, ila amerudi baada ya kusikia nataka kumpa msaada. Tukaanza mipango, nikiwa nasubiri jibu la biashara yake anayotaka, nikasafiri kwenda fin, bila yeye kujua.

Akaibiwa vitu anapokaa, akanilalamikia sana kama vile nimeiba mimi, nikamwambia anitajie nitamlipa asiwaze.

Akaorozesha kama 460000, ila nikaona ametaja vitu low quality, Tv inch 24 sundar?. Nikakusudia nikamfanyie shopping nikirudi, zilibakiza wiki 3 tu nirudi, akachukia kumbe alitaka nimpe ile laki 4 na 60 hapo hapo, wakati mimi nimewaza kununua vitu vya zaidi ya milioni. Baada ya muda akarudi tena na sweetie nyingi, nikasamehe.

Baada ya kuona ana hamu ya kuniona, maana aliomba mpaka whatsapp namba, nikamnyima, nikaamua kukubali tuonane nikirudi, Akafurahi.

The same day, akaniomba nimletee simu ya IPhone macho matatu au manne, nikakubali, nikamwahidi na zawadi nyingine pia, ila nikabaki najiuliza, huyu nimempata nafasi ya kumpa mtaji wa biashara , na kumlipia ada ya mtoto wake kwa miaka 7 maana yuko nursery, kwa nini haoni hayo anaona tu vitu vidogo vidogo kama simu.

The other day nikamtumia ujumbeb kuwa aache mawazo ya vitu vidogo, anijibu kuhusu mtaji, hivyo vingine nitampa kama zawadi sio lazima aniombe,

Nikamwambia " usiombe samaki mmoja kwa mtu anaetaka kukupa ndoano na kukufundisha kupata samaki wengi",

akakasirika, akaona nimemsimanga.

Baadae akanijibu sitaki tena mtaji wako, wala umsomeshe mwanangu, nitapambana menyewe. Nimegundua ukinisaidia nitakuwa mtumwa wako kimapenzi, itakuwa kila nikitaka kitu lazima nikupe tunda ndipo nikipate.

Nikamfafanulia kwa nini sikutaka kuonana nae na kuwa ni yeye amenishawishi nionane nae. Pia nikamuomba tuache mpango wa kuonana, nitamtumia hizo zawadi na pesa kama tulivyokubalia, akajibu nisimtukane kama shida ni zake.

Sikumtafuta tena, akanitumia ujumbe tena kuwa nisimtukane na yeye hataki msaada wangu. Nikamjibu mbona tangu umenitumia sms sijakujibu, naomba block namba yangu.

Akanyamaza sana kisha akanijibu siwezi kublock namba yako, sina ugonvi na wewe, acha hasira, nataka tuwe peace ✌️.

Nilimwambia nimempa options, anapaswa kuamua kukubali au kukataa, kama anakubali aseme biashara gani na mtaji kiasi gani. Alikuwa ameniambia ada ya mtoto ni 1.2m kwa mwaka nikajua hapa nato 8. 4m kwa miaka 7. Ila biashara hataki kusema. Tatizo likawa kutoa taarifa zake ili apokee pesa kwa Western union, au posta, akawa na mashaka ya kutoa details za national ID yake.

Binafsi niliamua kumpotezea nisimuulize tena, nikawa nasubiri aseme njia nzuri ya yeye kupokea hiyo pesa, japo sikujua alinichukuliaje kwa utayari wangu kumsaidia. Mpaka leo sijui kwa nini alinidharau kiasi kile huku anautaka msaada wangu.

Mpaka leo najuta maana upendo ulinifanya nikadharaulika na mrembo Hadijah. Way back!!!

* **
Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.

Je, Biblia inasema nini kuhusu kutorudia dhambi?

“Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata kuzitii tamaa zake; msivitoe viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu. Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa kuwa hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

Ni dhambi gani pekee ambayo haiwezi kusamehewa?

Mistari: Marko 3:28–29, Mathayo 12:31–32, na Luka 12:10, Waebrania 6:4–6, Waebrania 10:26–31, na 1 Yohana 5:16.

Kwa hiyo nawaambia, watu watasamehewa kila dhambi na kufuru, lakini kumkufuru Roho hawatasamehewa.

Yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu huu wala katika ule ujao.

* **

Song: Lord I Hope This Day Is Good
Album: Especially for You
Released: 1981
Artist: Don Williams
Genre: Country


Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord I hope you understand

I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

You've been the King since the dawn of time
All that I'm askin' is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for you

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

* *
Jiandaeni Kwa SERIES YA HUU MKASA
toka NETFLIX.

Kwa yoyote atakae utumia huu mkasa kwa njia yoyote ile, atambue kuwa asiuweke kwenye digital platforms fotauti na Jamii Forums, akifanya hivyo atakutana na Netflix kama wamiliki halali, Be informed.

Wanatambua kuwa nimechapisha sehemu ndogo ya huo mkasa upande wa mapenzi pekee, na link wanayo wameuona.

[ Hatua za kujilinda dhidi ya madai ya ukiukaji wa hakimiliki, Usinakili chochote, Omba hati ya haki ya kutumia, Andika kazi yako mwenyewe.]

Huu mkasa umesajiliwa cosota, na ni mali ya Netflix kuanzia January 8, 2022. Tulikubaliana nitumie sehemu 30% tu kama nitachapisha kitabu, 70% ya mkasa huu imebaki kuwa mali ya Netflix.

Hapa nimeelezea upande mmoja tu wa maisha yangu, kuna dark side sijagusa kabisa, namna nilivyomalizana na Ludvig na genge lake sijaelezea, kutapeliwa mamilion ya pesa nilizochuma nikiwa na Ludvig, Nilivyo pata dili la pesa ndefu kupeleka siraha za magendo somewhere , usaliti wa Alfred nk yatakuwa kwenye hii series. Haya matukio ya dark side ni kambla sijakutana na mwanga mpya na kuokoka.

Itakuwa na seasons 4 kila moja episodes 8 play time 1hr kwa kila episode. Kwa sasa uzalishaji umefikia 23%.

Nafasi yangu itachezwa na Kenya Barris, sababu ya kumchagua tunalingana umri na ana watoto sita kama mimi pia ana vituko, tunashabihiana kwa mambo mengi sana. Atakuwa actor na producer wa hiyo series. Miongoni mwa kazi zake ni coming to America 2 na black ish,

Miongoni mwa mastar watakaokuwepo kwenye hii series ni Bright Okpocha aka basketmouth from Nigeria.

[ Wabongo wachache nilioongea nao waliona ni ndoto hiyo kitu kufanyika, nikaamua kuachana nao. ]

Nitawapa details zaidi…..

* *

My advice.
If you have an idea, a game, a script or a continuous output that you want to present to Netflix. you must work through an authorized agent, producer, lawyer, manager or industry leader, as applicable, who has an existing relationship with Netflix..

Netflix would pay between $5,000 and $70,000 per licensed African film for ROI.

There are two ways for you to sell your script to Netflix. First, develop a relationship with certain Netflix employees, or send your script through a letter of request to Netflix's licensed literary agent. IMDB Pro can assist you in finding a useful tool to use if you are able to use it correctly.

* **
Guys
Wapendwa nawashukuru sanab kwa kutenga muda wenu kuwa na mimi hapa, hakika nathamini upendo huo.

Naomba atakaeguswa, aniombee kwa imani yake, hali yangu kiafya sio nzuri. Natarajia kufanyiwa pacemaker replacement ijumaa hii. Hii ya kwanza niliyonayo imepata hitilafu kutokana na mazingira, wanadai usumaku umeiathiri, haifanyi kazi vizuri.

Pia baada ya replacement nitakuwa mbali na vitu vya electronics hasa simu, nikipata wasaa nitakuja hapa kuwasalimia ndugu zangu.

Nashukuru sana kwa mapokezi yenu japo nipo tangu 2007 kwa id tofauti. Muwe na wakati mwema. 🙏

* **
English: Thank you very much for your precious time, see you around🙏

Finnish: Kiitos paljon arvokkaasta ajasta, nähdään.🙏

Portuguese: Muito obrigado pelo seu precioso tempo, vejo você por aí.🙏

Germany: Vielen Dank für Ihre kostbare Zeit, bis bald.🙏

Arabic: shukran jazilan ealaa waqtik althamin , 'arak fi aljawar..🙏

French: Merci beaucoup pour votre temps précieux, à bientôt. 🙏

#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.

Keep in mind! 👇
Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life'…… 👋
images (1).jpeg

* 2023 **
 
Final Part : Where youth meets old age.

Watoto wa kaka Edwin na Edith.

Catherine ni Dr. Bingwa wa watoto yuko Namibia, ameolewa na Mtanzania mwenzake nae ni Dr. huko Namibia, wana watoto watatu sasa.

Careen alipenda kuwa kama baba yake, kwa sasa ni captain yuko pale Air wings, ukonga. Aliolewa na mkurya mmoja, japo walishindwana wakaachana, wamepata mtoto mmoja.

Charles yuko ujerumani, nilimuunganisha na Isabella akamtafutia kazi kwenye campuni yao , kwa sasa anafanya biashara zake na ameoa mjerumani, wana watoto wawili. Anaishi na Edson Jr3.

Caressa alianzia kazi Finland, Violet alimtafutia kazi shirika binafsi. Kwa sasa ameolewa wakahamia Serbia, ana mtoto mmoja.

Niliwapambania kama malipo ya fadhira kwa kaka yangu na shemeji yangu, walinitafutia na mimi kazi kule Ethiopia.

* *

Sina ukoo, babu alifariki baba akiwa mdogo, alilelewa na rafiki tu wa baba, ndio maana hatukuwajua ndugu wa upande wa baba. Ndugu nilionao ni wale wa upande wa mama, mama alikuwa na kaka yake (Paul), huyu ana watoto sita, ndio tuko ukoo wa mama.

Watoto wake mjomba niliwatafutia kazi kadri ya uhitaji wa kila mmoja, wa biashara niliwawezesha, wote wanaishi maisha yao mazuri tu. Japo kuna ka binamu kangu karembo kalitaka kuniingiza mkenge kabla ya kifo cha mama, nashukuru nilimkemea huyo pepo akaondoka, tukabaki tunaheshimiana sana.

Sijui asili ya kabila langu, naweza sema sijui mimi ni kabila gani, ila nilijitahidi kujifunza lugha mbali mbali za makabila niliyofanikiwa kuishi nayo, nazungumza vizuri Kihaya, kikurya, kisukuma, kimasai, kimeru na kingoni. Pia nasikia baadhi ya lugha ila kujibu ni mtihani kama vile kijita, kihehe, kichaga, kipare, hapa ukiniteta najua ila siyo maeno yote na kujibu siwezi.

* **

Education

Twins: Edson Jr 1 & Eila, Sept 28, 1999

2006-2014: Comprehensive school education Primary & Secondary .

2014 - 2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019: 2 yrs, credit 120. Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

* *

Eila Edson.
2006- 2014:Comprehensive school education (Primary & Secondary).

2014-2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science.

2017-2019: 2 yrs, credit 120, Masters of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science

* **

Elisa Edson, Jan 2 2000
2007 - 2015: Comprehensive school education

2015 - 2018: Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

2018-2020: Master's Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

* **
Elise Edson. June 12, 2003
2010 - 2018: Comprehensive school education

2018 - 2021: Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences

2021-2023: Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences.

* **
Edson Jr2, April 22 2005
2012 - 2020: Comprehensive school education

2021 - ongoing: Bachelor in Finance, University of Oulu

* **
Edson Jr3 August 8,2009
2016 - ongoing : Comprehensive school education.

* **

Rosemary Edson .
Bachelor of Business Administration in International Business. UDSM

* **
Violet Edson
Bachelor Programme in Business, Information Technology. LUT University.

* **
Edson Anthony.
1982 - 1989: Certificate in Primary education. Misufini - Songea, Kitete- Iringa and Sanawari- Arusha.

1990 - 1993: Certificate in Secondary education. Songea boys - Ruvuma.

1994 - 1995: Certificate in Advance Secondary education. Ilboru high school - Arusha.

1996 - 1998: 'Bachelor of Arts Economics and Statistics. UDSM

2009 - 2011 : Bachelor in Audio Engineering, SAE Institute , Munich, Germany

2013 - 2015 : Bachelor in Chamber Music. Malardalen University, Vasteras, Sweden

2016-2018 : Bachelor of Theology and psychology. Evangelical seminary, Finland

Language proficiency: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

Local languages: Kiswahili, kiganda, Kingoni,, Kimasai, kimeru, kipare na kikurya kiasi.

** * *

Distribution of property.
Electronics company. {Finland}
Edson Jr1 20% as MD, Edson Jr2 20% as ED, Elise 10% as ED, Elisa 10% as FD, Eila 10% as ED and Parents 30% as Board managers

Beef company {Finland}
Edson Jr1 20% as ED, Edson Jr2 20% as MD
Eila 10% as FD, Elise 10% as ED, Elisa 10% as ED, and Parents 30% as Board managers

Accountability.
Electronics company: Edson Jr 1, Elise and
Edson Jr 2

Beef company, Elisa and Eila

Tourism company {Tanzania}
Rosemary 50% shares with her kids and Violet 50% shares with her kids.

Hotel {Arusha}
Edson Jr3 60% shares
Rosemary 20% shares with her kids and Violet 20% shares with her kids.

Arusha shops: Rosemary 100% shares.
Dar shops: Violet 100%

Tenant houses {Sakina & Njiro}
Rosemary 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Tenant houses {Kigamboni & Tabata}
Violet 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Residential house. {Sakina}
Rosemary 100% shares with her kids.

Residential house. {Kigamboni}
Violet 100% shares with her kids.

** **

UJUMBE MHIMU:
Waebrania 13:2
Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

Malaika wangu ni Mr Collins na familia yake.
* *

I don't regret it
The things I don't regret in my life is the decisions I've made for refusing to move to Finland, marrying Rosemary and stay with Violet.
* **

Regrets
# I regret
Not taking the first decisions regarding my relationship with Violet, and Rosemary. This situation led me to a crisis in my faith.
* **

# I regret
Mwaka juzi nilimsaidia wanafunzi wa chuo cha Udom, anaitwa Aisha. Alikuwa amefiwa na baba yake, akawa anatatuta usafiri wa kufika kwao Mtwara, hakuwa na pesa ikabidi amuombe boyfriend wake ambae sio mwanafunzi, wakakubalia wakutane Stand ya mkoa ili ampe nauli aondoke, yule dada alikaa pale stand toka saa 6 mchana mpaka saa 9.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya Dar, nikasimama hapo stand kuchukua mafuta, nikakutana na friend of mine, tukiwa tunaongea, huyo Aisha akaja tulipokuwa, akasalimia vizuri, akasema shida yake. Yule jamaa yangu akaniambia hawa ni malaya wa hapa mjini achana nao. Kweli nilimjibu yule Aisha kuwa sina cha kumsaidia. Akashukuru na kuondoka.

Masaa mawili baadae nikiwa naanza safari, nikamuona Aisha jirani na nane nane petrol station amekaa pembeni na begi lake. Nikasimama, nikamuita akaja nikamwambia apande twende maana naelekea Dar.

Alishukuru sana, akapanda, muda mwingi akawa analia tu kwa kufiwa na baba na kudanganywa na mpenzi wake. Njiani niliamini maneno ya yule rafiki yangu, Aisha akaanza mawindo ndani ya gari.

Alikaa siti ya mbele na mizigo tumeweka siti ya nyuma, kumbe alikuwa amevaa sketi fupi sana hata magotini haifiki, akawa amevaa mtandio juu yake. Kutokana na Ac ya gari, akavua mtandio ili ajifunike, akaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, ukizingati ana hips kubwa, nilimchukulia kama binti yangu tu.

Nikaona nikimwambia akae vizuri atajua nimetamani, nikanyamza tu. Tukafika Dar, nikamchukulia Hotel pale ubungo, nikampa nauli na pesa za ziada. Akalia sana wakati anazipokea, akaniomba namba nikampa nikaondoka.

Baada ya miezi miwili akaniomba tuonane, ni binti mzuri sana, ana hips kubwa na kalio la size yake.

Nikamwambia anieleze kama kuna shida nitamsaidia ila kuonana haitawezekana. . Nikakataa kuonana nae, maana nilijua anchotaka sitaweza kumpa.

Kumbe hakuwa mkazi wa mtwara, alidanganya ili apate nauli kubwa. Hakuacha usumbufu ila nikampuuza, mwaka jana mwezi wa pili nikapigiwa simu na mama yake, kuwa Aisha anaomba msaada ana matatizo ya moyo, ameambiwa aende India hawana pesa ya nauli na matibabu, nikakubali kuwachangia, sina hakika kama walienda au laa maana sikufatilia.

Mwezi wa nne nikaona usumbufu unazidi, nikamtafutia kazi pale Benjamin Mkapa Pension House, kuna kampuni moja ilikuwa mle.

Baada ya miezi miwili ya kufanya kazi, mama mtu akanitafuta, akaomba nionane nae, nikamfata maeneo ya mgulani jkt. Akaniomba niende kwao nikakataa, tukakaa sehemu tuongee. Mama na mwanae wakawa wananisihi nisimtese Aisha, ananipenda, nikawambia nina binti wa umri kama Aisha, nilimsaidia tu, ningetaka mahusinao nae ningejilipa the same day.

Nashukuru kwa kuwa ananipenda, naomba nimpe mtaji afanye biashara, Aisha akasema mbele ya mama yake, hataki pesa zangu ananitaka mimi ili apone.

Nialiamua kuchukua kiasi cha pesa nilishakiandaa, nikampa Aisha akakataa ila mama akapokea, kiliwatosha kufungua biashara nzuri. Nikaondoka, lakini Aisha hakuwahi pumzika kunitafuta na hapo kati nimemhudumia sana akidai anaumwa na hawana chakula, ila hatuonani tu, japo anafanya kazi.

Mwaka huu mwezi April siku nimebadili avatar yangu kutoka [Charles Champlin kuwa crying eye] , Aisha akanywa vidonge, baada ya kukataa kuonana nae siku ya pasaka, akafariki kwa kukosa penzi langu. Niliumia sana kwa maamuzi yake, ilisaidia kwa moyo, amenipa majuto.

* **

# I regret
Kipindi flani nilimpenda dada mmoja anaitwa Hadijah, alikuwa mzuri sana, nilimfahamu tangu akiwa chuo mkoa flani. Baadae nikakutana nae akiwa ameajiliwa, nikajaribu kuanzisha urafiki nae kwa njia za kawaida bila yeye kujua kama nina hali gani kiuchumi, nilikuwa simple sana mbele yake.

Akawa anatoa ushirikiano mara ananipotezea. Kila mara nikijiweka karibu nae, hanithamini, na malalamiko yasiyoisha, nikakata tamaa nikaachana nae.

Baada ya muda flani, nikajisiki tu nimsaidie kwa vile nilimpenda sana, alinivutia, nikaomba nimsomeshee mtoto wake na aniambie biashara anayotaka nimpe mtaji ili awe na kipato cha uhakika asitegemee ajira tu.

Akafurahi sana, akarudisha urafika kama mwanzo. Nikamwambia, sitaki tuonane, ili usiseme na namsaidia ili nile tunda lake.

Akaanza kunijali kiasi kupitia sms, sikuwa na nia ya kutaka penzi lake kwa vile nilishaona hana upendo kwangu, ila amerudi baada ya kusikia nataka kumpa msaada. Tukaanza mipango, nikiwa nasubiri jibu la biashara yake anayotaka, nikasafiri kwenda fin, bila yeye kujua.

Akaibiwa vitu anapokaa, akanilalamikia sana kama vile nimeiba mimi, nikamwambia anitajie nitamlipa asiwaze.

Akaorozesha kama 460000, ila nikaona ametaja vitu low quality, Tv inch 24 sundar?. Nikakusudia nikamfanyie shopping nikirudi, zilibakiza wiki 3 tu nirudi, akachukia kumbe alitaka nimpe ile laki 4 na 60 hapo hapo, wakati mimi nimewaza kununua vitu vya zaidi ya milioni. Baada ya muda akarudi tena na sweetie nyingi, nikasamehe.

Baada ya kuona ana hamu ya kuniona, maana aliomba mpaka whatsapp namba, nikamnyima, nikaamua kukubali tuonane nikirudi, Akafurahi.

The same day, akaniomba nimletee simu ya IPhone macho matatu au manne, nikakubali, nikamwahidi na zawadi nyingine pia, ila nikabaki najiuliza, huyu nimempata nafasi ya kumpa mtaji wa biashara , na kumlipia ada ya mtoto wake kwa miaka 7 maana yuko nursery, kwa nini haoni hayo anaona tu vitu vidogo vidogo kama simu.

The other day nikamtumia ujumbeb kuwa aache mawazo ya vitu vidogo, anijibu kuhusu mtaji, hivyo vingine nitampa kama zawadi sio lazima aniombe,

Nikamwambia " usiombe samaki mmoja kwa mtu anaetaka kukupa ndoano na kukufundisha kupata samaki wengi",

akakasirika, akaona nimemsimanga.

Baadae akanijibu sitaki tena mtaji wako, wala umsomeshe mwanangu, nitapambana menyewe. Nimegundua ukinisaidia nitakuwa mtumwa wako kimapenzi, itakuwa kila nikitaka kitu lazima nikupe tunda ndipo nikipate.

Nikamfafanulia kwa nini sikutaka kuonana nae na kuwa ni yeye amenishawishi nionane nae. Pia nikamuomba tuache mpango wa kuonana, nitamtumia hizo zawadi na pesa kama tulivyokubalia, akajibu nisimtukane kama shida ni zake.

Sikumtafuta tena, akanitumia ujumbe tena kuwa nisimtukane na yeye hataki msaada wangu. Nikamjibu mbona tangu umenitumia sms sijakujibu, naomba block namba yangu.

Akanyamaza sana kisha akanijibu siwezi kublock namba yako, sina ugonvi na wewe, acha hasira, nataka tuwe peace ✌️.

Nilimwambia nimempa options, anapaswa kuamua kukubali au kukataa, kama anakubali aseme biashara gani na mtaji kiasi gani. Alikuwa ameniambia ada ya mtoto ni 1.2m kwa mwaka nikajua hapa nato 8. 4m kwa miaka 7. Ila biashara hataki kusema. Tatizo likawa kutoa taarifa zake ili apokee pesa kwa Western union, au posta, akawa na mashaka ya kutoa details za national ID yake.

Binafsi niliamua kumpotezea nisimuulize tena, nikawa nasubiri aseme njia nzuri ya yeye kupokea hiyo pesa, japo sikujua alinichukuliaje kwa utayari wangu kumsaidia. Mpaka leo sijui kwa nini alinidharau kiasi kile huku anautaka msaada wangu.

Mpaka leo najuta maana upendo ulinifanya nikadharaulika na mrembo Hadijah. Way back!!!

* **
Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.

Je, Biblia inasema nini kuhusu kutorudia dhambi?

“Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata kuzitii tamaa zake; msivitoe viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu. Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa kuwa hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

Ni dhambi gani pekee ambayo haiwezi kusamehewa?

Mistari: Marko 3:28–29, Mathayo 12:31–32, na Luka 12:10, Waebrania 6:4–6, Waebrania 10:26–31, na 1 Yohana 5:16.

Kwa hiyo nawaambia, watu watasamehewa kila dhambi na kufuru, lakini kumkufuru Roho hawatasamehewa.

Yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu huu wala katika ule ujao.

* **

Song: Lord I Hope This Day Is Good
Album: Especially for You
Released: 1981
Artist: Don Williams
Genre: Country


Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord I hope you understand

I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

You've been the King since the dawn of time
All that I'm askin' is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for you

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

* *
Jiandaeni Kwa SERIES YA HUU MKASA
toka NETFLIX.

Kwa yoyote atakae utumia huu mkasa kwa njia yoyote ile, atambue kuwa asiuweke kwenye digital platforms fotauti na Jamii Forums, akifanya hivyo atakutana na Netflix kama wamiliki halali, Be informed.

Wanatambua kuwa nimechapisha sehemu ndogo ya huo mkasa upande wa mapenzi pekee, na link wanayo wameuona.

[ Hatua za kujilinda dhidi ya madai ya ukiukaji wa hakimiliki, Usinakili chochote, Omba hati ya haki ya kutumia, Andika kazi yako mwenyewe.]

Huu mkasa umesajiliwa cosota, na ni mali ya Netflix kuanzia January 8, 2022. Tulikubaliana nitumie sehemu 30% tu kama nitachapisha kitabu, 70% ya mkasa huu imebaki kuwa mali ya Netflix.

Hapa nimeelezea upande mmoja tu wa maisha yangu, kuna dark side sijagusa kabisa, namna nilivyomalizana na Ludvig na genge lake sijaelezea, kutapeliwa mamilion ya pesa nilizochuma nikiwa na Ludvig, Nilivyo pata dili la pesa ndefu kupeleka siraha za magendo somewhere , usaliti wa Alfred nk yatakuwa kwenye hii series. Haya matukio ya dark side ni kambla sijakutana na mwanga mpya na kuokoka.

Itakuwa na seasons 4 kila moja episodes 8 play time 1hr kwa kila episode. Kwa sasa uzalishaji umefikia 23%.

Nafasi yangu itachezwa na Kenya Barris, sababu ya kumchagua tunalingana umri na ana watoto sita kama mimi pia ana vituko, tunashabihiana kwa mambo mengi sana. Atakuwa actor na producer wa hiyo series. Miongoni mwa kazi zake ni coming to America 2 na black ish,

Miongoni mwa mastar watakaokuwepo kwenye hii series ni Bright Okpocha aka basketmouth from Nigeria.

[ Wabongo wachache nilioongea nao waliona ni ndoto hiyo kitu kufanyika, nikaamua kuachana nao. ]

Nitawapa details zaidi…..

* *

My advice.
If you have an idea, a game, a script or a continuous output that you want to present to Netflix. you must work through an authorized agent, producer, lawyer, manager or industry leader, as applicable, who has an existing relationship with Netflix..

Netflix would pay between $5,000 and $70,000 per licensed African film for ROI.

There are two ways for you to sell your script to Netflix. First, develop a relationship with certain Netflix employees, or send your script through a letter of request to Netflix's licensed literary agent. IMDB Pro can assist you in finding a useful tool to use if you are able to use it correctly.

* **
Guys
Wapendwa nawashukuru sanab kwa kutenga muda wenu kuwa na mimi hapa, hakika nathamini upendo huo.

Naomba atakaeguswa, aniombee kwa imani yake, hali yangu kiafya sio nzuri. Natarajia kufanyiwa pacemaker replacement ijumaa hii. Hii ya kwanza niliyonayo imepata hitilafu kutokana na mazingira, wanadai usumaku umeiathiri, haifanyi kazi vizuri.

Pia baada ya replacement nitakuwa mbali na vitu vya electronics hasa simu, nikipata wasaa nitakuja hapa kuwasalimia ndugu zangu.

Nashukuru sana kwa mapokezi yenu japo nipo tangu 2007 kwa id tofauti. Muwe na wakati mwema. 🙏

* **
English: Thank you very much for your precious time, see you around🙏

Finnish: Kiitos paljon arvokkaasta ajasta, nähdään.🙏

Portuguese: Muito obrigado pelo seu precioso tempo, vejo você por aí.🙏

Germany: Vielen Dank für Ihre kostbare Zeit, bis bald.🙏

Arabic: shukran jazilan ealaa waqtik althamin , 'arak fi aljawar..🙏

French: Merci beaucoup pour votre temps précieux, à bientôt. 🙏

#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.
View attachment 2600576
* 2023 **
Gily njoo utag ukoo
 
Final Part : Where youth meets old age.

Watoto wa kaka Edwin na Edith.

Catherine ni Dr. Bingwa wa watoto yuko Namibia, ameolewa na Mtanzania mwenzake nae ni Dr. huko Namibia, wana watoto watatu sasa.

Careen alipenda kuwa kama baba yake, kwa sasa ni captain yuko pale Air wings, ukonga. Aliolewa na mkurya mmoja, japo walishindwana wakaachana, wamepata mtoto mmoja.

Charles yuko ujerumani, nilimuunganisha na Isabella akamtafutia kazi kwenye campuni yao , kwa sasa anafanya biashara zake na ameoa mjerumani, wana watoto wawili. Anaishi na Edson Jr3.

Caressa alianzia kazi Finland, Violet alimtafutia kazi shirika binafsi. Kwa sasa ameolewa wakahamia Serbia, ana mtoto mmoja.

Niliwapambania kama malipo ya fadhira kwa kaka yangu na shemeji yangu, walinitafutia na mimi kazi kule Ethiopia.

* *

Sina ukoo, babu alifariki baba akiwa mdogo, alilelewa na rafiki tu wa baba, ndio maana hatukuwajua ndugu wa upande wa baba. Ndugu nilionao ni wale wa upande wa mama, mama alikuwa na kaka yake (Paul), huyu ana watoto sita, ndio tuko ukoo wa mama.

Watoto wake mjomba niliwatafutia kazi kadri ya uhitaji wa kila mmoja, wa biashara niliwawezesha, wote wanaishi maisha yao mazuri tu. Japo kuna ka binamu kangu karembo kalitaka kuniingiza mkenge kabla ya kifo cha mama, nashukuru nilimkemea huyo pepo akaondoka, tukabaki tunaheshimiana sana.

Sijui asili ya kabila langu, naweza sema sijui mimi ni kabila gani, ila nilijitahidi kujifunza lugha mbali mbali za makabila niliyofanikiwa kuishi nayo, nazungumza vizuri Kihaya, kikurya, kisukuma, kimasai, kimeru na kingoni. Pia nasikia baadhi ya lugha ila kujibu ni mtihani kama vile kijita, kihehe, kichaga, kipare, hapa ukiniteta najua ila siyo maeno yote na kujibu siwezi.

* **

Education

Twins: Edson Jr 1 & Eila, Sept 28, 1999

2006-2014: Comprehensive school education Primary & Secondary .

2014 - 2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019: 2 yrs, credit 120. Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

* *

Eila Edson.
2006- 2014:Comprehensive school education (Primary & Secondary).

2014-2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science.

2017-2019: 2 yrs, credit 120, Masters of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science

* **

Elisa Edson, Jan 2 2000
2007 - 2015: Comprehensive school education

2015 - 2018: Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

2018-2020: Master's Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

* **
Elise Edson. June 12, 2003
2010 - 2018: Comprehensive school education

2018 - 2021: Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences

2021-2023: Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences.

* **
Edson Jr2, April 22 2005
2012 - 2020: Comprehensive school education

2021 - ongoing: Bachelor in Finance, University of Oulu

* **
Edson Jr3 August 8,2009
2016 - ongoing : Comprehensive school education.

* **

Rosemary Edson .
Bachelor of Business Administration in International Business. UDSM

* **
Violet Edson
Bachelor Programme in Business, Information Technology. LUT University.

* **
Edson Anthony.
1982 - 1989: Certificate in Primary education. Misufini - Songea, Kitete- Iringa and Sanawari- Arusha.

1990 - 1993: Certificate in Secondary education. Songea boys - Ruvuma.

1994 - 1995: Certificate in Advance Secondary education. Ilboru high school - Arusha.

1996 - 1998: 'Bachelor of Arts Economics and Statistics. UDSM

2009 - 2011 : Bachelor in Audio Engineering, SAE Institute , Munich, Germany

2013 - 2015 : Bachelor in Chamber Music. Malardalen University, Vasteras, Sweden

2016-2018 : Bachelor of Theology and psychology. Evangelical seminary, Finland

Language proficiency: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

Local languages: Kiswahili, kiganda, Kingoni,, Kimasai, kimeru, kipare na kikurya kiasi.

** * *

Distribution of property.
Electronics company. {Finland}
Edson Jr1 20% as MD, Edson Jr2 20% as ED, Elise 10% as ED, Elisa 10% as FD, Eila 10% as ED and Parents 30% as Board managers

Beef company {Finland}
Edson Jr1 20% as ED, Edson Jr2 20% as MD
Eila 10% as FD, Elise 10% as ED, Elisa 10% as ED, and Parents 30% as Board managers

Accountability.
Electronics company: Edson Jr 1, Elise and
Edson Jr 2

Beef company, Elisa and Eila

Tourism company {Tanzania}
Rosemary 50% shares with her kids and Violet 50% shares with her kids.

Hotel {Arusha}
Edson Jr3 60% shares
Rosemary 20% shares with her kids and Violet 20% shares with her kids.

Arusha shops: Rosemary 100% shares.
Dar shops: Violet 100%

Tenant houses {Sakina & Njiro}
Rosemary 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Tenant houses {Kigamboni & Tabata}
Violet 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Residential house. {Sakina}
Rosemary 100% shares with her kids.

Residential house. {Kigamboni}
Violet 100% shares with her kids.

** **

UJUMBE MHIMU:
Waebrania 13:2
Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

Malaika wangu ni Mr Collins na familia yake.
* *

I don't regret it
The things I don't regret in my life is the decisions I've made for refusing to move to Finland, marrying Rosemary and stay with Violet.
* **

Regrets
# I regret
Not taking the first decisions regarding my relationship with Violet, and Rosemary. This situation led me to a crisis in my faith.
* **

# I regret
Mwaka juzi nilimsaidia wanafunzi wa chuo cha Udom, anaitwa Aisha. Alikuwa amefiwa na baba yake, akawa anatatuta usafiri wa kufika kwao Mtwara, hakuwa na pesa ikabidi amuombe boyfriend wake ambae sio mwanafunzi, wakakubalia wakutane Stand ya mkoa ili ampe nauli aondoke, yule dada alikaa pale stand toka saa 6 mchana mpaka saa 9.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya Dar, nikasimama hapo stand kuchukua mafuta, nikakutana na friend of mine, tukiwa tunaongea, huyo Aisha akaja tulipokuwa, akasalimia vizuri, akasema shida yake. Yule jamaa yangu akaniambia hawa ni malaya wa hapa mjini achana nao. Kweli nilimjibu yule Aisha kuwa sina cha kumsaidia. Akashukuru na kuondoka.

Masaa mawili baadae nikiwa naanza safari, nikamuona Aisha jirani na nane nane petrol station amekaa pembeni na begi lake. Nikasimama, nikamuita akaja nikamwambia apande twende maana naelekea Dar.

Alishukuru sana, akapanda, muda mwingi akawa analia tu kwa kufiwa na baba na kudanganywa na mpenzi wake. Njiani niliamini maneno ya yule rafiki yangu, Aisha akaanza mawindo ndani ya gari.

Alikaa siti ya mbele na mizigo tumeweka siti ya nyuma, kumbe alikuwa amevaa sketi fupi sana hata magotini haifiki, akawa amevaa mtandio juu yake. Kutokana na Ac ya gari, akavua mtandio ili ajifunike, akaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, ukizingati ana hips kubwa, nilimchukulia kama binti yangu tu.

Nikaona nikimwambia akae vizuri atajua nimetamani, nikanyamza tu. Tukafika Dar, nikamchukulia Hotel pale ubungo, nikampa nauli na pesa za ziada. Akalia sana wakati anazipokea, akaniomba namba nikampa nikaondoka.

Baada ya miezi miwili akaniomba tuonane, ni binti mzuri sana, ana hips kubwa na kalio la size yake.

Nikamwambia anieleze kama kuna shida nitamsaidia ila kuonana haitawezekana. . Nikakataa kuonana nae, maana nilijua anchotaka sitaweza kumpa.

Kumbe hakuwa mkazi wa mtwara, alidanganya ili apate nauli kubwa. Hakuacha usumbufu ila nikampuuza, mwaka jana mwezi wa pili nikapigiwa simu na mama yake, kuwa Aisha anaomba msaada ana matatizo ya moyo, ameambiwa aende India hawana pesa ya nauli na matibabu, nikakubali kuwachangia, sina hakika kama walienda au laa maana sikufatilia.

Mwezi wa nne nikaona usumbufu unazidi, nikamtafutia kazi pale Benjamin Mkapa Pension House, kuna kampuni moja ilikuwa mle.

Baada ya miezi miwili ya kufanya kazi, mama mtu akanitafuta, akaomba nionane nae, nikamfata maeneo ya mgulani jkt. Akaniomba niende kwao nikakataa, tukakaa sehemu tuongee. Mama na mwanae wakawa wananisihi nisimtese Aisha, ananipenda, nikawambia nina binti wa umri kama Aisha, nilimsaidia tu, ningetaka mahusinao nae ningejilipa the same day.

Nashukuru kwa kuwa ananipenda, naomba nimpe mtaji afanye biashara, Aisha akasema mbele ya mama yake, hataki pesa zangu ananitaka mimi ili apone.

Nialiamua kuchukua kiasi cha pesa nilishakiandaa, nikampa Aisha akakataa ila mama akapokea, kiliwatosha kufungua biashara nzuri. Nikaondoka, lakini Aisha hakuwahi pumzika kunitafuta na hapo kati nimemhudumia sana akidai anaumwa na hawana chakula, ila hatuonani tu, japo anafanya kazi.

Mwaka huu mwezi April siku nimebadili avatar yangu kutoka [Charles Champlin kuwa crying eye] , Aisha akanywa vidonge, baada ya kukataa kuonana nae siku ya pasaka, akafariki kwa kukosa penzi langu. Niliumia sana kwa maamuzi yake, ilisaidia kwa moyo, amenipa majuto.

* **

# I regret
Kipindi flani nilimpenda dada mmoja anaitwa Hadijah, alikuwa mzuri sana, nilimfahamu tangu akiwa chuo mkoa flani. Baadae nikakutana nae akiwa ameajiliwa, nikajaribu kuanzisha urafiki nae kwa njia za kawaida bila yeye kujua kama nina hali gani kiuchumi, nilikuwa simple sana mbele yake.

Akawa anatoa ushirikiano mara ananipotezea. Kila mara nikijiweka karibu nae, hanithamini, na malalamiko yasiyoisha, nikakata tamaa nikaachana nae.

Baada ya muda flani, nikajisiki tu nimsaidie kwa vile nilimpenda sana, alinivutia, nikaomba nimsomeshee mtoto wake na aniambie biashara anayotaka nimpe mtaji ili awe na kipato cha uhakika asitegemee ajira tu.

Akafurahi sana, akarudisha urafika kama mwanzo. Nikamwambia, sitaki tuonane, ili usiseme na namsaidia ili nile tunda lake.

Akaanza kunijali kiasi kupitia sms, sikuwa na nia ya kutaka penzi lake kwa vile nilishaona hana upendo kwangu, ila amerudi baada ya kusikia nataka kumpa msaada. Tukaanza mipango, nikiwa nasubiri jibu la biashara yake anayotaka, nikasafiri kwenda fin, bila yeye kujua.

Akaibiwa vitu anapokaa, akanilalamikia sana kama vile nimeiba mimi, nikamwambia anitajie nitamlipa asiwaze.

Akaorozesha kama 460000, ila nikaona ametaja vitu low quality, Tv inch 24 sundar?. Nikakusudia nikamfanyie shopping nikirudi, zilibakiza wiki 3 tu nirudi, akachukia kumbe alitaka nimpe ile laki 4 na 60 hapo hapo, wakati mimi nimewaza kununua vitu vya zaidi ya milioni. Baada ya muda akarudi tena na sweetie nyingi, nikasamehe.

Baada ya kuona ana hamu ya kuniona, maana aliomba mpaka whatsapp namba, nikamnyima, nikaamua kukubali tuonane nikirudi, Akafurahi.

The same day, akaniomba nimletee simu ya IPhone macho matatu au manne, nikakubali, nikamwahidi na zawadi nyingine pia, ila nikabaki najiuliza, huyu nimempata nafasi ya kumpa mtaji wa biashara , na kumlipia ada ya mtoto wake kwa miaka 7 maana yuko nursery, kwa nini haoni hayo anaona tu vitu vidogo vidogo kama simu.

The other day nikamtumia ujumbeb kuwa aache mawazo ya vitu vidogo, anijibu kuhusu mtaji, hivyo vingine nitampa kama zawadi sio lazima aniombe,

Nikamwambia " usiombe samaki mmoja kwa mtu anaetaka kukupa ndoano na kukufundisha kupata samaki wengi",

akakasirika, akaona nimemsimanga.

Baadae akanijibu sitaki tena mtaji wako, wala umsomeshe mwanangu, nitapambana menyewe. Nimegundua ukinisaidia nitakuwa mtumwa wako kimapenzi, itakuwa kila nikitaka kitu lazima nikupe tunda ndipo nikipate.

Nikamfafanulia kwa nini sikutaka kuonana nae na kuwa ni yeye amenishawishi nionane nae. Pia nikamuomba tuache mpango wa kuonana, nitamtumia hizo zawadi na pesa kama tulivyokubalia, akajibu nisimtukane kama shida ni zake.

Sikumtafuta tena, akanitumia ujumbe tena kuwa nisimtukane na yeye hataki msaada wangu. Nikamjibu mbona tangu umenitumia sms sijakujibu, naomba block namba yangu.

Akanyamaza sana kisha akanijibu siwezi kublock namba yako, sina ugonvi na wewe, acha hasira, nataka tuwe peace ✌️.

Nilimwambia nimempa options, anapaswa kuamua kukubali au kukataa, kama anakubali aseme biashara gani na mtaji kiasi gani. Alikuwa ameniambia ada ya mtoto ni 1.2m kwa mwaka nikajua hapa nato 8. 4m kwa miaka 7. Ila biashara hataki kusema. Tatizo likawa kutoa taarifa zake ili apokee pesa kwa Western union, au posta, akawa na mashaka ya kutoa details za national ID yake.

Binafsi niliamua kumpotezea nisimuulize tena, nikawa nasubiri aseme njia nzuri ya yeye kupokea hiyo pesa, japo sikujua alinichukuliaje kwa utayari wangu kumsaidia. Mpaka leo sijui kwa nini alinidharau kiasi kile huku anautaka msaada wangu.

Mpaka leo najuta maana upendo ulinifanya nikadharaulika na mrembo Hadijah. Way back!!!

* **
Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.

Je, Biblia inasema nini kuhusu kutorudia dhambi?

“Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata kuzitii tamaa zake; msivitoe viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu. Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa kuwa hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

Ni dhambi gani pekee ambayo haiwezi kusamehewa?

Mistari: Marko 3:28–29, Mathayo 12:31–32, na Luka 12:10, Waebrania 6:4–6, Waebrania 10:26–31, na 1 Yohana 5:16.

Kwa hiyo nawaambia, watu watasamehewa kila dhambi na kufuru, lakini kumkufuru Roho hawatasamehewa.

Yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu huu wala katika ule ujao.

* **

Song: Lord I Hope This Day Is Good
Album: Especially for You
Released: 1981
Artist: Don Williams
Genre: Country


Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord I hope you understand

I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

You've been the King since the dawn of time
All that I'm askin' is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for you

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

* *
Jiandaeni Kwa SERIES YA HUU MKASA
toka NETFLIX.

Kwa yoyote atakae utumia huu mkasa kwa njia yoyote ile, atambue kuwa asiuweke kwenye digital platforms fotauti na Jamii Forums, akifanya hivyo atakutana na Netflix kama wamiliki halali, Be informed.

Wanatambua kuwa nimechapisha sehemu ndogo ya huo mkasa upande wa mapenzi pekee, na link wanayo wameuona.

[ Hatua za kujilinda dhidi ya madai ya ukiukaji wa hakimiliki, Usinakili chochote, Omba hati ya haki ya kutumia, Andika kazi yako mwenyewe.]

Huu mkasa umesajiliwa cosota, na ni mali ya Netflix kuanzia January 8, 2022. Tulikubaliana nitumie sehemu 30% tu kama nitachapisha kitabu, 70% ya mkasa huu imebaki kuwa mali ya Netflix.

Hapa nimeelezea upande mmoja tu wa maisha yangu, kuna dark side sijagusa kabisa, namna nilivyomalizana na Ludvig na genge lake sijaelezea, kutapeliwa mamilion ya pesa nilizochuma nikiwa na Ludvig, Nilivyo pata dili la pesa ndefu kupeleka siraha za magendo somewhere , usaliti wa Alfred nk yatakuwa kwenye hii series. Haya matukio ya dark side ni kambla sijakutana na mwanga mpya na kuokoka.

Itakuwa na seasons 4 kila moja episodes 8 play time 1hr kwa kila episode. Kwa sasa uzalishaji umefikia 23%.

Nafasi yangu itachezwa na Kenya Barris, sababu ya kumchagua tunalingana umri na ana watoto sita kama mimi pia ana vituko, tunashabihiana kwa mambo mengi sana. Atakuwa actor na producer wa hiyo series. Miongoni mwa kazi zake ni coming to America 2 na black ish,

Miongoni mwa mastar watakaokuwepo kwenye hii series ni Bright Okpocha aka basketmouth from Nigeria.

[ Wabongo wachache nilioongea nao waliona ni ndoto hiyo kitu kufanyika, nikaamua kuachana nao. ]

Nitawapa details zaidi…..

* *

My advice.
If you have an idea, a game, a script or a continuous output that you want to present to Netflix. you must work through an authorized agent, producer, lawyer, manager or industry leader, as applicable, who has an existing relationship with Netflix..

Netflix would pay between $5,000 and $70,000 per licensed African film for ROI.

There are two ways for you to sell your script to Netflix. First, develop a relationship with certain Netflix employees, or send your script through a letter of request to Netflix's licensed literary agent. IMDB Pro can assist you in finding a useful tool to use if you are able to use it correctly.

* **
Guys
Wapendwa nawashukuru sanab kwa kutenga muda wenu kuwa na mimi hapa, hakika nathamini upendo huo.

Naomba atakaeguswa, aniombee kwa imani yake, hali yangu kiafya sio nzuri. Natarajia kufanyiwa pacemaker replacement ijumaa hii. Hii ya kwanza niliyonayo imepata hitilafu kutokana na mazingira, wanadai usumaku umeiathiri, haifanyi kazi vizuri.

Pia baada ya replacement nitakuwa mbali na vitu vya electronics hasa simu, nikipata wasaa nitakuja hapa kuwasalimia ndugu zangu.

Nashukuru sana kwa mapokezi yenu japo nipo tangu 2007 kwa id tofauti. Muwe na wakati mwema. 🙏

* **
English: Thank you very much for your precious time, see you around🙏

Finnish: Kiitos paljon arvokkaasta ajasta, nähdään.🙏

Portuguese: Muito obrigado pelo seu precioso tempo, vejo você por aí.🙏

Germany: Vielen Dank für Ihre kostbare Zeit, bis bald.🙏

Arabic: shukran jazilan ealaa waqtik althamin , 'arak fi aljawar..🙏

French: Merci beaucoup pour votre temps précieux, à bientôt. 🙏

#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.

Keep in mind! 👇
Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life'…… 👋
View attachment 2600576
* 2023 **
The End. We have been great. .
Missy Gf
moneytalk
Analyse
Half american
Watu8
Dr Restart
baby zu
Depal
Antonnia
Kalpana
Lovelovie
Glenn
Mamaya
Binadamu Mtakatifu
Demi
mshamba_hachekwi
Nima Imma
Darlin
Lloyd Munroe
Dahan
Johnnie Walker
Leejay49
Amehlo
Palina
am 4 real
Shunie
Numbisa
Bantu Lady
charlote
Kalpana
Luv
Urban Edmund
masai dada
Tayukwa
Kelsea
Antennah
Cee
Litro
Nourhan
 
Part Fifteen B: I hate to see you suffer from my bad behavior.

[emoji112]Farewell Tatiana,

June 4,2020

Napokea taarifa ya kifo cha mama Violet (Tatiana), alifariki kifo cha kawaida tu kutokana na uzee, alikuwa na miaka 68.

Nilifanya utaratibu wa kwenda msibani, niliongozana na mke wangu Rosemary . Tulimaliza msiba salama, ikabidi kufanya kikao kama familia kujua tunasongaje mbele.

Nilisimama kama kiongozi wa familia, kwa vile ni mwanaume, pia kwa umri namzidi Rose na Violet, pia baada ya kifo cha baba Violet (mr. Collins ), Miongoni mwa yale mafile aliagiza nipewe kulikuwa na maelekezo ya kuwa kiongozi wa familia ile. Hata mama Violet (Tatiana ) alinisisitiza hilo kipindi tulifanya kikao baada ya kifo cha mmewe.

Tulikubaliana kuishi kulingana na misingi tulio achiwa na wazazi wetu.

Edson : "Poleni kwa msiba, sisi tumepoteza mama na watoto wamepoteza bibi, tunapaswa kumshukuru Mungu maana hawezi kutupa mtihani ambao hatuwezi kuumudu.

Katika maisha yetu tumepoteza wapendwa wetu, tuliwapenda sana lakini Mungu aliona wamemaliza kazi aliyowapa hivyo akawachukua, Mzee Anthony, Mzee Collins, Mama (Antonia), Mama (Tatiana).

Pia tufanye lililo jema ili kukamilisha safari yetu sisi tuliobaki, ili wapendwa wetu wafurahie kile walichopandikizwa ndani yetu"

[Mtu hafi, mwili huoza, mtu hurudi kwa muumba wake kusubiri siku ya hukumu. Kwa sababu mtu si mwili, mtu ni nafsi ya ndani.]

"Violet nakushukuru sana, tumeshirikiana vyema katika matatizo na misukosuko, hakuna siku ulituacha, hata ulipopata sababu ya kuondoka lakini ulichagua kubaki nasi, asante sana kwa wema wako.

Rosemary pia nakushukuru sana kwa uvumilivu wako mchango wako mkubwa kwa familia hii, umetoa ushirikiano mkubwa. Hongera kwa moyo ulionao. "

Edson Jr1, Asante kwa mchango wako wa kumsaidia mama yako, wewe ni hodari na jasiri, familia hii haitaanguka kamwe. Wewe ndiye kaka mkubwa na mkuu wa wenzako, wewe ndiye msingi wa familia hii. Jengo salama na imara inategemea ubora wa msingi.

Unapaswa kuwa kaka mzuri ili tujivunie mafanikio yako. Umemaliza shahada yako ya uzamili, ni wakati wako wa kuwatunza wadogo zako. Fanya kazi kwa bidii na kila wakati mtangulize Mungu, waongoze vyema wenzako.

Eila, Nashukuru kwa mchango wako katika familia, umekuwa msaada mkubwa kwa mama yako, wewe ni kuta zinazowalinda ndugu zako, kamwe wasipate nyufa. Wewe ni binti mkubwa sasa, umemaliza masomo. . Ni wakati wako wa kuwaangalia wadogo zako, na kuwaongoza vyema. Usisahau hata siku moja yale ambayo wazazi wako walikufundisha."

Elisa, Nakushukuru kwa mchango wako kwa familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako. Wewe ni madirisha ya familia hii, ukifunga wanakosa hewa safi na mwanga ndani ya nyumba. Siku zote tambua kuwa hawa ni kaka na dada zako, nataka ushirikiano na heshima kutoka kwenu nyote. Unamaliza masomo yako, jiandae kutumia ulichonacho kuwasaidia ndugu zako."

Elise, Nakushukuru kwa mchango wako katika familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako, wewe ni paa katika familia hii, usikubali ndugu zako wakutane na hali mbaya ya hewa, hakuna mafanikio katika maisha bila ushirikiano. Ukikumbana na tatizo ndugu zako ndio wajue kwanza. Heshimu kila mtu, mdogo au mkubwa.

Edson Jr2, Nakushukuru kwa mchango wako katika familia hii, umekuwa msaada mkubwa kwa wazazi wako, wewe ni nguzo katika familia hii, ukianguka msingi, kuta, madirisha na paa vyote vitaanguka. ndio wa mwisho katika familia hii, maana yake unatakiwa kuwashikilia ndugu za wasianguke.

Shirikiana na ndugu zako, jifunze mambo mazuri ya ndugu zako, jitahidi katika masomo yako utafanikiwa.

Asante kwa kunisikiliza, naomba mchangie

Violet : "Tunakushukuru sana baba, umetuongoza vyema mpaka sasa. Tumeshirikiana kwa kila jambo, na kwa upendo, sina ndugu ila wewe na familia yangu tu. Asante kwa kushiriki msiba wa mama yangu, na msiba wa baba yangu. Naipenda sana familia yangu. Edson, nakushukuru kwa kunifariji na kunishauri, hakika una moyo wa kipekee sana.

Hukati tamaa, huchukii, huwa unashauri kwa upendo. Natamani hawa watoto wetu wawe na moyo kama huu wako. Mdogo wangu Rosemary nakushukuru sana kwa upendo uliouonyesha. Hakika nimejifunza kitu muhimu sana kutoka kwako. Nakupenda sana, tuna wajibu wa kumtunza Edson, tulipewa kama zawadi ya kutuonyesha njia iliyonyooka.

Rosemary : " Asante baba na asante sana dada Violet , nashindwa hata niseme nini maana umemaliza kila kitu, nilipokutana na huyu mwanaume nikaona ni kana kwamba nilikutana na malaika nikiwa na matatizo. hajawahi kubadilika tangu hapo Mungu ana sababu zake za kujiunga na familia hii tupendane zaidi tuzidi kumuombea huyu baba atuongoze vizuri."

Edson : " Asante Rosemary na Violet, nyie ni wa maana sana kwangu. Tuendelee kusaidiana, nawapenda sana. Ngoja tumalizane na watoto, Nyie leo hamuongei?"

Edson Jr 1 : " Tulisubiri umalize kuongea baba, asante kwa ujumbe wako umenigusa naahidi nitafuata nyayo zako, wadogo zangu wako kwenye mikono salama nitawaongoza vyema kabisa. Asante mama zangu mnatufundisha kitu cha maana sana nawapenda sana.

Eila : " Asante wazazi wangu, nitafanya kile mlichonifundisha kwa hakika. Nawapenda sana."

Elisa : "Asante wazazi wangu, nitashirikiana na wenzangu kufanyia kazi ushauri na maagizo yako baba, asanteni sana."

Elise : "Asante mama na baba, naahidi sitawaangusha. Nawapenda sana."

Edson Jr2: "Asante, Baba. Ulichojenga kitaendelea kuwa na nguvu. Nakupenda sana. Nitafata maagizo yako yote, Asante sana mama zangu, nawapenda."

** ** **
Nakabidhi majukumu kwa kila mmoja wetu, watoto ni wakati wenu kufanya kazi na kujifunza tukiwa bado tuna nguvu, ili tuwakosoe mnapokosea.

Mali zote za familia zinakuwa mikononi mwenu, sitaki ubinafsi maana nyie ni ndugu, hakuna mwenye haki kuliko mwingine hapa. Mmepata akili mkakuta nasimamia hizi mali bila upendeleo, Violet na Rosemary wote ni mama kwenu, hakuna mama mwenye haki kuzidi mwenzake hapa, na nyinyi pia hakuna mwenye haki kuzidi mwingine.

Atakaeleta ubinafsi atajibu kwangu moja kwa moja, sitakuwa na msamaha kwa mkorofi baada ya haya maelekezo yangu.

Mnapewa jukumu la kusimamia mali sio kumiliki, umiliki unabaki kuwa wa familia. Sisi kama wazazi tutakuwepo kuwasimamia.

**********
Baada ya kumaliza msiba na kukabidhiana majukumu, niliona sio mbaya tutafute chimbo moja, tutulie tupange yajayo. Pia nilitaka kumfariji Violet ili tukiondoka na Rosemary awe amekaa normal.

Katika upekuzi nikapata kijiji kimoja kizuri sana, nikawashirikisha maua yangu, wote wakaunga ukono.

Tulienda kutoa ushamba Sehemu Ina julikana kama Santa Claus Holiday Village. Kiko katikati mwa Kijiji cha Santa Claus, kilomita 10 kaskazini mwa Rovaniemi.

Tulifurahia kuteleza na kupanda milima iliyo karibu. Chakula cha kupendeza sana na cha kimataifa kinatolewa Christmas House Restaurant & Coffee.

Ni Mgahawa mkubwa na mzuri sana. Ni mwendo wa kama dakika 5 hivi kwenda uwanja wa ndege wa Rovaniemi.

Tulikaa Rovaniemi kwa wiki tatu, Tulifanikiwa kutembelea mitaa kadhaa nikiwa mimi na maua yangu. Kisha tukarudi jiji letu la joto.

***********

Next

Final Part A: Where youth meets old age.
[emoji3578]LP: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

View attachment 2600401View attachment 2600402View attachment 2600403
[emoji7][emoji7] binamu asanteee
 
Final Part : Where youth meets old age.

Watoto wa kaka Edwin na Edith.

Catherine ni Dr. Bingwa wa watoto yuko Namibia, ameolewa na Mtanzania mwenzake nae ni Dr. huko Namibia, wana watoto watatu sasa.

Careen alipenda kuwa kama baba yake, kwa sasa ni captain yuko pale Air wings, ukonga. Aliolewa na mkurya mmoja, japo walishindwana wakaachana, wamepata mtoto mmoja.

Charles yuko ujerumani, nilimuunganisha na Isabella akamtafutia kazi kwenye campuni yao , kwa sasa anafanya biashara zake na ameoa mjerumani, wana watoto wawili. Anaishi na Edson Jr3.

Caressa alianzia kazi Finland, Violet alimtafutia kazi shirika binafsi. Kwa sasa ameolewa wakahamia Serbia, ana mtoto mmoja.

Niliwapambania kama malipo ya fadhira kwa kaka yangu na shemeji yangu, walinitafutia na mimi kazi kule Ethiopia.

* *

Sina ukoo, babu alifariki baba akiwa mdogo, alilelewa na rafiki tu wa baba, ndio maana hatukuwajua ndugu wa upande wa baba. Ndugu nilionao ni wale wa upande wa mama, mama alikuwa na kaka yake (Paul), huyu ana watoto sita, ndio tuko ukoo wa mama.

Watoto wake mjomba niliwatafutia kazi kadri ya uhitaji wa kila mmoja, wa biashara niliwawezesha, wote wanaishi maisha yao mazuri tu. Japo kuna ka binamu kangu karembo kalitaka kuniingiza mkenge kabla ya kifo cha mama, nashukuru nilimkemea huyo pepo akaondoka, tukabaki tunaheshimiana sana.

Sijui asili ya kabila langu, naweza sema sijui mimi ni kabila gani, ila nilijitahidi kujifunza lugha mbali mbali za makabila niliyofanikiwa kuishi nayo, nazungumza vizuri Kihaya, kikurya, kisukuma, kimasai, kimeru na kingoni. Pia nasikia baadhi ya lugha ila kujibu ni mtihani kama vile kijita, kihehe, kichaga, kipare, hapa ukiniteta najua ila siyo maeno yote na kujibu siwezi.

* **

Education

Twins: Edson Jr 1 & Eila, Sept 28, 1999

2006-2014: Comprehensive school education Primary & Secondary .

2014 - 2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019: 2 yrs, credit 120. Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

* *

Eila Edson.
2006- 2014:Comprehensive school education (Primary & Secondary).

2014-2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science.

2017-2019: 2 yrs, credit 120, Masters of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science

* **

Elisa Edson, Jan 2 2000
2007 - 2015: Comprehensive school education

2015 - 2018: Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

2018-2020: Master's Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

* **
Elise Edson. June 12, 2003
2010 - 2018: Comprehensive school education

2018 - 2021: Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences

2021-2023: Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences.

* **
Edson Jr2, April 22 2005
2012 - 2020: Comprehensive school education

2021 - ongoing: Bachelor in Finance, University of Oulu

* **
Edson Jr3 August 8,2009
2016 - ongoing : Comprehensive school education.

* **

Rosemary Edson .
Bachelor of Business Administration in International Business. UDSM

* **
Violet Edson
Bachelor Programme in Business, Information Technology. LUT University.

* **
Edson Anthony.
1982 - 1989: Certificate in Primary education. Misufini - Songea, Kitete- Iringa and Sanawari- Arusha.

1990 - 1993: Certificate in Secondary education. Songea boys - Ruvuma.

1994 - 1995: Certificate in Advance Secondary education. Ilboru high school - Arusha.

1996 - 1998: 'Bachelor of Arts Economics and Statistics. UDSM

2009 - 2011 : Bachelor in Audio Engineering, SAE Institute , Munich, Germany

2013 - 2015 : Bachelor in Chamber Music. Malardalen University, Vasteras, Sweden

2016-2018 : Bachelor of Theology and psychology. Evangelical seminary, Finland

Language proficiency: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

Local languages: Kiswahili, kiganda, Kingoni,, Kimasai, kimeru, kipare na kikurya kiasi.

** * *

Distribution of property.
Electronics company. {Finland}
Edson Jr1 20% as MD, Edson Jr2 20% as ED, Elise 10% as ED, Elisa 10% as FD, Eila 10% as ED and Parents 30% as Board managers

Beef company {Finland}
Edson Jr1 20% as ED, Edson Jr2 20% as MD
Eila 10% as FD, Elise 10% as ED, Elisa 10% as ED, and Parents 30% as Board managers

Accountability.
Electronics company: Edson Jr 1, Elise and
Edson Jr 2

Beef company, Elisa and Eila

Tourism company {Tanzania}
Rosemary 50% shares with her kids and Violet 50% shares with her kids.

Hotel {Arusha}
Edson Jr3 60% shares
Rosemary 20% shares with her kids and Violet 20% shares with her kids.

Arusha shops: Rosemary 100% shares.
Dar shops: Violet 100%

Tenant houses {Sakina & Njiro}
Rosemary 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Tenant houses {Kigamboni & Tabata}
Violet 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Residential house. {Sakina}
Rosemary 100% shares with her kids.

Residential house. {Kigamboni}
Violet 100% shares with her kids.

** **

UJUMBE MHIMU:
Waebrania 13:2
Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

Malaika wangu ni Mr Collins na familia yake.
* *

I don't regret it
The things I don't regret in my life is the decisions I've made for refusing to move to Finland, marrying Rosemary and stay with Violet.
* **

Regrets
# I regret
Not taking the first decisions regarding my relationship with Violet, and Rosemary. This situation led me to a crisis in my faith.
* **

# I regret
Mwaka juzi nilimsaidia wanafunzi wa chuo cha Udom, anaitwa Aisha. Alikuwa amefiwa na baba yake, akawa anatatuta usafiri wa kufika kwao Mtwara, hakuwa na pesa ikabidi amuombe boyfriend wake ambae sio mwanafunzi, wakakubalia wakutane Stand ya mkoa ili ampe nauli aondoke, yule dada alikaa pale stand toka saa 6 mchana mpaka saa 9.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya Dar, nikasimama hapo stand kuchukua mafuta, nikakutana na friend of mine, tukiwa tunaongea, huyo Aisha akaja tulipokuwa, akasalimia vizuri, akasema shida yake. Yule jamaa yangu akaniambia hawa ni malaya wa hapa mjini achana nao. Kweli nilimjibu yule Aisha kuwa sina cha kumsaidia. Akashukuru na kuondoka.

Masaa mawili baadae nikiwa naanza safari, nikamuona Aisha jirani na nane nane petrol station amekaa pembeni na begi lake. Nikasimama, nikamuita akaja nikamwambia apande twende maana naelekea Dar.

Alishukuru sana, akapanda, muda mwingi akawa analia tu kwa kufiwa na baba na kudanganywa na mpenzi wake. Njiani niliamini maneno ya yule rafiki yangu, Aisha akaanza mawindo ndani ya gari.

Alikaa siti ya mbele na mizigo tumeweka siti ya nyuma, kumbe alikuwa amevaa sketi fupi sana hata magotini haifiki, akawa amevaa mtandio juu yake. Kutokana na Ac ya gari, akavua mtandio ili ajifunike, akaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, ukizingati ana hips kubwa, nilimchukulia kama binti yangu tu.

Nikaona nikimwambia akae vizuri atajua nimetamani, nikanyamza tu. Tukafika Dar, nikamchukulia Hotel pale ubungo, nikampa nauli na pesa za ziada. Akalia sana wakati anazipokea, akaniomba namba nikampa nikaondoka.

Baada ya miezi miwili akaniomba tuonane, ni binti mzuri sana, ana hips kubwa na kalio la size yake.

Nikamwambia anieleze kama kuna shida nitamsaidia ila kuonana haitawezekana. . Nikakataa kuonana nae, maana nilijua anchotaka sitaweza kumpa.

Kumbe hakuwa mkazi wa mtwara, alidanganya ili apate nauli kubwa. Hakuacha usumbufu ila nikampuuza, mwaka jana mwezi wa pili nikapigiwa simu na mama yake, kuwa Aisha anaomba msaada ana matatizo ya moyo, ameambiwa aende India hawana pesa ya nauli na matibabu, nikakubali kuwachangia, sina hakika kama walienda au laa maana sikufatilia.

Mwezi wa nne nikaona usumbufu unazidi, nikamtafutia kazi pale Benjamin Mkapa Pension House, kuna kampuni moja ilikuwa mle.

Baada ya miezi miwili ya kufanya kazi, mama mtu akanitafuta, akaomba nionane nae, nikamfata maeneo ya mgulani jkt. Akaniomba niende kwao nikakataa, tukakaa sehemu tuongee. Mama na mwanae wakawa wananisihi nisimtese Aisha, ananipenda, nikawambia nina binti wa umri kama Aisha, nilimsaidia tu, ningetaka mahusinao nae ningejilipa the same day.

Nashukuru kwa kuwa ananipenda, naomba nimpe mtaji afanye biashara, Aisha akasema mbele ya mama yake, hataki pesa zangu ananitaka mimi ili apone.

Nialiamua kuchukua kiasi cha pesa nilishakiandaa, nikampa Aisha akakataa ila mama akapokea, kiliwatosha kufungua biashara nzuri. Nikaondoka, lakini Aisha hakuwahi pumzika kunitafuta na hapo kati nimemhudumia sana akidai anaumwa na hawana chakula, ila hatuonani tu, japo anafanya kazi.

Mwaka huu mwezi April siku nimebadili avatar yangu kutoka [Charles Champlin kuwa crying eye] , Aisha akanywa vidonge, baada ya kukataa kuonana nae siku ya pasaka, akafariki kwa kukosa penzi langu. Niliumia sana kwa maamuzi yake, ilisaidia kwa moyo, amenipa majuto.

* **

# I regret
Kipindi flani nilimpenda dada mmoja anaitwa Hadijah, alikuwa mzuri sana, nilimfahamu tangu akiwa chuo mkoa flani. Baadae nikakutana nae akiwa ameajiliwa, nikajaribu kuanzisha urafiki nae kwa njia za kawaida bila yeye kujua kama nina hali gani kiuchumi, nilikuwa simple sana mbele yake.

Akawa anatoa ushirikiano mara ananipotezea. Kila mara nikijiweka karibu nae, hanithamini, na malalamiko yasiyoisha, nikakata tamaa nikaachana nae.

Baada ya muda flani, nikajisiki tu nimsaidie kwa vile nilimpenda sana, alinivutia, nikaomba nimsomeshee mtoto wake na aniambie biashara anayotaka nimpe mtaji ili awe na kipato cha uhakika asitegemee ajira tu.

Akafurahi sana, akarudisha urafika kama mwanzo. Nikamwambia, sitaki tuonane, ili usiseme na namsaidia ili nile tunda lake.

Akaanza kunijali kiasi kupitia sms, sikuwa na nia ya kutaka penzi lake kwa vile nilishaona hana upendo kwangu, ila amerudi baada ya kusikia nataka kumpa msaada. Tukaanza mipango, nikiwa nasubiri jibu la biashara yake anayotaka, nikasafiri kwenda fin, bila yeye kujua.

Akaibiwa vitu anapokaa, akanilalamikia sana kama vile nimeiba mimi, nikamwambia anitajie nitamlipa asiwaze.

Akaorozesha kama 460000, ila nikaona ametaja vitu low quality, Tv inch 24 sundar?. Nikakusudia nikamfanyie shopping nikirudi, zilibakiza wiki 3 tu nirudi, akachukia kumbe alitaka nimpe ile laki 4 na 60 hapo hapo, wakati mimi nimewaza kununua vitu vya zaidi ya milioni. Baada ya muda akarudi tena na sweetie nyingi, nikasamehe.

Baada ya kuona ana hamu ya kuniona, maana aliomba mpaka whatsapp namba, nikamnyima, nikaamua kukubali tuonane nikirudi, Akafurahi.

The same day, akaniomba nimletee simu ya IPhone macho matatu au manne, nikakubali, nikamwahidi na zawadi nyingine pia, ila nikabaki najiuliza, huyu nimempata nafasi ya kumpa mtaji wa biashara , na kumlipia ada ya mtoto wake kwa miaka 7 maana yuko nursery, kwa nini haoni hayo anaona tu vitu vidogo vidogo kama simu.

The other day nikamtumia ujumbeb kuwa aache mawazo ya vitu vidogo, anijibu kuhusu mtaji, hivyo vingine nitampa kama zawadi sio lazima aniombe,

Nikamwambia " usiombe samaki mmoja kwa mtu anaetaka kukupa ndoano na kukufundisha kupata samaki wengi",

akakasirika, akaona nimemsimanga.

Baadae akanijibu sitaki tena mtaji wako, wala umsomeshe mwanangu, nitapambana menyewe. Nimegundua ukinisaidia nitakuwa mtumwa wako kimapenzi, itakuwa kila nikitaka kitu lazima nikupe tunda ndipo nikipate.

Nikamfafanulia kwa nini sikutaka kuonana nae na kuwa ni yeye amenishawishi nionane nae. Pia nikamuomba tuache mpango wa kuonana, nitamtumia hizo zawadi na pesa kama tulivyokubalia, akajibu nisimtukane kama shida ni zake.

Sikumtafuta tena, akanitumia ujumbe tena kuwa nisimtukane na yeye hataki msaada wangu. Nikamjibu mbona tangu umenitumia sms sijakujibu, naomba block namba yangu.

Akanyamaza sana kisha akanijibu siwezi kublock namba yako, sina ugonvi na wewe, acha hasira, nataka tuwe peace ✌️.

Nilimwambia nimempa options, anapaswa kuamua kukubali au kukataa, kama anakubali aseme biashara gani na mtaji kiasi gani. Alikuwa ameniambia ada ya mtoto ni 1.2m kwa mwaka nikajua hapa nato 8. 4m kwa miaka 7. Ila biashara hataki kusema. Tatizo likawa kutoa taarifa zake ili apokee pesa kwa Western union, au posta, akawa na mashaka ya kutoa details za national ID yake.

Binafsi niliamua kumpotezea nisimuulize tena, nikawa nasubiri aseme njia nzuri ya yeye kupokea hiyo pesa, japo sikujua alinichukuliaje kwa utayari wangu kumsaidia. Mpaka leo sijui kwa nini alinidharau kiasi kile huku anautaka msaada wangu.

Mpaka leo najuta maana upendo ulinifanya nikadharaulika na mrembo Hadijah. Way back!!!

* **
Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.

Je, Biblia inasema nini kuhusu kutorudia dhambi?

“Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata kuzitii tamaa zake; msivitoe viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu. Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa kuwa hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

Ni dhambi gani pekee ambayo haiwezi kusamehewa?

Mistari: Marko 3:28–29, Mathayo 12:31–32, na Luka 12:10, Waebrania 6:4–6, Waebrania 10:26–31, na 1 Yohana 5:16.

Kwa hiyo nawaambia, watu watasamehewa kila dhambi na kufuru, lakini kumkufuru Roho hawatasamehewa.

Yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu huu wala katika ule ujao.

* **

Song: Lord I Hope This Day Is Good
Album: Especially for You
Released: 1981
Artist: Don Williams
Genre: Country


Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord I hope you understand

I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

You've been the King since the dawn of time
All that I'm askin' is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for you

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

* *
Jiandaeni Kwa SERIES YA HUU MKASA
toka NETFLIX.

Kwa yoyote atakae utumia huu mkasa kwa njia yoyote ile, atambue kuwa asiuweke kwenye digital platforms fotauti na Jamii Forums, akifanya hivyo atakutana na Netflix kama wamiliki halali, Be informed.

Wanatambua kuwa nimechapisha sehemu ndogo ya huo mkasa upande wa mapenzi pekee, na link wanayo wameuona.

[ Hatua za kujilinda dhidi ya madai ya ukiukaji wa hakimiliki, Usinakili chochote, Omba hati ya haki ya kutumia, Andika kazi yako mwenyewe.]

Huu mkasa umesajiliwa cosota, na ni mali ya Netflix kuanzia January 8, 2022. Tulikubaliana nitumie sehemu 30% tu kama nitachapisha kitabu, 70% ya mkasa huu imebaki kuwa mali ya Netflix.

Hapa nimeelezea upande mmoja tu wa maisha yangu, kuna dark side sijagusa kabisa, namna nilivyomalizana na Ludvig na genge lake sijaelezea, kutapeliwa mamilion ya pesa nilizochuma nikiwa na Ludvig, Nilivyo pata dili la pesa ndefu kupeleka siraha za magendo somewhere , usaliti wa Alfred nk yatakuwa kwenye hii series. Haya matukio ya dark side ni kambla sijakutana na mwanga mpya na kuokoka.

Itakuwa na seasons 4 kila moja episodes 8 play time 1hr kwa kila episode. Kwa sasa uzalishaji umefikia 23%.

Nafasi yangu itachezwa na Kenya Barris, sababu ya kumchagua tunalingana umri na ana watoto sita kama mimi pia ana vituko, tunashabihiana kwa mambo mengi sana. Atakuwa actor na producer wa hiyo series. Miongoni mwa kazi zake ni coming to America 2 na black ish,

Miongoni mwa mastar watakaokuwepo kwenye hii series ni Bright Okpocha aka basketmouth from Nigeria.

[ Wabongo wachache nilioongea nao waliona ni ndoto hiyo kitu kufanyika, nikaamua kuachana nao. ]

Nitawapa details zaidi…..

* *

My advice.
If you have an idea, a game, a script or a continuous output that you want to present to Netflix. you must work through an authorized agent, producer, lawyer, manager or industry leader, as applicable, who has an existing relationship with Netflix..

Netflix would pay between $5,000 and $70,000 per licensed African film for ROI.

There are two ways for you to sell your script to Netflix. First, develop a relationship with certain Netflix employees, or send your script through a letter of request to Netflix's licensed literary agent. IMDB Pro can assist you in finding a useful tool to use if you are able to use it correctly.

* **
Guys
Wapendwa nawashukuru sanab kwa kutenga muda wenu kuwa na mimi hapa, hakika nathamini upendo huo.

Naomba atakaeguswa, aniombee kwa imani yake, hali yangu kiafya sio nzuri. Natarajia kufanyiwa pacemaker replacement ijumaa hii. Hii ya kwanza niliyonayo imepata hitilafu kutokana na mazingira, wanadai usumaku umeiathiri, haifanyi kazi vizuri.

Pia baada ya replacement nitakuwa mbali na vitu vya electronics hasa simu, nikipata wasaa nitakuja hapa kuwasalimia ndugu zangu.

Nashukuru sana kwa mapokezi yenu japo nipo tangu 2007 kwa id tofauti. Muwe na wakati mwema. 🙏

* **
English: Thank you very much for your precious time, see you around🙏

Finnish: Kiitos paljon arvokkaasta ajasta, nähdään.🙏

Portuguese: Muito obrigado pelo seu precioso tempo, vejo você por aí.🙏

Germany: Vielen Dank für Ihre kostbare Zeit, bis bald.🙏

Arabic: shukran jazilan ealaa waqtik althamin , 'arak fi aljawar..🙏

French: Merci beaucoup pour votre temps précieux, à bientôt. 🙏

#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.

Keep in mind! 👇
Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life'…… 👋
View attachment 2600576
* 2023 **
Mungu akujalie kheri na afya njema,unayoyapanga na unayoyatamani yatimie kwa jina Yesu.

Nakushukuru sana kwa hii simulizi,umeniongezea vingi kwenye ufahamu wangu,moja ya watu wachache wenye utu duniani,una moyo wa kipekee sana chief.

Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.
 
Asante sana kwa simulizi nzuri hivi unajua wewe ndo ulonifanya nifungue account humu J. F,nilikuwa naingia tu ka mgeni nasoma habari mbalimbali haswa za siasa na mwamba The Bold Habib Anga,nilisoma simulizi yako kwa siku moja nilikesha mpaka mume wangu akashangaa mbona niko busy na simu ikabidi nimsomee mpaka usingizi ukampitia😁ni me burudika na kujifunza pia Muslim tuna amini maradhi ni ibada na wale vipenzi vya Mungu basi huwapa mtihani kama maradhi na kadhalika ili kuwapima imani zao watashukuru au watakufuru kama ilivyokuwa kwa nabii Ayoub,namuomba Mwenyeezi Mungu bwana wa mabwana mfalme wa mbinguni na ardhini akuponyeshe kwa haraka,kuna maswali nilikuwa najiuliza ila nilisubiri ufike mwisho nashukuru umeyajibu kuhusu Ludvig ulimkwepa vp,tunasubiri kwa hamu sijalipia Netflix muda mrefu ikitoka nitalipia nione 😁sema nini tungejuana mapema ningeomba character moja naona ya Jamila Ethiopia ingenifaa msomali mwenzangu 😁
 
Final Part : Where youth meets old age.

Watoto wa kaka Edwin na Edith.

Catherine ni Dr. Bingwa wa watoto yuko Namibia, ameolewa na Mtanzania mwenzake nae ni Dr. huko Namibia, wana watoto watatu sasa.

Careen alipenda kuwa kama baba yake, kwa sasa ni captain yuko pale Air wings, ukonga. Aliolewa na mkurya mmoja, japo walishindwana wakaachana, wamepata mtoto mmoja.

Charles yuko ujerumani, nilimuunganisha na Isabella akamtafutia kazi kwenye campuni yao , kwa sasa anafanya biashara zake na ameoa mjerumani, wana watoto wawili. Anaishi na Edson Jr3.

Caressa alianzia kazi Finland, Violet alimtafutia kazi shirika binafsi. Kwa sasa ameolewa wakahamia Serbia, ana mtoto mmoja.

Niliwapambania kama malipo ya fadhira kwa kaka yangu na shemeji yangu, walinitafutia na mimi kazi kule Ethiopia.

* *

Sina ukoo, babu alifariki baba akiwa mdogo, alilelewa na rafiki tu wa baba, ndio maana hatukuwajua ndugu wa upande wa baba. Ndugu nilionao ni wale wa upande wa mama, mama alikuwa na kaka yake (Paul), huyu ana watoto sita, ndio tuko ukoo wa mama.

Watoto wake mjomba niliwatafutia kazi kadri ya uhitaji wa kila mmoja, wa biashara niliwawezesha, wote wanaishi maisha yao mazuri tu. Japo kuna ka binamu kangu karembo kalitaka kuniingiza mkenge kabla ya kifo cha mama, nashukuru nilimkemea huyo pepo akaondoka, tukabaki tunaheshimiana sana.

Sijui asili ya kabila langu, naweza sema sijui mimi ni kabila gani, ila nilijitahidi kujifunza lugha mbali mbali za makabila niliyofanikiwa kuishi nayo, nazungumza vizuri Kihaya, kikurya, kisukuma, kimasai, kimeru na kingoni. Pia nasikia baadhi ya lugha ila kujibu ni mtihani kama vile kijita, kihehe, kichaga, kipare, hapa ukiniteta najua ila siyo maeno yote na kujibu siwezi.

* **

Education

Twins: Edson Jr 1 & Eila, Sept 28, 1999

2006-2014: Comprehensive school education Primary & Secondary .

2014 - 2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

2017-2019: 2 yrs, credit 120. Masters degree in Electrical Engineering and Computer Science (EECS) ' LUT University.

* *

Eila Edson.
2006- 2014:Comprehensive school education (Primary & Secondary).

2014-2017: 3 yrs,credit 180. Bachelor of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science.

2017-2019: 2 yrs, credit 120, Masters of Business Administration in International Business. Lapland University of Applied Science

* **

Elisa Edson, Jan 2 2000
2007 - 2015: Comprehensive school education

2015 - 2018: Bachelor Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

2018-2020: Master's Programme in Strategic Finance and Analytics. LUT University.

* **
Elise Edson. June 12, 2003
2010 - 2018: Comprehensive school education

2018 - 2021: Bachelor of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences

2021-2023: Masters of Culture and Arts in Smart and Sustainable Design. Häme University of Applied Sciences.

* **
Edson Jr2, April 22 2005
2012 - 2020: Comprehensive school education

2021 - ongoing: Bachelor in Finance, University of Oulu

* **
Edson Jr3 August 8,2009
2016 - ongoing : Comprehensive school education.

* **

Rosemary Edson .
Bachelor of Business Administration in International Business. UDSM

* **
Violet Edson
Bachelor Programme in Business, Information Technology. LUT University.

* **
Edson Anthony.
1982 - 1989: Certificate in Primary education. Misufini - Songea, Kitete- Iringa and Sanawari- Arusha.

1990 - 1993: Certificate in Secondary education. Songea boys - Ruvuma.

1994 - 1995: Certificate in Advance Secondary education. Ilboru high school - Arusha.

1996 - 1998: 'Bachelor of Arts Economics and Statistics. UDSM

2009 - 2011 : Bachelor in Audio Engineering, SAE Institute , Munich, Germany

2013 - 2015 : Bachelor in Chamber Music. Malardalen University, Vasteras, Sweden

2016-2018 : Bachelor of Theology and psychology. Evangelical seminary, Finland

Language proficiency: Finnish, English, Portugal, Arabic, French and Germany.

Local languages: Kiswahili, kiganda, Kingoni,, Kimasai, kimeru, kipare na kikurya kiasi.

** * *

Distribution of property.
Electronics company. {Finland}
Edson Jr1 20% as MD, Edson Jr2 20% as ED, Elise 10% as ED, Elisa 10% as FD, Eila 10% as ED and Parents 30% as Board managers

Beef company {Finland}
Edson Jr1 20% as ED, Edson Jr2 20% as MD
Eila 10% as FD, Elise 10% as ED, Elisa 10% as ED, and Parents 30% as Board managers

Accountability.
Electronics company: Edson Jr 1, Elise and
Edson Jr 2

Beef company, Elisa and Eila

Tourism company {Tanzania}
Rosemary 50% shares with her kids and Violet 50% shares with her kids.

Hotel {Arusha}
Edson Jr3 60% shares
Rosemary 20% shares with her kids and Violet 20% shares with her kids.

Arusha shops: Rosemary 100% shares.
Dar shops: Violet 100%

Tenant houses {Sakina & Njiro}
Rosemary 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Tenant houses {Kigamboni & Tabata}
Violet 80% shares with her kids and Edson Jr3 20% shares.

Residential house. {Sakina}
Rosemary 100% shares with her kids.

Residential house. {Kigamboni}
Violet 100% shares with her kids.

** **

UJUMBE MHIMU:
Waebrania 13:2
Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

Malaika wangu ni Mr Collins na familia yake.
* *

I don't regret it
The things I don't regret in my life is the decisions I've made for refusing to move to Finland, marrying Rosemary and stay with Violet.
* **

Regrets
# I regret
Not taking the first decisions regarding my relationship with Violet, and Rosemary. This situation led me to a crisis in my faith.
* **

# I regret
Mwaka juzi nilimsaidia wanafunzi wa chuo cha Udom, anaitwa Aisha. Alikuwa amefiwa na baba yake, akawa anatatuta usafiri wa kufika kwao Mtwara, hakuwa na pesa ikabidi amuombe boyfriend wake ambae sio mwanafunzi, wakakubalia wakutane Stand ya mkoa ili ampe nauli aondoke, yule dada alikaa pale stand toka saa 6 mchana mpaka saa 9.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya Dar, nikasimama hapo stand kuchukua mafuta, nikakutana na friend of mine, tukiwa tunaongea, huyo Aisha akaja tulipokuwa, akasalimia vizuri, akasema shida yake. Yule jamaa yangu akaniambia hawa ni malaya wa hapa mjini achana nao. Kweli nilimjibu yule Aisha kuwa sina cha kumsaidia. Akashukuru na kuondoka.

Masaa mawili baadae nikiwa naanza safari, nikamuona Aisha jirani na nane nane petrol station amekaa pembeni na begi lake. Nikasimama, nikamuita akaja nikamwambia apande twende maana naelekea Dar.

Alishukuru sana, akapanda, muda mwingi akawa analia tu kwa kufiwa na baba na kudanganywa na mpenzi wake. Njiani niliamini maneno ya yule rafiki yangu, Aisha akaanza mawindo ndani ya gari.

Alikaa siti ya mbele na mizigo tumeweka siti ya nyuma, kumbe alikuwa amevaa sketi fupi sana hata magotini haifiki, akawa amevaa mtandio juu yake. Kutokana na Ac ya gari, akavua mtandio ili ajifunike, akaacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, ukizingati ana hips kubwa, nilimchukulia kama binti yangu tu.

Nikaona nikimwambia akae vizuri atajua nimetamani, nikanyamza tu. Tukafika Dar, nikamchukulia Hotel pale ubungo, nikampa nauli na pesa za ziada. Akalia sana wakati anazipokea, akaniomba namba nikampa nikaondoka.

Baada ya miezi miwili akaniomba tuonane, ni binti mzuri sana, ana hips kubwa na kalio la size yake.

Nikamwambia anieleze kama kuna shida nitamsaidia ila kuonana haitawezekana. . Nikakataa kuonana nae, maana nilijua anchotaka sitaweza kumpa.

Kumbe hakuwa mkazi wa mtwara, alidanganya ili apate nauli kubwa. Hakuacha usumbufu ila nikampuuza, mwaka jana mwezi wa pili nikapigiwa simu na mama yake, kuwa Aisha anaomba msaada ana matatizo ya moyo, ameambiwa aende India hawana pesa ya nauli na matibabu, nikakubali kuwachangia, sina hakika kama walienda au laa maana sikufatilia.

Mwezi wa nne nikaona usumbufu unazidi, nikamtafutia kazi pale Benjamin Mkapa Pension House, kuna kampuni moja ilikuwa mle.

Baada ya miezi miwili ya kufanya kazi, mama mtu akanitafuta, akaomba nionane nae, nikamfata maeneo ya mgulani jkt. Akaniomba niende kwao nikakataa, tukakaa sehemu tuongee. Mama na mwanae wakawa wananisihi nisimtese Aisha, ananipenda, nikawambia nina binti wa umri kama Aisha, nilimsaidia tu, ningetaka mahusinao nae ningejilipa the same day.

Nashukuru kwa kuwa ananipenda, naomba nimpe mtaji afanye biashara, Aisha akasema mbele ya mama yake, hataki pesa zangu ananitaka mimi ili apone.

Nialiamua kuchukua kiasi cha pesa nilishakiandaa, nikampa Aisha akakataa ila mama akapokea, kiliwatosha kufungua biashara nzuri. Nikaondoka, lakini Aisha hakuwahi pumzika kunitafuta na hapo kati nimemhudumia sana akidai anaumwa na hawana chakula, ila hatuonani tu, japo anafanya kazi.

Mwaka huu mwezi April siku nimebadili avatar yangu kutoka [Charles Champlin kuwa crying eye] , Aisha akanywa vidonge, baada ya kukataa kuonana nae siku ya pasaka, akafariki kwa kukosa penzi langu. Niliumia sana kwa maamuzi yake, ilisaidia kwa moyo, amenipa majuto.

* **

# I regret
Kipindi flani nilimpenda dada mmoja anaitwa Hadijah, alikuwa mzuri sana, nilimfahamu tangu akiwa chuo mkoa flani. Baadae nikakutana nae akiwa ameajiliwa, nikajaribu kuanzisha urafiki nae kwa njia za kawaida bila yeye kujua kama nina hali gani kiuchumi, nilikuwa simple sana mbele yake.

Akawa anatoa ushirikiano mara ananipotezea. Kila mara nikijiweka karibu nae, hanithamini, na malalamiko yasiyoisha, nikakata tamaa nikaachana nae.

Baada ya muda flani, nikajisiki tu nimsaidie kwa vile nilimpenda sana, alinivutia, nikaomba nimsomeshee mtoto wake na aniambie biashara anayotaka nimpe mtaji ili awe na kipato cha uhakika asitegemee ajira tu.

Akafurahi sana, akarudisha urafika kama mwanzo. Nikamwambia, sitaki tuonane, ili usiseme na namsaidia ili nile tunda lake.

Akaanza kunijali kiasi kupitia sms, sikuwa na nia ya kutaka penzi lake kwa vile nilishaona hana upendo kwangu, ila amerudi baada ya kusikia nataka kumpa msaada. Tukaanza mipango, nikiwa nasubiri jibu la biashara yake anayotaka, nikasafiri kwenda fin, bila yeye kujua.

Akaibiwa vitu anapokaa, akanilalamikia sana kama vile nimeiba mimi, nikamwambia anitajie nitamlipa asiwaze.

Akaorozesha kama 460000, ila nikaona ametaja vitu low quality, Tv inch 24 sundar?. Nikakusudia nikamfanyie shopping nikirudi, zilibakiza wiki 3 tu nirudi, akachukia kumbe alitaka nimpe ile laki 4 na 60 hapo hapo, wakati mimi nimewaza kununua vitu vya zaidi ya milioni. Baada ya muda akarudi tena na sweetie nyingi, nikasamehe.

Baada ya kuona ana hamu ya kuniona, maana aliomba mpaka whatsapp namba, nikamnyima, nikaamua kukubali tuonane nikirudi, Akafurahi.

The same day, akaniomba nimletee simu ya IPhone macho matatu au manne, nikakubali, nikamwahidi na zawadi nyingine pia, ila nikabaki najiuliza, huyu nimempata nafasi ya kumpa mtaji wa biashara , na kumlipia ada ya mtoto wake kwa miaka 7 maana yuko nursery, kwa nini haoni hayo anaona tu vitu vidogo vidogo kama simu.

The other day nikamtumia ujumbeb kuwa aache mawazo ya vitu vidogo, anijibu kuhusu mtaji, hivyo vingine nitampa kama zawadi sio lazima aniombe,

Nikamwambia " usiombe samaki mmoja kwa mtu anaetaka kukupa ndoano na kukufundisha kupata samaki wengi",

akakasirika, akaona nimemsimanga.

Baadae akanijibu sitaki tena mtaji wako, wala umsomeshe mwanangu, nitapambana menyewe. Nimegundua ukinisaidia nitakuwa mtumwa wako kimapenzi, itakuwa kila nikitaka kitu lazima nikupe tunda ndipo nikipate.

Nikamfafanulia kwa nini sikutaka kuonana nae na kuwa ni yeye amenishawishi nionane nae. Pia nikamuomba tuache mpango wa kuonana, nitamtumia hizo zawadi na pesa kama tulivyokubalia, akajibu nisimtukane kama shida ni zake.

Sikumtafuta tena, akanitumia ujumbe tena kuwa nisimtukane na yeye hataki msaada wangu. Nikamjibu mbona tangu umenitumia sms sijakujibu, naomba block namba yangu.

Akanyamaza sana kisha akanijibu siwezi kublock namba yako, sina ugonvi na wewe, acha hasira, nataka tuwe peace ✌️.

Nilimwambia nimempa options, anapaswa kuamua kukubali au kukataa, kama anakubali aseme biashara gani na mtaji kiasi gani. Alikuwa ameniambia ada ya mtoto ni 1.2m kwa mwaka nikajua hapa nato 8. 4m kwa miaka 7. Ila biashara hataki kusema. Tatizo likawa kutoa taarifa zake ili apokee pesa kwa Western union, au posta, akawa na mashaka ya kutoa details za national ID yake.

Binafsi niliamua kumpotezea nisimuulize tena, nikawa nasubiri aseme njia nzuri ya yeye kupokea hiyo pesa, japo sikujua alinichukuliaje kwa utayari wangu kumsaidia. Mpaka leo sijui kwa nini alinidharau kiasi kile huku anautaka msaada wangu.

Mpaka leo najuta maana upendo ulinifanya nikadharaulika na mrembo Hadijah. Way back!!!

* **
Luka 17:3-4 Kwa hiyo jiangalieni. Ndugu yako akikutenda dhambi, mkemee; na wakitubu basi wasamehe. Hata wakikutenda dhambi mara saba kwa siku na kurudi kwako mara saba wakisema, Nimetubu, lazima uwasamehe.

Je, Biblia inasema nini kuhusu kutorudia dhambi?

“Basi, dhambi isitawale ndani ya miili yenu ipatikanayo na mauti, hata kuzitii tamaa zake; msivitoe viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu. Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa kuwa hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

Ni dhambi gani pekee ambayo haiwezi kusamehewa?

Mistari: Marko 3:28–29, Mathayo 12:31–32, na Luka 12:10, Waebrania 6:4–6, Waebrania 10:26–31, na 1 Yohana 5:16.

Kwa hiyo nawaambia, watu watasamehewa kila dhambi na kufuru, lakini kumkufuru Roho hawatasamehewa.

Yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu huu wala katika ule ujao.

* **

Song: Lord I Hope This Day Is Good
Album: Especially for You
Released: 1981
Artist: Don Williams
Genre: Country


Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

Lord, have you forgotten me
I've been prayin' to you faithfully
I'm not sayin' I'm a righteous man
But Lord I hope you understand

I don't need fortune and I don't need fame
Send down the thunder, Lord, send down the rain
But when you're plannin' just how it will be
Plan a good day for me

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

You've been the King since the dawn of time
All that I'm askin' is a little less crime
It might be hard for the devil to do
But it would be easy for you

Lord, I hope this day is good
I'm feelin' empty and misunderstood
I should be thankful, Lord, I know I should
But Lord I hope this day is good

* *
Jiandaeni Kwa SERIES YA HUU MKASA
toka NETFLIX.

Kwa yoyote atakae utumia huu mkasa kwa njia yoyote ile, atambue kuwa asiuweke kwenye digital platforms fotauti na Jamii Forums, akifanya hivyo atakutana na Netflix kama wamiliki halali, Be informed.

Wanatambua kuwa nimechapisha sehemu ndogo ya huo mkasa upande wa mapenzi pekee, na link wanayo wameuona.

[ Hatua za kujilinda dhidi ya madai ya ukiukaji wa hakimiliki, Usinakili chochote, Omba hati ya haki ya kutumia, Andika kazi yako mwenyewe.]

Huu mkasa umesajiliwa cosota, na ni mali ya Netflix kuanzia January 8, 2022. Tulikubaliana nitumie sehemu 30% tu kama nitachapisha kitabu, 70% ya mkasa huu imebaki kuwa mali ya Netflix.

Hapa nimeelezea upande mmoja tu wa maisha yangu, kuna dark side sijagusa kabisa, namna nilivyomalizana na Ludvig na genge lake sijaelezea, kutapeliwa mamilion ya pesa nilizochuma nikiwa na Ludvig, Nilivyo pata dili la pesa ndefu kupeleka siraha za magendo somewhere , usaliti wa Alfred nk yatakuwa kwenye hii series. Haya matukio ya dark side ni kambla sijakutana na mwanga mpya na kuokoka.

Itakuwa na seasons 4 kila moja episodes 8 play time 1hr kwa kila episode. Kwa sasa uzalishaji umefikia 23%.

Nafasi yangu itachezwa na Kenya Barris, sababu ya kumchagua tunalingana umri na ana watoto sita kama mimi pia ana vituko, tunashabihiana kwa mambo mengi sana. Atakuwa actor na producer wa hiyo series. Miongoni mwa kazi zake ni coming to America 2 na black ish,

Miongoni mwa mastar watakaokuwepo kwenye hii series ni Bright Okpocha aka basketmouth from Nigeria.

[ Wabongo wachache nilioongea nao waliona ni ndoto hiyo kitu kufanyika, nikaamua kuachana nao. ]

Nitawapa details zaidi…..

* *

My advice.
If you have an idea, a game, a script or a continuous output that you want to present to Netflix. you must work through an authorized agent, producer, lawyer, manager or industry leader, as applicable, who has an existing relationship with Netflix..

Netflix would pay between $5,000 and $70,000 per licensed African film for ROI.

There are two ways for you to sell your script to Netflix. First, develop a relationship with certain Netflix employees, or send your script through a letter of request to Netflix's licensed literary agent. IMDB Pro can assist you in finding a useful tool to use if you are able to use it correctly.

* **
Guys
Wapendwa nawashukuru sanab kwa kutenga muda wenu kuwa na mimi hapa, hakika nathamini upendo huo.

Naomba atakaeguswa, aniombee kwa imani yake, hali yangu kiafya sio nzuri. Natarajia kufanyiwa pacemaker replacement ijumaa hii. Hii ya kwanza niliyonayo imepata hitilafu kutokana na mazingira, wanadai usumaku umeiathiri, haifanyi kazi vizuri.

Pia baada ya replacement nitakuwa mbali na vitu vya electronics hasa simu, nikipata wasaa nitakuja hapa kuwasalimia ndugu zangu.

Nashukuru sana kwa mapokezi yenu japo nipo tangu 2007 kwa id tofauti. Muwe na wakati mwema. 🙏

* **
English: Thank you very much for your precious time, see you around🙏

Finnish: Kiitos paljon arvokkaasta ajasta, nähdään.🙏

Portuguese: Muito obrigado pelo seu precioso tempo, vejo você por aí.🙏

Germany: Vielen Dank für Ihre kostbare Zeit, bis bald.🙏

Arabic: shukran jazilan ealaa waqtik althamin , 'arak fi aljawar..🙏

French: Merci beaucoup pour votre temps précieux, à bientôt. 🙏

#Mpakani mwa ujana na uzee
#Akili za kizee.

Keep in mind! 👇
Keep life profile low, be straightforward, be humble and stay out of trouble, enjoy life'…… 👋
View attachment 2600576
* 2023 **
Kuhusu marehemu Mungu amrehemu,ulifanya uamuzi wa busara sana kumkataa angekuletea shida unawajua michepuko vivuruge 😁yaani anakuvuruga mpaka unatamani umsimulie mkeo unayo pitia kwa mchepuko muulize Gily 😁bora nusu shari kuliko shari kamili Mungu kakuepusha na shetani alotaka kubomoa familia yako.
 
Kuhusu marehemu Mungu amrehemu,ulifanya uamuzi wa busara sana kumkataa angekuletea shida unawajua michepuko vivuruge 😁yaani anakuvuruga mpaka unatamani umsimulie mkeo unayo pitia kwa mchepuko muulize Gily 😁bora nusu shari kuliko shari kamili Mungu kakuepusha na shetani alotaka kubomoa familia yako.
photoCollageMaker_20230424_214503652.jpg
 
Hakika marehemu Baba yangu Mwenyeezi Mungu amrehemu alipoona umauti umemfikia aliniambia mwanangu(dadek nusu ni type my real name)mauti ni mlango kila mja ataupita japo kwa kutofautiana nyakati baba yenu sina mali wala utajiri ila nawaachia Quran na Sunna na Mwenyeezi Mungu, shikamana na ibada mtegemee Mwenyeezi Mungu popote atakuvusha salama,kwa kweli nimeona ufalme wa Mungu kwenye maisha yangu kuna nyakati nimekuwa nikipitia ila hajawahi niacha wala kunitupa daima amekuwa akinipigania Alihamdulillah 🙏
 
Asante sana kwa simulizi nzuri hivi unajua wewe ndo ulonifanya nifungue account humu J. F,nilikuwa naingia tu ka mgeni nasoma habari mbalimbali haswa za siasa na mwamba The Bold Habib Anga,nilisoma simulizi yako kwa siku moja nilikesha mpaka mume wangu akashangaa mbona niko busy na simu ikabidi nimsomee mpaka usingizi ukampitia😁ni me burudika na kujifunza pia Muslim tuna amini maradhi ni ibada na wale vipenzi vya Mungu basi huwapa mtihani kama maradhi na kadhalika ili kuwapima imani zao watashukuru au watakufuru kama ilivyokuwa kwa nabii Ayoub,namuomba Mwenyeezi Mungu bwana wa mabwana mfalme wa mbinguni na ardhini akuponyeshe kwa haraka,kuna maswali nilikuwa najiuliza ila nilisubiri ufike mwisho nashukuru umeyajibu kuhusu Ludvig ulimkwepa vp,tunasubiri kwa hamu sijalipia Netflix muda mrefu ikitoka nitalipia nione 😁sema nini tungejuana mapema ningeomba character moja naona ya Jamila Ethiopia ingenifaa msomali mwenzangu 😁
Ipi hyo mkuu
 
Back
Top Bottom