Mkataba wa IGA Ulitengenezwa Kuwa na Vipengele Hasi kwa Tanzania, na Viongozi Wetu Walijua na Kushiriki Uhujumu Huo

Hakuna faida ya kuwa mtanzania maana hawa majizi hawachagui cha kuiba na mijitu imekaa kimya tu na kuwasakama madadapoa ambao wanajitafutia ridhiki yao halali kabisa
 
Unaelewa kwanini mkataba ulipita bungeni?.

Pia upo ushahidi wa tukio zima la kusaini huo mkataba kurushwa hewani na TBC, tatizo roho mbaya zimetujaa mpaka kumbukumbu tunapoteza.
 
Napinga huo ujinga mnaoifanyia serikali ya SSH mpaka mnaingiza sera za udini na ubaguzi.

Hana anachokifanya ambacho watangulizi wake hawajawahi kukifanya. Na kwa kifupi anatimiza ilani ile ile aliyotimiza mtangulizi wake.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali hasemi kitu, bali kukanusha tu kwamba "Bandari haijauzwa".

Ushirikishwaji wa Bunge katika "kuridhia Mkataba" Bila shaka yoyote palikuwepo na mpango kabambe wa kulishirikisha Bunge katika kufanya hujuma hizi, siyo kwa nia njema bali kwa nia ovu..

Waliandaliwa na kupewa semina wajiandae kuhusu maswala nyet

ni wabunge wapi waliopewa nafasi ya kujadili yaliyomo kwenye mkataba, na ni nani aliyetoa nafasi hiyo

IGA baina ya Tanzania na Dubai ni hujuma iliyo andaliwa maksudi kuihujumu Tanzania
 
Halafu wakiambiwa;
wao ni wezi wanakuja juu!
Wakiitwa makuwadi wa raslimali zetu wanakuja juu na kutishia watu maisha!

Mkono wa kuume wa Mwenyezi Mungu uko HAI na utatenda kazi sawa na OUVU wenu.
 
Ninaafiki kabisa. Ingefaa viongozi waliyohudika wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi.
 
Ninaafiki kabisa. Ingefaa viongozi waliyohudika wafunguliwe mashitaka ya uhujumu uchumi.
Katika hili la DP World, hili genge la Samia hata hawakujisumbua kuondoa wasiwasi kwa wananchi kuhusu ubaya ulionao mkataba huo, hata kwa kufanya juhudi za kupozapoza hapa na pale wananchi wasiwe na shaka.

Walichoamini wao ni kuwa Rais anayo mamlaka yote ya kupitisha jambo lolote na asihojiwe na mtu. Hili hawakuwa na mashaka nalo kabisa.
 
Napinga huo ujinga mnaoifanyia serikali ya SSH mpaka mnaingiza sera za udini na ubaguzi.

Hana anachokifanya ambacho watangulizi wake hawajawahi kukifanya. Na kwa kifupi anatimiza ilani ile ile aliyotimiza mtangulizi wake.
Inajulikana wazi sasa kwamba wewe ni mhusika wa karibu sana katika hujuma hii anayoifanyia Tanzania huyo Samia. Kuja kwako humu jamvini hakukusaidia chochote kuondoa wasiwasi huo, bali kunazidi kuchochea watu wakatae ujinga wenu.
Maswala ya Dini ni nyinyi mliokimbilia huko, sasa unataka kuyageuzia kwa wengine. Samia hana uwezo wa uongozi, nyinyi genge lake mmechukua fursa ya kumtumia kukidhi matakwa yenu.
Sasa mmemweka kwenye hali ngumu kisiasa; huku mkijua hata uwezo wa kutumia mabavu hana.
 
Pitia jinsi alivyomaliza ''kero' za Wazanzibar haraka sana. Tazama solution yake, ilikuwa kuwabebesha Watanganyika mzigo tu. Pitia kero zote utabaini hakuna kero ilikuwa kuto Fadhila kwa Wazanzibar! hata ACT wanamkubali kwa hilo
Hili lina ka ukweli. Kwanza, kamteua Mbarawa kuwa Waziri katika Wizara isiyo ya Muungano.
Pili, kamtoa Katibu mkuu wa Wizara ya masuala ya Muungano na kumpeleka Wizara ya Ujenzi ili wafanye kazi na Mbara.Waziri Mbarawa na Katibu Mkuu wake waliosaini Mkataba na DP ni Wazanzibar.

Hili si suala la Muungano na Rais anajua malalamiko ya Wazanzibar ni kuongezwa mambo kinyemela.
Kuwaweka Wazanzibar wasaini mikataba ya jambo LISILOWAHUSU kwa mujibu wao ndani ya Vikao vya Bunge inatia shaka sana. Wazanzibar wamekataa Bandari si suala la Muungano, iweje waingie makubailiano na suala lisilo wahusu! Hawawezi kuwa na uchungu na mali isiyowahusu nq wanaweza pia kutumia fursa hiyo vibaya.

Mwanasheria Mkuu hakuonekana mahali popote, kwahiyo Rais SSH akiwa Mzanzibar alimpa madaraka Mbarawa Mzanziar ashirikiane na Katibu Mkuu Mzanzibar kwa jambo lisilowahusu Wazanzibar! smell rat !

Mkataba umevujishwa na Wazalendo walioko jikoni !.


 
Mwanasheria Mkuu hakuonekana mahali popote, kwahiyo Rais SSH akiwa Mzanzibar alimpa madaraka Mbarawa Mzanziar ashirikiane na Katibu Mkuu Mzanzibar kwa jambo lisilowahusu Wazanzibar! smell rat !

Mkataba umevujishwa na Wazalendo walioko jikoni !.
DP World ni 'project' aliyoisimamia Samia toka mwanzo, hadi wakati Bendera yetu na picha zake zinawekwa kwenye jengo refu, tukiambiwa hatulipii chochote kwa vile "sisi ni watoto wazuri."
Wiki nzima kahamishia Ikulu yetu Dubai, kumbe anatengeneza hujuma juu ya nchi anayoiongoza.

Bungeni, kampa rushwa spika kwa uteuzi wa mme kuwa mwenyekiti wa EWURA kwa maksudi mazima ili Spika atimize lengo lililopangwa kuridhia IGA.
Akina Msukuma na watu wa aina hiyo wakaandaliwa kwa maksudi kabisa, kuwa mstari wa mbele kupigia kelele uzuri wa DP Word na mikataba yake ya hujuma.

Kwa hiyo, kila jambo lilikuwa limepangwa kwa uangalifu toka mwanzo, hapa hapakuwepo na bahati mbaya, au kutojua kinachofanyika, kama watu walivyozoea kupotosha wengine.

Huu ulikuwa ni mpango mahsusi wa Samia pamoja na genge lake lilomshikilia kumtumia kuiumiza nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…