Mkataba wa Gamondi na Yanga wamalizika

Mkataba wa Gamondi na Yanga wamalizika

gamondi amna kitu 🚮
Dada una wivu mbaya sana, unakoelekea ni kuwa mchawi. Hakuna kitu halafu hauchoki kumfuatilia na kumuongelea kila mara. Yaani upo kama demu aliyekataliwa na mwanaume kila siku kumfuatilia na kutafuta kasoro yake halafu mwenzio ndio kwanza anafanikiwa na kusonga mbele
 
Dada una wivu mbaya sana, unakoelekea ni kuwa mchawi. Hakuna kitu halafu hauchoki kumfuatilia na kumuongelea kila mara. Yaani upo kama demu aliyekataliwa na mwanaume kila siku kumfuatilia na kutafuta kasoro yake halafu mwenzio ndio kwanza anafanikiwa na kusonga mbele
mimi ni mume wa dada yako ongea vizuri, kaza sauti
 
Unganisha na zile nyuzi zako zinazosema Gamondi habebi kombe la ligi kuu, Yanga mbovu, Gamondi anapewa rushwa na Guede ili apangwe, Yanga imtimue Gamondi,.... Bila shaka moyo wako utakuwa na amani ukiona Gamondi hatokuwa tena kikosi cha Yanga au hata ikitokea Yanga msimu ujao chini ya Gamondi ikifanya vibaya. Jamaa una chuki mbaya sana dhidi ya Gamondi
Hahahahaha..kumbe ndio huyu aliyesema hivyo ? Dah
 
my time, my thread.
Hauoni muda wako unautumia vibaya kwa kuangaika na Gamondi kila kukicha wakati yeye haangaiki na wewe na mbaya zaidi mipango yake anayopanga inafanikiwa. Na kila baya unalonena kwake linafeli.
1)Klabu bingwa robo fainali kacheza
2) Ligi kuu kubeba
3)Kombe la federation kabeba
4)Simba kabiduliwa home and away.
5)Mamelodi aliyepewa odds 10+ kashindwa kuifunga Yanga ndani ya dakika 90.
Haya yote mashudu yako unayeangaika na Gamondi
 
Back
Top Bottom