Mkataba wa Simba na Sportpesa ulikuwa dhaifu

Mkataba wa Simba na Sportpesa ulikuwa dhaifu

Hiyo chata ya Azam iko hapo ikiwa ndio imepewa haki ya kuonesha hiyo game sio kwamba ni mdhamini wa Simba mzee acha kujitoa ufahamu.
Simba haihusiki kabisa "kumtangaza" anayeonyesha kombe la shirikisho kuanzia hatua ya makundi.
Pia ni lazima ufahamu kwamba hiyo mechi ilionyeshwa na televisheni nyingi zilizopewa idhini na CAF.
Kwa East Africa idhini hiyo anayo Azam TV.
Kusini mwa Afrika idhini hiyo anayo DSTV kupitia supersports.
Unataka kunambia kwamba watu wa Afrika ya Kusini nao waliangalia hiyo mechi kupitia Azam TV ? Je, Orlando na wao walipost bango lenye nembo ya Azam TV au DSTV ?

Tazama hapa.
Screenshot_20220720-170237_Instagram.jpg

Screenshot_20220720-170829_Instagram.jpg



Ujinga haukumbatiwi.
 
Mkataba wa sportpesa na vilabu vya kariakoo havivuki boarder. Kama una picha yeyote ya jezi ya Simba ikiwa na maandishi ya sportpesa katika michezo ya klabu bingwa au shirikisho naomba utupie. Sportpesa wanaishia huku bongo ila mashindano ya kimataifa hawapo.
Wanavaa hatua za awali ila hatua zinazofuata huko ndo hawavai kwasababu ya maslahi ya wadhamini ambao nao pia ni wadhamini wa CAF champion's league knock out stage sawa utopolo.
 
Hapo kabla ulikuwa umeolewa! Baadaye ukaanza kumlalamikia mumeo hafai! Anakupa fedha kidogo tu ya matumizi!

Hivyo ukaona bora uombe talaka! Ukapewa. Ndani ya muda mfupi tu, ukapata mwanaume mwingine wa ndoto yako! Ukaolewa naye ili maisha yaendelee! Lakini cha kushangaza baada ya kuolewa, kila siku ni kumlalamikia tu yule mume wako wa zamani mbele za watu, huku ukiwa tayari katika ndoa na mwanaume mwingine.

Samahani bosi pwilo, nimeona nitumie mfano huu ili maoni yangu yaeleweke kwa uzuri zaidi. Maneno mwanamke na mwanaume yametumika kufikisha tu ujumbe. Hayahusiani kabisa na wewe
Kama manara alivyokuwa anafanya,ni mfano tu
 
Unaachana na sportpesa halafu unaenda kubandika logo ya mbet kwenye jezi zile zile ..!
 
Pamoja na sportpesa kuwa ni taasisi kubwa ya kimataifa inafanya mikataba mibovu na washirika wake. Imenishangaza sana kujitoa kwa Simba kwenye udhamini imekuwa kama jambo la ghafla.

Nilitegemea taarifa za Simba kuondoka Sportpesa zijulikane miaka miwili kabla ya mkataba kuisha na pande zote zipate fursa nzuri ya kupanga kumaliza mkataba
Ukisain contract Na njaa hizo ndo impacts
 
Kwa unyenyekevu mkubwa sana "ninadhani" uelewa wako (juu ya jambo hili) "unaweza" kuwa ni mdogo mkuu.
Azam TV (kama muonyeshaji wa ligi) anahusika kwenye matangazo au mabango yanayoandaliwa na TFF au bodi ya ligi kuhusiana na mechi za ligi hiyo.
Mfano Press za timu (bodi ya ligi ndio inaziandaa) zinazofanyika siku moja kabla ya michezo husika ya ligi zikihusisha makocha na manahodha.

Ila kwa sababu kwenye hili jambo umeonyesha "kuchanganya madawa" tangu mwanzo, basi mimi najitolea kukujengea uwezo.
Chini ya hili wasilisho langu nitakuwekea bango la Simba Sc linaloutambulisha mchezo wa Orlando Pirates vs Simba uliochezwa pale Afrika ya kusini. Kwenye bango hilo, hakika utamuona huyo Azam TV akiwa ameambatana na "wadhamini wenzake" 7 wa Simba.

Wewe kazi yako itakua rahisi tu, unieleze Je, Orlando Pirates na Simba walicheza mechi ambayo ni ya ligi kuu chini ya TFF (wenye mkataba na Azam TV wa kuonyesha ligi kuu). ???

Halafu kitu kingine ni kwamba, ndugu yangu CARDLESS , unatakiwa kufahamu kuwa kwenye "context" ya udhamini wa ligi, Azam TV anatakiwa kuambatana na TBC Fm pamoja na NBC (Zamani na GSM alikua anaingia hapa kabla hajajiondoa kudhamini ligi) katika hilo bango. Tazama picha hii hapa chini.

View attachment 2297634

Unatakiwa kufahamu kwamba:
1. Azam TV ana mkataba na bodi ya ligi (kuonyesha ligi).
2. Azam TV ana mkataba na Yanga (kuonyesha maudhui mbalimbali ya klabu)
3. Ana mkataba na Simba (wa kuonyesha maudhui mbalimbali ya klabu hiyo mfano Press conferences, matamasha kama vile Simbaday, events kadhaa za preseason kwa mfano sasa hivi Patrick Nyembela na crew ya Azam TV wapo kule Ismailia Misri, na mengineyo mengi).

Mikataba hiyo mitatu kila mmoja unajitegemea, tafadhali sana usichangaye mambo hapo.

View attachment 2297630

NB: Lengo sio kubishana, ni kuelimishana. Karibu.
Huyo mwehu achana naye

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tarimba anakubaliana na simba kwamba watapata hela nyingi kuliko yanga halafu akifika jangwani anabadilisha kibao anawapa yanga dau kubwa kuliko simba kwasababu ya ushabiki wakati simba anawakilisha kimataifa simba walikuwa wavunje mkataba ila wakasubiria mpaka uishe ila alichofanya tarimba kwa simba ni ujinga wawape yanga hzo hela tuone watafika wapi CAF champion's league.
Ila mwaka 2020 hautasahaulika. JF ilisajili Mazwazwa kuliko kipindi chochote cha uhai wake.
 
Bil 3 kwa mwaka??? Yanga si wanalipwa na AZAM hiyo pesa mzee??
Sigh si mngeenda uturuki sasa kama ni kweli
Milioni 200 za maandalizi ya pre season zimewashinda
 
Back
Top Bottom