Mkataba wa Gamondi na Yanga wamalizika

Mkataba wa Gamondi na Yanga wamalizika

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
Screenshot_20240603_134237_Chrome.jpg
Screenshot_20240603_134156_Chrome.jpg
Screenshot_20240603_134320_Chrome.jpg
 
Unganisha na zile nyuzi zako zinazosema Gamondi habebi kombe la ligi kuu, Yanga mbovu, Gamondi anapewa rushwa na Guede ili apangwe, Yanga imtimue Gamondi,.... Bila shaka moyo wako utakuwa na amani ukiona Gamondi hatokuwa tena kikosi cha Yanga au hata ikitokea Yanga msimu ujao chini ya Gamondi ikifanya vibaya. Jamaa una chuki mbaya sana dhidi ya Gamondi
 
Pale yanga mtu ambaye ataondoka na yanga ikayumba sana ni hersi .
Yule ndiyo brain nzima ya mafanikio .
Gamondi ataongeza mkataba ndiyo maana yanga haijahangaika kutafuta kocha mpya .
kaizer and SA teams are at his door.
 
Unganisha na zile nyuzi zako zinazosema Gamondi habebi kombe la ligi kuu, Yanga mbovu, Gamondi anapewa rushwa na Guede ili apangwe, Yanga imtimue Gamondi,.... Bila shaka moyo wako utakuwa na amani ukiona Gamondi hatokuwa tena kikosi cha Yanga au hata ikitokea Yanga msimu ujao chini ya Gamondi ikifanya vibaya. Jamaa una chuki mbaya sana dhidi ya Gamondi
Anadhani tumesahau mashudu yake
 
kaizer and SA teams are at his door.
Ni kaizer tu walikuwa wanamuwinda na next season hawapo Kwenye mashindano yoyote ya caf na hio ni hasara kwao hakuna kocha mkubwa atavutiwa.
Mamelodi na Orlando pirates tayari wana makocha .
Hata kiuchumi kaizer wameyumba .
 
Ni kaizer tu walikuwa wanamuwinda na next season hawapo Kwenye mashindano yoyote ya caf na hio ni hasara kwao hakuna kocha mkubwa atavutiwa.
Mamelodi na Orlando pirates tayari wana makocha .
Hata kiuchumi kaizer wameyumba .
sio kweli
 
Unganisha na zile nyuzi zako zinazosema Gamondi habebi kombe la ligi kuu, Yanga mbovu, Gamondi anapewa rushwa na Guede ili apangwe, Yanga imtimue Gamondi,.... Bila shaka moyo wako utakuwa na amani ukiona Gamondi hatokuwa tena kikosi cha Yanga au hata ikitokea Yanga msimu ujao chini ya Gamondi ikifanya vibaya. Jamaa una chuki mbaya sana dhidi ya Gamondi
gamondi amna kitu 🚮
 
Back
Top Bottom