Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mimi huu uzi toka umeingia humu nilikuwa nauruka,ila leo kuna uzi umeeleza kuwa huyu mwenzetu hatunaye ndio nimeupitia japo kwa kurukaruka.Nimegundua huyu bwana alikuwa na upeo mkubwa sana,hata aliyoyaandika ni maalumu na kipekee kabisa kwa tunaobakia,kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza katika haya maisha tunayoishi,laiti watu wote tungekuwa tunapata neema ya kuandika maisha yetu kabla ya kuondoka ingesaidia watu wengi kuishi maisha ya kumjua Mungu kabla ya kifo.Mungu ampe pumziko la amani...
 
Shukrani bro,unaitendea haki sana hii story, yaani kuna zile image za matukio zinakujaa,aaah,so nice.
Unaijua sanaa ya mapenzi(art of love)kupindikia,ukanikumbusha maneno haya niliambiwa,huwa siyasahau.

When I say I love you more, I don’t mean I love you more than you love me. I mean I love you more than the bad days ahead of us, I love you more than any fight we will ever have. I love you more than the distance between us, I love you more than any obstacle that could try and come between us. I love you the most.
Kubwa saana hii.
 
poleni sana familia, ndugu,jamaa ,marafiki na wanajamii forum kwa ujumla kwa msiba mzito sana uliomngusa kila mtu humu ndani.mavumbini tumetoka na mavumbi tunarudi .RIP Comrade
 
Katuacha kipindi ambacho hatkutaraji , linaloniuma zaidi ni kuwa kuna vitu tulizungumza na pia nikawa mfuatiliaji wa hivyo vitu nikawa na majibu au feedback isiyokuwa nzuri nikaona wacha amalizane na operations then nitamueleza sababu ya hali yake kiafya .

Kila akihiitaji nimueleze nikawa nasema tulia kwanza malizana na operation kumbe muda haukuwa upande wangu wala wake .

Hakika sisi wote ni wa ALLAH na kwake tutarejea .
Yaani mkuu kama mimi tu,nimetoka kuchat naye siku kama 5 hv zilizopita akanipatia maelekezo,nikawa namsubiri apone kumbe ndo ameniaga

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Sasa mkuu wao ni wao, hako kabinti kanakokulea siyo kasumbufu kweli? Siyo kakorofi? Siyo hivi vi slay queen vya Dar es Salaam kweli? Kana heshima mkuu?
Haka kabinti ni kakubwa kwa Gily kwa miaka 5 yaani 37 , ananipenda sana ni mshauri mzuri ila ikiwa ni kuchepuka basi ni ubinadamu .

Kichekesho ni kuwa sikumuoa kwa kupanga kuoa ila nimlitongoza ili nipite kama wengine wote ila bahati mbaya nilivaliwa kibwebwe na ndugu zake na wazazi usiku niliolala naye wakinitaka nimuoe [emoji848] yaani itoshe kusema ilikuwa ni ndoa ya mkeka ya lazima kabla ya kuifanya official .

Yaani umumtingoza mtu umemchukua siku anakupa raha , asubuhi unafungua mlango unakuta watu nje wanasema wanashida na wewe [emoji3][emoji3] Vijijini watu wabaya ila nahisi alikuwa malaika maana kuanzia hapo ndipo akili ya kusema wacha nioe ilikuja ni baada ya fumanizi na kuepusha kuchafua sifa zangu hapo kijijini maana nilikuwa mgeni .

Ukichanganya binti aliniongopea hana kazi ila baada ya fumanizi la nduguze nilitaka kuonesha umwamba na jeuri za born town mimi ila aliponikata maini ni pale alipohitaji twende polisi huku akidai makubaliano ni ndoa ila nimebatilisha [emoji24] , huku nikielezwa wajihi wake kuwa ni askari ilinifanya kuwa mnyonge zaidi .

Huyu sio slay queen wa hivi niliruka nao kitambo hiko kwenye sikinde na mnanda ila huyu ni mdada wa haja , heshima imekaa , amefundwa kijadi akafundwa japo namdiscourage kwasababu ya historia yangu na matendo yangu ambayo siwezi kuyabadili siku moja ila taratibu as long as tunatoka family background tofauti mno .

Itoshe kusema nina mke , anayenipenda na kunijali kuhusu heshima ndiyo mahali pake , nampenda sana ila nahisi ni God's plan kunikutanisha naye ili labda nipate wa kunilea uzeeni .
 
Nilikua siamini ila Sasa naamini kwamba leadermoe hayupo tena katika Ulimwengu huu Gily alipo nipa taarifa nilikuwa hospital mwanangu kalazwa nishavurugwa halafu nasikia habari ya msiba wake kwa kweli nilishtuka sana mpaka presha yangu ikawa haiko sawa namwambia mume wangu yule rafiki yangu nilokuambia yuko ICU naambiwa kafariki ila nikaona ni uwongo namwambia Gily acha utani akaniambia Sina utani kwenye kifo,Mola wetu tusamehe sisi na ndugu yetu leadermoe aliotutangulia,Hakika Wewe ni Mpole na Mwenye kurehemu.pole kwa familia yake mke watoto ndugu jamaa marafiki na Wana J.F, Namuomba Mwenyeezi Mungu S.W awape subra kwenye kipindi hiki kigumu,Sote ni WA Allah hakika kwake tutarejea,mauti ni mlango Kila mja ataupita kwa nyakati zake,kifo ni mawaidha tosha tuishi kwa upendo tuishi hali ya kuwa tunaona tutakufa muda wowote.
 
Haka kabinti ni kakubwa kwa Gily kwa miaka 5 yaani 37 , ananipenda sana ni mshauri mzuri ila ikiwa ni kuchepuka basi ni ubinadamu .

Kichekesho ni kuwa sikumuoa kwa kupanga kuoa ila nimlitongoza ili nipite kama wengine wote ila bahati mbaya nilivaliwa kibwebwe na ndugu zake na wazazi usiku niliolala naye wakinitaka nimuoe [emoji848] yaani itoshe kusema ilikuwa ni ndoa ya mkeka ya lazima kabla ya kuifanya official .

Yaani umumtingoza mtu umemchukua siku anakupa raha , asubuhi unafungua mlango unakuta watu nje wanasema wanashida na wewe [emoji3][emoji3] Vijijini watu wabaya ila nahisi alikuwa malaika maana kuanzia hapo ndipo akili ya kusema wacha nioe ilikuja ni baada ya fumanizi na kuepusha kuchafua sifa zangu hapo kijijini maana nilikuwa mgeni .

Ukichanganya binti aliniongopea hana kazi ila baada ya fumanizi la nduguze nilitaka kuonesha umwamba na jeuri za born town mimi ila aliponikata maini ni pale alipohitaji twende polisi huku akidai makubaliano ni ndoa ila nimebatilisha [emoji24] , huku nikielezwa wajihi wake kuwa ni askari ilinifanya kuwa mnyonge zaidi .

Huyu sio slay queen wa hivi niliruka nao kitambo hiko kwenye sikinde na mnanda ila huyu ni mdada wa haja , heshima imekaa , amefundwa kijadi akafundwa japo namdiscourage kwasababu ya historia yangu na matendo yangu ambayo siwezi kuyabadili siku moja ila taratibu as long as tunatoka family background tofauti mno .

Itoshe kusema nina mke , anayenipenda na kunijali kuhusu heshima ndiyo mahali pake , nampenda sana ila nahisi ni God's plan kunikutanisha naye ili labda nipate wa kunilea uzeeni .
Baba 🤗
 
Nilikua siamini ila Sasa naamini kwamba leadermoe hayupo tena katika Ulimwengu huu Gily alipo nipa taarifa nilikuwa hospital mwanangu kalazwa nishavurugwa halafu nasikia habari ya msiba wake kwa kweli nilishtuka sana mpaka presha yangu ikawa haiko sawa namwambia mume wangu yule rafiki yangu nilokuambia yuko ICU naambiwa kafariki ila nikaona ni uwongo namwambia Gily acha utani akaniambia Sina utani kwenye kifo,Mola wetu tusamehe sisi na ndugu yetu leadermoe aliotutangulia,Hakika Wewe ni Mpole na Mwenye kurehemu.pole kwa familia yake mke watoto ndugu jamaa marafiki na Wana J.F, Namuomba Mwenyeezi Mungu S.W awape subra kwenye kipindi hiki kigumu,Sote ni WA Allah hakika kwake tutarejea,mauti ni mlango Kila mja ataupita kwa nyakati zake,kifo ni mawaidha tosha tuishi kwa upendo tuishi hali ya kuwa tunaona tutakufa muda wowote.
Amiin
 
Binti yangu , pole na msiba wa ndugu yetu .

Mapito binti , kuandika ni shida ila nikiandika maisha yangu toka nasoma mpaka sasa , mtashangaa maisha yalivyo yaani ni kama movie ila ndiyo niliyaishi mimi ndugu yenu.
maish ya mwanadamu ni hadithi mzee endelea kutukatili. Hata ndugu yetu alitusimulia hadithi yake katukutanisha hapa kwa upendo mkubwa. .
 
Binti yangu , pole na msiba wa ndugu yetu .

Mapito binti , kuandika ni shida ila nikiandika maisha yangu toka nasoma mpaka sasa , mtashangaa maisha yalivyo yaani ni kama movie ila ndiyo niliyaishi mimi ndugu yenu.
Baba msiba wetu sote.

Ila Allah akikupa kibali basi siku 1 tusimulie 🙏
 
Back
Top Bottom