Mkazi wa Mpanda akutwa kajiunganishia maji chumbani kwake

Anayejua na mimi anipe mbinu kuna wire za Fiber zile za nguzo za Viettel zimepita karibu kabisa na kwangu na kile kibox kiko karibu kabisa hua kinanitia majaribuni ipo siku ntaunga unlimited mie.😁😁😁
NAENDELEA KULA NONDO YOUTUBE.
 
Mkuu wakikudaka utajutiaπŸ˜‚πŸ˜‚
Anayejua na mimi anipe mbinu kuna wire za Fiber zile za nguzo za Viettel zimepita karibu kabisa na kwangu na kile kibox kiko karibu kabisa hua kinanitia majaribuni ipo siku ntaunga unlimited mie.😁😁😁
NAENDELEA KULA NONDO YOUTUBE.
a
 
Watu wamejiunganishia Petrol/Diesel huko Kurasini miaka nenda rudi na hakuna kitu wanafanywa...
 
Ni kabomba tu cha kuogea.
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Huyo engineer mpeni vyeo tu awasaidie.
Mmeshindwa kumpa maji,amefix mwenyewe mnaanza kututumuka.
Ye alikua anataka MAJI.
Wakili msomi Madeleka kesi hizi anazitaka sana.
Wakili hapa kuna bilioni 7+.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…