Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

🤣🤣😂😂!

Mimi huwa sinywi pombe yoyote ile sinywi kabisa!!
Sasa siku moja wifi Zangu ( kwa kaka yao )ni walevi kufaaa wakanilazimisha niende nao club eti Kwanini weekend napenda kujaa tu nyumbani wanapenda kujiachiaa sijawahi ona!! Sasa kwenye kuagiza wameagiza ma wine makali makali wanayajua wenyewe Mimi nikasema waniletee soda tu wee walinichamba Mtu mzima unakunywaje soda wifi hebu jaribu hii nikaonja ikanishinda basi wakamwambia mhudumu aniletee wine Gani sijui kwamba haileweshi sana kwa ambae sijawahi kunywa pombe ..nikaletewa wakaniwekea kwenye kile kiglass kidogoo inalingana kama kakikombe ka kunywea kahawa hivi mi si nishazoea sodaa kunywa guduuu guduu dakika imeisha nikapiga kiglass chakwanza dakika sifuri kimeisha wakaniwekea chapili kikaisha aloo huto tuglass tuwili tu nikaanza jisikia tofauti kichwaniii mara ghafla nikasimama kucheza nilichezaaa mzikii mimi kama mwehuu wakati hata kucheza ukunikuta nacheza labda nimerogwa wifi wanacheka hawana mbavuuu nachezaaa Huku Nacheka cheka tu! Mbona walinirudisha nyumbani kwanza then wao wakarudi huko club asubuhi niliamka kichwaa Sio changu kizitoo😄😄😄😄!!
😂😂😂 Una matukio
 
Our friend Mr leadermoe left us 😭😭😭😭
May his soul found peace.
 
Back
Top Bottom