Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Nnachojua Hydro powers zilizopo zimejengwa na Europian countries:Mtera na Pangani Falls!Hawa Waarabu ni lini walianza hii biashara?
Jina la Mkandarasi ni nani na anajenga kwa bei gani?Je,ni mkopo au Fedha za ndani?
duh!
wajinga bana!!
ikiwa arab au egypt staff lazina wawe waarabu?