Dada una wivu mbaya sana, unakoelekea ni kuwa mchawi. Hakuna kitu halafu hauchoki kumfuatilia na kumuongelea kila mara. Yaani upo kama demu aliyekataliwa na mwanaume kila siku kumfuatilia na kutafuta kasoro yake halafu mwenzio ndio kwanza anafanikiwa na kusonga mbelegamondi amna kitu 🚮
mimi ni mume wa dada yako ongea vizuri, kaza sautiDada una wivu mbaya sana, unakoelekea ni kuwa mchawi. Hakuna kitu halafu hauchoki kumfuatilia na kumuongelea kila mara. Yaani upo kama demu aliyekataliwa na mwanaume kila siku kumfuatilia na kutafuta kasoro yake halafu mwenzio ndio kwanza anafanikiwa na kusonga mbele
Hahahahaha..kumbe ndio huyu aliyesema hivyo ? DahUnganisha na zile nyuzi zako zinazosema Gamondi habebi kombe la ligi kuu, Yanga mbovu, Gamondi anapewa rushwa na Guede ili apangwe, Yanga imtimue Gamondi,.... Bila shaka moyo wako utakuwa na amani ukiona Gamondi hatokuwa tena kikosi cha Yanga au hata ikitokea Yanga msimu ujao chini ya Gamondi ikifanya vibaya. Jamaa una chuki mbaya sana dhidi ya Gamondi
Anamuhofia...siku zote ukiona mtu anaongelea kitu sana ujue ama ana kipenda au anakiogopaKwanini wewe ndiye unayeongoza kwa kumuongelea Gamondi humu jukwaani? Maana makocha wako wengi ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania ila kwanini kila uzi wako ni Gamondi, Gamondi, Gamondi.
gamondi amna kitu 🚮
Mnahangaika na Makolokolo linaloeneza propaganda za chuki kwa Gamondi ili afukuzwe kibarua? Lipuuzeni.Achana na mpira haukufai na haujui kacheze marede na dada zako.
Ingekuwa ni hivyo basi Nabi huko alikoenda asingetolewa hatua za awali kabisa klabu bingwa na pia mpaka sasa timu yake ni hati hati kubeba kombe la ligi kuu Morocco.Aende zake tu kwanza anatembelea kazi kubwa aliyoifanya Nabi
mbona mnaforce mtu akubalikeMnahangaika na Makolokolo linaloeneza propaganda za chuki kwa Gamondi ili afukuzwe kibarua? Lipuuzeni.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
acha kuforce gamondi akubalike. gamondi amna kituAchana na mpira haukufai na haujui kacheze marede na dada zako.
gomondi ni midHahahahaha..kumbe ndio huyu aliyesema hivyo ? Dah
Nikuforce ww unayejua marede?acha kuforce gamondi akubalike. gamondi amna kitu
🚮Nikuforce ww unayejua marede?
gamondi amna kitu [emoji706]
So what?gamondi amna kocha mule
Kwanini uko bize kumfungulia nyuzi kila sikugomondi ni mid
my time, my thread.Kwanini uko bize kumfungulia nyuzi kila siku
Kama hamna kitu mpuuzie
Hauoni muda wako unautumia vibaya kwa kuangaika na Gamondi kila kukicha wakati yeye haangaiki na wewe na mbaya zaidi mipango yake anayopanga inafanikiwa. Na kila baya unalonena kwake linafeli.my time, my thread.