karume msaka
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 412
- 721
Una uhakika ?Hujaowa hujawai kukaa na mke ndiyo maana umasema hivyo, na ndoa siyo ya juzi juzi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ?Hujaowa hujawai kukaa na mke ndiyo maana umasema hivyo, na ndoa siyo ya juzi juzi .
Mwambie huyo Malay..Lakini… kwanini tusipendane, tukatunzana, tukafanya project, tukalea watoto na kutoka out pamoja?
Kwanini tufanye maisha kuwa magumu kwa kufanya mambo pekepeke ilhali tuko wawili na tunapendana?
Mtoto wa mama mkwe nampenda sana nae ananipenda, kwa kutambua hilo hatuwezi kufanyiana mabaya ya kupelekea kuuana/kujiua.
Na tunamtanguliza Mungu atusimamie.
Unaweza kubadilika na kuibadili nyumba yako kuwa sehemu ya furaha. Wenza wa kando hawajawahi kuleta amani ndani ya nyumba.
Wala usigope wengine wameolewa na umalaya wao so hawawezi acha tabia za kimalayaNi nini kimewafanya wanawake wenzangu kuwa hivi jamani?
Mpaka nimeogopa!
Kwamba ili mume aniheshimu inabidi aweke simu passoword?
Hebu nimuite Heaven Sent aje anisaidie naona nimezidiwa!
Kwa hiyo Mume wako ndio anawakisha wanaume wote?huu ujinga sjui mtaacha lini.hahha i bet uko below 29..hata sisi tulikua tunawaza kama wewe tu...Kumbe walaaaa...hakufikirii unavyomfikiria wewe
Wapambane na hali zao,nakaribia 50 naishi vzr na mke wanguSio hata mpya shoo, nimeshamwambia Mamy K huyu ni tunazeekea mapenzini.
Amen, Mungu atupe hizo baraka na sisi!Wapambane na hali zao,nakaribia 50 naishi vzr na mke wangu
...R.I.P Marietha. Wivu umekuponza...View attachment 2809543
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma (ACP) Marco G. Chilya akielezea kuhusu tukio hilo
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Marietha Bosco Sagana (32) Mkazi wa Kitongoji cha Matarawe, Kijiji cha Marungu Kata ya Tingi Tarafa ya Mpepo, Wilaya ya Nyasa amefariki Dunia wakati anapatiwa matibabu baada ya kwa kunywa sumu ya kuulia Wadudu chanzo kikiwa ni wivu wa Mapenzi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Marco G. Chilya amesema tukio hilo limetokea Novemba 8, 2023 Saa mbili usiku, ambapo mume wa marehemu alikuwa ameenda Shamba lakini alisahau simu yake nyumbani ndipo Marietha (marehemu) alivyoiona simu hiyo akaanza kuipekuwa.
Marietha alisoma meseji zote ikiwemo za WhatsApp na akafanikiwa kukuta jumbe za mume wake akiwasiliana na mwanamke Mwingine ndipo Marehemu alishindwa kuvumilia, hivyo akachukua Dawa ya Kuulia Wadudu ya Mahindi (ACTERIC) ambayo iliandaliwa kwa matumizi ya Shamba na kuinywa.
Baada ya kutenda tukio hilo majirani wanaoishi nae waligundua kitendo alichokifanya marehemu baada ya kuwaambia kuwa amekunywa dawa ya wadudu ambapo wakachukua uamuzi wa kumkimbiza Hospitali ya Mission Maguu ndipo akafariki Dunia wakati akipatiwa matibabu.
Mi wakwangu alikuja kunitembelea. Wakati anachoma taka jalalani akakuta kikaratasi cha ndom katika takataka za take kimechomwa ila hakikuungua vizuri.Mwanaume mwingine anafanya kwa heshima anaenda kupatia utulivu mbali kwa mchepuko huko lakini bado kuna mwanamke maana mpumbavu Eti anaenda kumfuatilia Mwanaume hadi huko mbali mkoa mwingine.
Unapita vijiwe vya bodaboda kuuliza huwa analala loji gani?
Huwa anakuwa na mwanamke?
Unaenda kwenye loji kutafuta uthibitisho unaupata.
Sijui ni kwa nini Imeandikwa Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Mbona umeumia sana, huo umalaya nafanya na wanawake wenzangu🤣🤣 Mume akiwa Malaya Sawa, mke nongwa🤣🤣🤣Mwanamke unajisifu umalaya?ndio mana mnakuwa na K pana Kwa kubadili mboo.Zinazoumia na kuchakaa ni sehemu zako za siri
Mwambie huyo Malay..
Moto utawaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanyaki tuna nini lakiniTwiiiiiiin; nipo hapa. Kumbe kuna definition mpya tena ya "heshima[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]. Ya kwanza ilikuwa mume achepuke kwa heshima; sasa hivi mume anayekuheshimu; anaweka simu yake password. Mimi huyu mnyaki; mtoto wa mama mkwe aniwekee password hehehehehehehehehehe
Lazima ujipende kwanza wengine wafate.Sure, marehemu alikuwa hajipendi, mtu anayejipenda na kujithamini hawezi kujiua kisa mtu mwingine kagawa kikojoleo chake.
Kwanza ukiwa unajipenda rohoni utajipenda mwilini, unakuwa hot cake, Ile ukiachwa asubuhi unaolewa jioni.....!
Ama kweli mkuki kwa nguruwe.Mbona umeumia sana, huo umalaya nafanya na wanawake wenzangu🤣🤣 Mume akiwa Malaya Sawa, mke nongwa🤣🤣🤣
Nkamu hata sielewi hii damu ina nini jamani. Ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Moto utawaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanyaki tuna nini lakini
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Leka itolo[emoji1787] yani hii damu ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Nkamu hata sielewi hii damu ina nini jamani. Ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hapo Mwamposa ametoa "opinions" zake, kadri anavyojisikia au kuona inamfaa yeye. Alichokiongea sio sheria, tena sio neno la Mungu; na sio SI UNIT ya ndoa zote ulimwenguni. Whatever suits him...Wanapekua simu, wadai talaka Mwanaume anaona isiwe tabu mna achana.
Lakini atakaenda kwa waganga na kwa wachungaji kutafuta kurudiana ni mwanamke.
Victims ni wanawake always.
Mwamposa anawafundisha vizuri sana wanawake.
Mwanamke hata mpambe akija mwende kumfumania mumeo kataa , itakula kwako eventually ukienda kufumania.
Labda iwapo uko tayari kwa gharama zote.
Utaenda kumfania atakupa kipigo atakwambia ummdhalilisha akiwa kwenye utulivu wake ambapo ameukosa kwako ,
Na mwisho ukimtishia talaka anaitoa bila kusita atakwambia mapenzi Hayalasimishwi ila kama kuna mali wanaume wengi hawakubali kuibiwa mali zao na mwanamke ambae hajachangia hata shilingi 100 ktk kupata hizo mali .
Mwamba ni Dokta Juma Mwaka na Davis. [emoji123]
Yaani umalaya wa mwanaume huuoni; ila mke akichoka akaondoka ndiyo aonekane ana kosa????Inashangaza sana imagine mwanamke kama hivyo anajiua just kwa kukuta sms tu. [emoji848][emoji848]
Na Kuna wanawake wengine wengi tu huvunja ndoa zao kwa kukuta sms kwenye Simu za wanaume wao, is this serious? [emoji848][emoji848]
Halafu unakuta tabia hizi za kiburi wanawaambukiza mabinti zao wakija kuolewa nao wata react hivyo hivyo wakizani ndivyo ipasavyo kumbe sio . Hiyo ndio huitwa “mapokeo “
Na ninaipenda kwelikweli[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Leka itolo[emoji1787] yani hii damu ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]