Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Bado tunae sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kwa mafanikio haya mtu anakuambia hana uwezoHauoni muda wako unautumia vibaya kwa kuangaika na Gamondi kila kukicha wakati yeye haangaiki na wewe na mbaya zaidi mipango yake anayopanga inafanikiwa. Na kila baya unalonena kwake linafeli.
1)Klabu bingwa robo fainali kacheza
2) Ligi kuu kubeba
3)Kombe la federation kabeba
4)Simba kabiduliwa home and away.
5)Mamelodi aliyepewa odds 10+ kashindwa kuifunga Yanga ndani ya dakika 90.
Haya yote mashudu yako unayeangaika na Gamondi
NABI : kabeba yote hayo twice tena bila penalties.Hauoni muda wako unautumia vibaya kwa kuangaika na Gamondi kila kukicha wakati yeye haangaiki na wewe na mbaya zaidi mipango yake anayopanga inafanikiwa. Na kila baya unalonena kwake linafeli.
1)Klabu bingwa robo fainali kacheza
2) Ligi kuu kubeba
3)Kombe la federation kabeba
4)Simba kabiduliwa home and away.
5)Mamelodi aliyepewa odds 10+ kashindwa kuifunga Yanga ndani ya dakika 90.
Haya yote mashudu yako unayeangaika na Gamondi
story za jaba na wasafi sports arena,.Bado sana yupo Yanga.
uwezo anao Nabi, ambaye from scratch kawatoa matopeni.Alafu kwa mafanikio haya mtu anakuambia hana uwezo
Jamaa ana matatizo ya akili
engineer nae mtu. unajua anakosea piaAtaendelea. Otherwise tutaletewa chuma kingine na Eng.
sio simba tu, hadi azam fc pia, watu wana tafuta kibunda anaweza ama timu za humu humu ndani.Basi Simba watajifanya wanamtaka
Kumbe unateseka sana yeye kuwa Yanga?story za jaba na wasafi sports arena,.
huyu anasepa 😂😂
GSM ndio Kila kitu pale, huyo hersi bila GSM ni Bure kabisaPale yanga mtu ambaye ataondoka na yanga ikayumba sana ni hersi .
Yule ndiyo brain nzima ya mafanikio .
Gamondi ataongeza mkataba ndiyo maana yanga haijahangaika kutafuta kocha mpya .
Basi hakuwa na sababu ya kuandika hayo ma wosia. Au anatikisa kiberiti?Gamondi ataongeza mkataba ndiyo maana yanga haijahangaika kutafuta kocha mpya .
Amevunja sheria gani? account yake mwenyewe kaandia mambo yake kuna ubaya gani?Basi hakuwa na sababu ya kuandika hayo ma wosia. Au anatikisa kiberiti?
Ahaa, hapo sawa. Nilikuwa nataka msimamo kama huu. Jemedari Kazumari anatimiza wajibu wake bila kuvunja sheria, mawazo na maneno yake yaheshimiweAmevunja sheria gani? account yake mwenyewe kaandia mambo yake kuna ubaya gani?
Gamondi amepewa mkataba wa Miaka 2 na Yanga .