Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

dah! bravo kaka, kuna cha kujifunza kbs
andika kitabu tu bro utapiga pesa sana
 
Niseme tu kama kuna mtu bado anafikiri UMUGHAKA ndio msimuliaji bora anakosea.

Hata zile kampeni za kumpigia kura alipoteza muda wake na huenda ni yey alijipigia debe kwa akaunti nyingine.

Angalia huyu mtu smart, anandika uzi mzima anabwaga mnamalizana. Huu mtindo nimeupenda

Kwa mtazamo wangu anaweza kuwa msimuliaji wa pekee kutokea hapa Jf, wengine wote wazee wa itaendelea

Mpaka unajiuliza au anauza? Hapana, sasa shida nini?

Au wanaona raha kubembelezwa?

Big up sana DeepPond
 
Acha wivu kila mtu na uwezo wake nabkulingana na urefu wa stori usitake kila mtu akafuata mapendekezo yako. Unaongozwa na chuki kwakua huwezi na huna stor za kuandika. Kama ww unakaa sebuleni kwa shemeji sio kila mtu ana muda huo wengine wapambanaji na bado wanatuletea stori ww huna kazi ya kufanya na huna stor za kutupa hopeless
 
Sio great thinker kabisa huyo jamaa 😂
 
Usije ukarudia huo ujinga!

Angekuwa kauzu angefurahia Sana kupata Mali ya Bure!!
 
Usije ukarudia huo ujinga!

Angekuwa kauzu angefurahia Sana kupata Mali ya Bure!!
Kwanza mm nishakubali Kama wanachukua wachukue TU

Ila lile varangati nilitaka jamii nzima pale ijue kua Nmeoa Watu wapuuz namna gani na familia ile Ni yakipuuz namna gan.

Nahs walijistukia pia bamkwe aliona fedhea ndo maana wakarudisha vile vitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila stori yako iko poa ina fundisha pia hizo situation zipo hasa za mashangazi na ndugu wa mke kujiona wana haki kama mke. Mm ninawasiliana sana na baba mkwe tu hawa wengine japo sijawahi pishana nao kauli ila nimeweka mipaka ambayo hata mke anaelewa kwamba wakivuruga sio wao wanao umia bali ni yeye na nashukuru mungu familia ya mke sio kubwa sana. Wengi wale waliokua wanasemekana wanoko wamekufa kufa wamebaki ndugu wachache ambao kila mtu ana time zake
 
Mwanamke na tamaa hasa ya mali na pesa ni CHANDA NA PETE...Tuishi nao kwa akili.
 
Nimetoa maoni yangu, nikawalinganisha hata wewe una yule unampenda zaidi
 
Ngoja akuue your days are numbered... Mwanamke akishaingiwa na roho hiyo haifi... Anakuwa ni zimwi likujualo... Watu wanakaa miaka hadi 20 ndio wanakuja kulipa visasi...
 
Analyse na Deep pond wapewe heshima yao
 
Mi mwnyw Niko Benet na bamkwe, ndugu wengine labda upande wa mama ake wife.
Hawa wengine salamu TU Sina mambo mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…