Hili la Nchi kuuzwa raia weng mitaani story ni hiyo, kama ni sumu kweli imetapakaa!! Ukichanganya na ule waraka unaosomwa kila jpili mpaka kweny vigango mtaan mh 🤔!!Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025. CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
Kwani uongo? Awamu hii rais ni mpigaji wala hana uchungu na nchi anayoongoza. Wazalendo wa kweli wanajitahidi kumzuia asiuze nchi lakini bado anahangaika kupata wateja. Tumeona ile orodha bila shaka ni sahihi ambapo inaonekana ni wa saba kwa utajiri kwa marais 10 matajiri sana afrika. Sio jambo la kupuuza hilo. Vinginevyo ajitokeze akanushe kwa hoja. Kosa lake ni iweje miaka hata mitatu haijaisha kawa na mali kiasi cha dola bil 4.7. kaingia mikataba mwendokasi 30 dubai huu wa bandari ndio tumeshituka. Mingine inatakiwa iwekwe wazi kama hatukuona vituko.Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
nI AGENDA KUBWA SANAAAAAAA. wATU WANAFURA MNOKila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
Ila ccm watamsifia kuwa ,mama anafanya kanzi nzuri , hivi nauliza sa100 NI KUTU GANI KILIMPELEKA DUBAI NA KULETA HII TAHRUKI hadi ma ccm yanahangaika kama yamemwagiwa washawashaHili la Nchi kuuzwa raia weng mitaani story ni hiyo, kama ni sumu kweli imetapakaa!! Ukichanganya na ule waraka unaosomwa kila jpili mpaka kweny vigango mtaan mh [emoji848]!!
CCM bila kuweka wazi hiyo mikataba mingine 30, hata kura hazitaibika!!Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
tangu lini uliambiwa ccm ina masikio?Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
Hili la Samia kuwa ni Rais wa 7 kwa utajiri linafikirisha sana. Anafanya biashara gani mpaka kuwa na utajiri wa dola bilioni 4.7?Kwani uongo? Awamu hii rais ni mpigaji wala hana uchungu na nchi anayoongoza. Wazalendo wa kweli wanajitahidi kumzuia asiuze nchi lakini bado anahangaika kupata wateja. Tumeona ile orodha bila shaka ni sahihi ambapo inaonekana ni wa saba kwa utajiri kwa marais 10 matajiri sana afrika. Sio jambo la kupuuza hilo. Vinginevyo ajitokeze akanushe kwa hoja. Kosa lake ni iweje miaka hata mitatu haijaisha kawa na mali kiasi cha dola bil 4.7. kaingia mikataba mwendokasi 30 dubai huu wa bandari ndio tumeshituka. Mingine inatakiwa iwekwe wazi kama hatukuona vituko.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari
Hili la Nchi kuuzwa raia weng mitaani story ni hiyo, kama ni sumu kweli imetapakaa!! Ukichanganya na ule waraka unaosomwa kila jpili mpaka kweny vigango mtaan mh 🤔!!
nI AGENDA KUBWA SANAAAAAAA. wATU WANAFURA MNO
Washalikoroga hilo, si la kwetu mjomba wanalo hadi kaburini. 😀
Na bunge la mchongo amabalo halikutokana ridhaa la wananchi wa eneo husika bunge la hovyo kuwahi kutokeaKila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.