Na wewe unataka unywe dawa ya kuoshea masink ya chooni?Me wangu nilimuambia tubadilishane akasema atanipa yake ila yangu hataki.ila nilikuwa najaribu mtambo tu nilikuwa na vimeo kama vyote enzi hyo niko wa motoo
Sasa hivi kweli nimekituliza mazima .naitamani simu yake kwa kweli
We mwache tu aguse bomu linalopofua machoAchana nayo upate siku nyingi za kuishi duniani....usije kutanua Moyo bure, India mbali, halafu gharama kubwa🤣🤣
Ina raha yake bna.mwenzetu alizidiwa tuMambo ya kujitakia, simu ya mume unagusa ya nini? Kukosa adabu !!
Me hata nimkute kitandani na mwanamke sina shida .aende huko aje na style mpyaNa wewe unataka unywe dawa ya kuoshea masink ya chooni?
Me sinaga wivu.mwanaume atembee tembee nje aje na style mpya bnaAchana nayo upate siku nyingi za kuishi duniani....usije kutanua Moyo bure, India mbali, halafu gharama kubwa[emoji1787][emoji1787]
Twiiiiiiin; nipo hapa. Kumbe kuna definition mpya tena ya "heshima😲😲😲😲😲😲. Ya kwanza ilikuwa mume achepuke kwa heshima; sasa hivi mume anayekuheshimu; anaweka simu yake password. Mimi huyu mnyaki; mtoto wa mama mkwe aniwekee password heheheheheheheheheheNi nini kimewafanya wanawake wenzangu kuwa hivi jamani?
Mpaka nimeogopa!
Kwamba ili mume aniheshimu inabidi aweke simu passoword?
Hebu nimuite Heaven Sent aje anisaidie naona nimezidiwa!
Mwenyekiti mwenyekitiKwakweli hii mambo ya kumpenda mtu hadi unajisahau kujipenda sio poa
Ndiyo burudani pekee ya viumbe haiKwa nini mapenzi yana nguvu kiasi hiki?
RIP mama ulikuwa unapigania chako
Wanawake kimbukeni simu ya mwanaume ni biological bomu
Sijawai kushika simu ya mtu japo naitamani hatare. Kwamba ina pasword au haina sijui.ila naamini hamna kitu .hana mtu mwingine namuamini hivoTwiiiiiiin; nipo hapa. Kumbe kuna definition mpya tena ya "heshima[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]. Ya kwanza ilikuwa mume achepuke kwa heshima; sasa hivi mume anayekuheshimu; anaweka simu yake password. Mimi huyu mnyaki; mtoto wa mama mkwe aniwekee password hehehehehehehehehehe
Ushamba tu .sasa kafaidi nini.yaani mtu agegede huko mi nijiue? Inanihusu nini?Mahaba mahabani.
Khaaa kisa nini wewe kivuruge?Cjui kwann nikiona mtu amefariki kisa mapenzi, nafurahi na kuchekelea mnoo.
Safii sanaa na wengine pia wafe kwa ujinga wa kuendekeza mapenzi.
Shikamoo mamy K🤣🤣🤣Bora tuachane nywila sitoi🤣🤣🤣
Kwamba unaitamani; ila unaogopa kuishika au? Simamia unachokiamini as long as unaona mambo yanaenda freshhhhSijawai kushika simu ya mtu japo naitamani hatare. Kwamba ina pasword au haina sijui.ila naamini hamna kitu .hana mtu mwingine namuamini hivo
Yes .naitamani .ila naiogopa.hawa viumbe usiwaamini sana.nimeridhika na nafasi yangu kwa kweli maisha yaendeKwamba unaitamani; ila unaogopa kuishika au? Simamia unachokiamini as long as unaona mambo yanaenda freshhhh
Marahabaaa🤣🤣🤣🤣🤣Shikamoo mamy K🤣🤣🤣
Tulia hivyohivyo mwayaYes .naitamani .ila naiogopa.hawa viumbe usiwaamini sana.nimeridhika na nafasi yangu kwa kweli maisha yaende
Yaani umenichekesha usiku huu daah. Ahsante sana 🤣🤣🤣🤣Marahabaaa🤣🤣🤣🤣🤣