switj91
Member
- Jun 20, 2013
- 99
- 45
Rest easy comrade, Hakika nimesononeka Sana juu ya hawa wapendwa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Today ni may 7 Wameshazikaa?Nipo Arusha naomba kama kutakuwa na utaratibu wa kuweza kushiriki tupewe tushiriki
Ndugu yangu pole kwa matusi ya hapa. Sijui kwanini members wengi hapa wako so naive. Mimi naungana na wewe katika hili..sijui kwanini watu wanashindwa kutuliza kichwa na ku connect dots. Anyway.kila mtu ana maoni yake
Unataka picha za msiba zanini si ulishasema mtu hajafa kakimbia kusaidia watu Sasa picha za msiba zanini 😂.HIZO PICHA ZA MSIBA ZIKO WAP??
msiwe mnaleta stori za uongo kuleta taharuki kwa members humu sawa?
Unataka picha za msiba zanini si ulishasema mtu hajafa kakimbia kusaidia watu Sasa picha za msiba zanini [emoji23].
Atazikwa Baada ya siku 21 ndio atazikwa Arusha anapelekwa Finland kwanza kuagwa na ndugu jamaa marafiki na wafanyakazi wenzie Kisha mwili utaletwa Tz Arusha na family ilishasema watu watakao penda kushiriki basi wamuone Gily waandikishwe ila msiba wao wanahitaji privacy hawataki mapicha pichahivyo hata akizikwa usitegemee humu picha unataka kuthibitisha subiri waje watoe utaratibu kajiandikishe uende kaone kwa macho.
Hata mwili kuja Tz bado mtoto wa marehemu alimwambia Gily atamtafuta atamjulisha wakati wanashughulikia kumtoa Turkey kwenda Finland kwahio Tz ni tarehe 21 wanaweza kuzika tarehe 22 au 23.Today ni may 7 Wameshazikaa?
heee aliumwa au mshtuko au mbona gaflaYes my dear amefariki pia.
Soma huu mkasa utapata majibu ya maswali yako.heee aliumwa au mshtuko au mbona gafla
mkasa woote nimesoma sijaona majibu ndo mana nimeulizaSoma huu mkasa utapata majibu ya maswali yako.
Rudia Tena kusoma sio kweli kama umesoma basi umesoma kwa kuruka episode sababu marehemu kaelezea toka kaanza kuumwa mpaka anaenda hospital mpaka anawekwa ICU Gily ndo anatoa taarifa za hali yake vyote vipo kwenye huo mkasa unataka kujua soma USIONE uvivu 😃mkasa woote nimesoma sijaona majibu ndo mana nimeuliza
Kwa kukusaidia anzia page ya 108 kurudi nyuma utaona habari za Ugonjwa wake na kuanzia 108 kuendelea ndipo Kuna habari za kulazawa ICU mpaka kifo.mkasa woote nimesoma sijaona majibu ndo mana nimeuliza
Wewe hayo maigizo subiri tarehe 21 ukayaone live Arusha wewe jipange tu muda unao wa kujipanga ukashuhudie Le Akili Kubwazzz sio kilaza Tena familia nahisi itatoa usafiri bure gari za utalii 😃ndo maana wametaka kujua watu wanao enda waandikishwe kwahio jipange bepali la kihaya ukaone maigizo ya mtu kasingiziwa kufa kwa kukimbia kusaidia watu akaamua ajiuwe na mkewe ili kukimbia kusaidia.haya maigizo duh aya banaa
my dear am asking about mkewe here je aliumwa mbona gafla etc sio mume mume najuaRudia Tena kusoma sio kweli kama umesoma basi umesoma kwa kuruka episode sababu marehemu kaelezea toka kaanza kuumwa mpaka anaenda hospital mpaka anawekwa ICU Gily ndo anatoa taarifa za hali yake vyote vipo kwenye huo mkasa unataka kujua soma USIONE uvivu 😃