Mkataba wa kishenzi ni marufuku Tanzania, kama wana dhamira njema, mazungumzo yaanze upya

Mkataba wa kishenzi ni marufuku Tanzania, kama wana dhamira njema, mazungumzo yaanze upya

Nashangaa sana hii serikali, kitendo cha leo kusema watajenga bandari ya Bagamoyo kwa pesa zetu za ndani, wakijiona ndio wazalendo, kumbe ni wapumbavu wasiojielewa.

Huwezi kujenga bandari mpya ya Bagamoyo kwa kutumia fedha zetu za nsani, huku ukijua tayari kuna makubaliano uliyoingia mwanzo yatakayokuja kutuzuia kama taifa kujinufaisha kwa huo uwekezaji.

Unaenda vipi kujenga bansari ya Bagamoyo, ikiwa ulishampa mwarabu "Exclusive Rights" kwenye ule mkataba wao wa hovyo? hiyo bandari ni sawa na kusema wanaenda kumjengea mwarabu kwa pesa zetu za ndani.

Kwasababu mwarabu alishapewa nafasi ya kwanza kujulishwa juu ya fursa nyingine za kiuchumi zitakazojitokeza mbele ya safari, sasa kwa mazingira haya, watanganyika hatutakiwi kujiendeleza vyovyote kiuchumi wakati huu, kwasababu wajinga walishatuingiza mtegoni kwa rushwa waliyohongwa.
 
Nashangaa sana hii serikali, kitendo cha leo kusema watajenga bandari ya Bagamoyo kwa pesa zetu za ndani, wakijiona ndio wazalendo, kumbe ni wapumbavu wasiojielewa.

Huwezi kujenga bandari mpya ya Bagamoyo kwa kutumia fedha zetu za nsani, huku ukijua tayari kuna makubaliano uliyoingia mwanzo yatakayokuja kutuzuia kama taifa kujinufaisha kwa huo uwekezaji.
IMG-20230721-WA0000.jpg
 
Nashangaa sana hii serikali, kitendo cha leo kusema watajenga bandari ya Bagamoyo kwa pesa zetu za ndani, wakijiona ndio wazalendo, kumbe ni wapumbavu wasiojielewa.

Huwezi kujenga bandari mpya ya Bagamoyo kwa kutumia fedha zetu za nsani, huku ukijua tayari kuna makubaliano uliyoingia mwanzo yatakayokuja kutuzuia kama taifa kujinufaisha kwa huo uwekezaji.

Unaenda vipi kujenga bansari ya Bagamoyo, ikiwa ulishampa mwarabu "Exclusive Rights" kwenye ule mkataba wao wa hovyo? hiyo bandari ni sawa na kusema wanaenda kumjengea mwarabu kwa pesa zetu za ndani.

Kwasababu mwarabu alishapewa nafasi ya kwanza kujulishwa juu ya fursa nyingine za kiuchumi zitakazojitokeza mbele ya safari, sasa kwa mazingira haya, watanganyika hatutakiwi kujiendeleza vyovyote kiuchumi wakati huu, kwasababu wajinga walishatuingiza mtegoni kwa rushwa waliyohongwa.
Wajinga ndio waliwao!
Changamoto ya kuongozwa na wajinga ni kwamba wote mnakuwa wajinga wajinga.
 
Jumapili 23/07/2023 tujae kwenye viwanja vya Buriaga kama siafu.
 
Mkataba ule wa bandari, nasema ni wa kishenzi kwa sababu unapima uwezo wa Watanzania katika Kufikiri. Kila mwenye akili anajua kuwa mtu yeyote ambaye yupo kwenye utimamu wa akili hawezi kuukubali mkataba kama ule.

Nani atakubali kitu chake ambacho amewekeza trilioni kadhaa ampe mtu anayekodi halafu yeye awe na umiliki 0%?

Nani mwenye akili timamu atakubali etu abadilishe sheria za nchi kwa sababu ya mwekezaji mmoja?

Nani mwenye akili timamu atakubali, umpe mpangaji umiliki wa 100% ili achukue faida yote yeye pekee yake, halafu tena na kodi alipe pungufu ya wengine, wakati wenzake wote kwenye mali za asili wanatoa umiliki wa bure kwa Serikali wa 16%, wanalipa kodi 30%, wanalipa mrabaha, n.k. Yeye anapewa mradi ambao tayari kuna uwekezaji mkubwa, anakupa umiliki 0%, hataki kulipa kodi ya 30% (anataka alipe pungufu) ambayo wengine wanalipa, halipi mrabaha, apewe ardhi yoyote anayoitaka na fidia tulipe sisi (wakati wawekezaji wengine wote gharama ya fidia ya ardhi huwa wanalipa wenyewe), ana nini cha pekee mpaka apewe hayo yote?

Eti anawekeza dola 500m. Barrick kule Buly kwenye mgodi mmoja waliwekeza zaidi ya dola 600m. Dangote uwekezaji wa awali likuwa zaidi ya dola 700m. Bomba la gas zaidi ya dola 1billion. Wachina kule Liganga na Mchuchuma walisema watawekeza dola bilioni 7 (japo hawa nao ni wahuni wengine, mpaka leo hawajawekeza hata dola 1m). Tulimkataa mwekezaji wa uhakika Rio Tinto aliyetaka kuwekeza dola bilioni 3 kwa kudanganywa na Wachina kuwa watawekeza dola bilioni 7, kumbe ni ya maneno, nalo hilo ni uzembe wa Serikali.

Nayanukuu maneno ya Baba wa Taifa, Mwakimu Nyerere:

"Mtu akikuambia jambo la kijinga, na wewe ukakubali, anakudharau"

"Ukiwa mjinga, unaweza kuwa na almasi yako, halafu anakuja mtu na kipande cha chupa, anakuambia chukua hiki wewe, hicho ulichoshika ni chupa, chukua hii almasi, kwa kuwa wewe ni mjinga, unampa almasi yako, unachukua kipande cha chupa halafu unaenda unachekelea kama zuzu"

Waarabu wa DP wametufanya waafrika wa Tanzania ni mazuzu. Wanaona ule ubinadamu wetu wa kale uliofishwa, na kisha kufanywa bidhaa kama zilivyo nyanya au vitunguu, haujatutoka mpaka leo. Ndio maana kuna hizo tetesi za wabunge wale batili kununuliwa. Utu wao na utashi wao umefutwa na kugeuzwa kuwa ni bidhaa.

Kama DP watakuwa wamejirudi na kuwaona Watanzania ni binadamu kama walivyo wao, yaani wana akili na utashi, ule mkataba wa kishenzi utupwe. Majadiliano yaanze upya yakiwahusisha watu wenye weledi, maadili na wanaojitambua. Mbarawa na kundi lake, na wale wabunge bidhaa wasihusike kwa chochote.

Wakikishindwa hilo, waende zao. Japo bandari ni kichaka cha rushwa, na kama taasisi nyingine za umma zilivyo, ni mahali pasipo na ufanisi kutokana na ulegevu wa Serikali, kuna siku nchi itapata serikali imara iliyo thabiti, na viongozi thabiti, bandari na mashirika mengine ya umma, vitasimama na kufanya kazi stahili kwa namna istahiliyo.

Tatizo letu kubwa siyo bandari, siyo ATCL, siyo TANESCO, BALI NI UBOVU NA ULEGEVU WA SERIKALI, AMBAYE NDIYE MSIMAMIZI MKUU. Na ubovu huu wa Serikali haujaanza wakati wa Rais Samia, umekuwepo wakati wote, na unaendelezwa mpaka sasa.
mshenzi ni mamako aliyezaa pumbavu ambalo hata lingefundishwa vipi haliwezi kuelewa
 
Mkataba ule wa bandari, nasema ni wa kishenzi kwa sababu unapima uwezo wa Watanzania katika Kufikiri. Kila mwenye akili anajua kuwa mtu yeyote ambaye yupo kwenye utimamu wa akili hawezi kuukubali mkataba kama ule.

Nani atakubali kitu chake ambacho amewekeza trilioni kadhaa ampe mtu anayekodi halafu yeye awe na umiliki 0%?

Nani mwenye akili timamu atakubali etu abadilishe sheria za nchi kwa sababu ya mwekezaji mmoja?

Nani mwenye akili timamu atakubali, umpe mpangaji umiliki wa 100% ili achukue faida yote yeye pekee yake, halafu tena na kodi alipe pungufu ya wengine, wakati wenzake wote kwenye mali za asili wanatoa umiliki wa bure kwa Serikali wa 16%, wanalipa kodi 30%, wanalipa mrabaha, n.k. Yeye anapewa mradi ambao tayari kuna uwekezaji mkubwa, anakupa umiliki 0%, hataki kulipa kodi ya 30% (anataka alipe pungufu) ambayo wengine wanalipa, halipi mrabaha, apewe ardhi yoyote anayoitaka na fidia tulipe sisi (wakati wawekezaji wengine wote gharama ya fidia ya ardhi huwa wanalipa wenyewe), ana nini cha pekee mpaka apewe hayo yote?

Eti anawekeza dola 500m. Barrick kule Buly kwenye mgodi mmoja waliwekeza zaidi ya dola 600m. Dangote uwekezaji wa awali likuwa zaidi ya dola 700m. Bomba la gas zaidi ya dola 1billion. Wachina kule Liganga na Mchuchuma walisema watawekeza dola bilioni 7 (japo hawa nao ni wahuni wengine, mpaka leo hawajawekeza hata dola 1m). Tulimkataa mwekezaji wa uhakika Rio Tinto aliyetaka kuwekeza dola bilioni 3 kwa kudanganywa na Wachina kuwa watawekeza dola bilioni 7, kumbe ni ya maneno, nalo hilo ni uzembe wa Serikali.

Nayanukuu maneno ya Baba wa Taifa, Mwakimu Nyerere:

"Mtu akikuambia jambo la kijinga, na wewe ukakubali, anakudharau"

"Ukiwa mjinga, unaweza kuwa na almasi yako, halafu anakuja mtu na kipande cha chupa, anakuambia chukua hiki wewe, hicho ulichoshika ni chupa, chukua hii almasi, kwa kuwa wewe ni mjinga, unampa almasi yako, unachukua kipande cha chupa halafu unaenda unachekelea kama zuzu"

Waarabu wa DP wametufanya waafrika wa Tanzania ni mazuzu. Wanaona ule ubinadamu wetu wa kale uliofishwa, na kisha kufanywa bidhaa kama zilivyo nyanya au vitunguu, haujatutoka mpaka leo. Ndio maana kuna hizo tetesi za wabunge wale batili kununuliwa. Utu wao na utashi wao umefutwa na kugeuzwa kuwa ni bidhaa.

Kama DP watakuwa wamejirudi na kuwaona Watanzania ni binadamu kama walivyo wao, yaani wana akili na utashi, ule mkataba wa kishenzi utupwe. Majadiliano yaanze upya yakiwahusisha watu wenye weledi, maadili na wanaojitambua. Mbarawa na kundi lake, na wale wabunge bidhaa wasihusike kwa chochote.

Wakikishindwa hilo, waende zao. Japo bandari ni kichaka cha rushwa, na kama taasisi nyingine za umma zilivyo, ni mahali pasipo na ufanisi kutokana na ulegevu wa Serikali, kuna siku nchi itapata serikali imara iliyo thabiti, na viongozi thabiti, bandari na mashirika mengine ya umma, vitasimama na kufanya kazi stahili kwa namna istahiliyo.

Tatizo letu kubwa siyo bandari, siyo ATCL, siyo TANESCO, BALI NI UBOVU NA ULEGEVU WA SERIKALI, AMBAYE NDIYE MSIMAMIZI MKUU. Na ubovu huu wa Serikali haujaanza wakati wa Rais Samia, umekuwepo wakati wote, na unaendelezwa mpaka sasa.
Mnakuja na mawazo ya kipunguani ya kukumbushia biashara ya watumwa mwaka huu 2023, kweli mmefilisika vichwani.

Mwarabu anamiliki bandari mbili pale Uingereza, hakuna anayekuja na mada za kijinga kama hizi.

Mwarabu anamiliki bandari sita kule China, hakuna mtu anayeanzisha mada za kipuuzi kama hizi.

Tatizo lenu kwa sababu mmetumwa na maadui zetu wa hapo Kenya wala hamna uwezo wa kuja na mawazo mbadala kwamba DPW hatufai lakini kifanyike hiki na hiki na kile kiachwe kabisa.

Mnazo akili zile zile za mtu mwenye macho anayepewa jukumu la kumsindikiza kipofu, mnadhani nchi hii imejaa vipofu.
 
Mkataba ule wa bandari, nasema ni wa kishenzi kwa sababu unapima uwezo wa Watanzania katika Kufikiri. Kila mwenye akili anajua kuwa mtu yeyote ambaye yupo kwenye utimamu wa akili hawezi kuukubali mkataba kama ule.

Nani atakubali kitu chake ambacho amewekeza trilioni kadhaa ampe mtu anayekodi halafu yeye awe na umiliki 0%?

Nani mwenye akili timamu atakubali etu abadilishe sheria za nchi kwa sababu ya mwekezaji mmoja?

Nani mwenye akili timamu atakubali, umpe mpangaji umiliki wa 100% ili achukue faida yote yeye pekee yake, halafu tena na kodi alipe pungufu ya wengine, wakati wenzake wote kwenye mali za asili wanatoa umiliki wa bure kwa Serikali wa 16%, wanalipa kodi 30%, wanalipa mrabaha, n.k. Yeye anapewa mradi ambao tayari kuna uwekezaji mkubwa, anakupa umiliki 0%, hataki kulipa kodi ya 30% (anataka alipe pungufu) ambayo wengine wanalipa, halipi mrabaha, apewe ardhi yoyote anayoitaka na fidia tulipe sisi (wakati wawekezaji wengine wote gharama ya fidia ya ardhi huwa wanalipa wenyewe), ana nini cha pekee mpaka apewe hayo yote?

Eti anawekeza dola 500m. Barrick kule Buly kwenye mgodi mmoja waliwekeza zaidi ya dola 600m. Dangote uwekezaji wa awali likuwa zaidi ya dola 700m. Bomba la gas zaidi ya dola 1billion. Wachina kule Liganga na Mchuchuma walisema watawekeza dola bilioni 7 (japo hawa nao ni wahuni wengine, mpaka leo hawajawekeza hata dola 1m). Tulimkataa mwekezaji wa uhakika Rio Tinto aliyetaka kuwekeza dola bilioni 3 kwa kudanganywa na Wachina kuwa watawekeza dola bilioni 7, kumbe ni ya maneno, nalo hilo ni uzembe wa Serikali.

Nayanukuu maneno ya Baba wa Taifa, Mwakimu Nyerere:

"Mtu akikuambia jambo la kijinga, na wewe ukakubali, anakudharau"

"Ukiwa mjinga, unaweza kuwa na almasi yako, halafu anakuja mtu na kipande cha chupa, anakuambia chukua hiki wewe, hicho ulichoshika ni chupa, chukua hii almasi, kwa kuwa wewe ni mjinga, unampa almasi yako, unachukua kipande cha chupa halafu unaenda unachekelea kama zuzu"

Waarabu wa DP wametufanya waafrika wa Tanzania ni mazuzu. Wanaona ule ubinadamu wetu wa kale uliofishwa, na kisha kufanywa bidhaa kama zilivyo nyanya au vitunguu, haujatutoka mpaka leo. Ndio maana kuna hizo tetesi za wabunge wale batili kununuliwa. Utu wao na utashi wao umefutwa na kugeuzwa kuwa ni bidhaa.

Kama DP watakuwa wamejirudi na kuwaona Watanzania ni binadamu kama walivyo wao, yaani wana akili na utashi, ule mkataba wa kishenzi utupwe. Majadiliano yaanze upya yakiwahusisha watu wenye weledi, maadili na wanaojitambua. Mbarawa na kundi lake, na wale wabunge bidhaa wasihusike kwa chochote.

Wakikishindwa hilo, waende zao. Japo bandari ni kichaka cha rushwa, na kama taasisi nyingine za umma zilivyo, ni mahali pasipo na ufanisi kutokana na ulegevu wa Serikali, kuna siku nchi itapata serikali imara iliyo thabiti, na viongozi thabiti, bandari na mashirika mengine ya umma, vitasimama na kufanya kazi stahili kwa namna istahiliyo.

Tatizo letu kubwa siyo bandari, siyo ATCL, siyo TANESCO, BALI NI UBOVU NA ULEGEVU WA SERIKALI, AMBAYE NDIYE MSIMAMIZI MKUU. Na ubovu huu wa Serikali haujaanza wakati wa Rais Samia, umekuwepo wakati wote, na unaendelezwa mpaka sasa.
Wakupe maua yako aisee
 
Mtu akikuambia jambo la kijinga, na anajua wazi analokuambia ni jambo la kijinga, na wewe ukalikubali, anakudharau.

UTU WETU UMETEZWA, kwanza na Samia. Acha hao Dubai kwanza.

Samia kateza utu wa wananchi.

Hao Dubai ndio kabisa wanatuona sisi ni manyani.

Naomba mnisamehe sana.
Hao wananchi wewe ni mmoja wa sehemu ndogo sana, kuna wafanyabiashara wanaoagiza vitu nje ya nchi na kuuza huko nje, hao utu wao ni wa muhimu pengine kuliko sisi wapiga makelele humu jukwaani tunachojua ni kulialia na kulalamika kutwa nzima.

Serikali inayotafuta uwekezaji ndio hiyo inayolipa mabilioni kila siku kwa uzembe tu wa ushushaji na upakiaji pale TPA, hautaki kuona mabadiliko ya kiufanisi?.

Unaweza ukatukana matusi yote unayoyajua halafu hujui chochote kuhusu bandari inavyofanya kazi.
 
Kwa nini usiende kulalamika kwa Mbunge wenu Kenan (yule Mdada Mfipa wa Sumbawanga) au kwa kina Halima 19? Mpigangumi ukutani huumiza mkonowe. CCM walishinda Uchagizi 2020 bita sinira uwaache nao watekeleze Ilani yao.
Wanasheria watasaini mikataba ya utendaji na hao DP World wataanza kazi pale bandarini wakiwaacha hawa kina Bams na machungu yao ya moyoni.
 
Nashangaa wanavyosema hatuwezi kuwaahtaki wale mashetani, nashangaa sana, ni mkataba gani huo tusioweza hata kuwapeleka mahakamani wale maharamia walioingia mkataba na msaliti toka Zanzibar kwenda kutuuza wabara utumwani Dubai usioweza kushtakiwa..

Nasema hivi, wapeleke kesi mahakamani, hata kama kuna kiasi cha pesa tutakachotakiwa kuwalipa hao maharamia kwasababu ya makubaliano yao na huyu msaliti wetu..

Wacha walipwe, tumeshadaiwa na bado tunadaiwa vingi, na hilo la bandari liwe deni pia potelea mbali, kuliko tuache kizazi chetu kijacho kuendelea kubaki utumwani huku sisi tumezubaa tu, nasema hapana, mahakamani ni lazima.

Samia ni shetani alaaniwe na mawakala wake wote.
Hivi huyu Maza ana akili kweli!!
 
Back
Top Bottom