Hamna bhana,Kwa kweli hapo ni kama kupoteza kibarua inabidi ukomae sana[emoji1787]
Ha ha ha....Khaa maji yangu ya kuoga yamepoa nikisoma hiki kisa..
Hongera kwa kuijenga familia kwa gharama kubwa
Ha ha a...fujo sio nzur mkuu,Napenda fujo ila mpaka mtu alianzishe siwezi kumuanzishia mtu from no where
Ndoa zina Mambo mengi sana. Ukioona watu wanazeeka pamoja ujue wamepitia changamoto nyingiHabar wakuu,
Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G.
Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya kwangu naweza kusema ilikua mojawapo.
Misukosuko hii nashkuru iliweza kutujenga imara mpk Sasa naweza kusema sijutii kuoa na naweza kusema nmebahatika kupata MKE Bora kabisa maishani, yaliyopita Si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo.
Anyway,
Nawaletea kisa Cha misukosuko ya ndoa yangu ambapo MKE wangu baada ya ugomvi mkubwa alidai talaka na kutaka tufuate sheria ili tugawane Mali, sema nilichomfanyia nilimnyoosha alijuta na hatosahau maishani mwake na mpk leo Hata tugombane vipi.
Kauli ya "TUGAWANE MALI" ilikoma na hawezi Tena kurudia kuitamka Tena.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ujue mkuu huwa napenda sna kusummarize story,ila huwa sipend sn maswali meng ktk comments.Yuko poa sana DeepPond, anatuburudisha na kutupa elimu kwa pamoja.
Hakika mkuu,Ndoa zina Mambo mengi sana. Ukioona watu wanazeeka pamoja ujue wamepitia changamoto nyingi
Shukran Kama vina mvuto,Sanaa..uzuri ni visa vyake so vinakua na mvuto fulani hivi
Mapema kabisa nikikuoana siti za mbele kule juu kabisa uliketi v.v.i.p[emoji4]Nimesoma mkuu na nimechangia kabisaa...huyu mr storry teller lazima umsome tuu hahahaa
We leta tuu wasomaji wa nyuzi ndefu tupo..mimi ni msomaji sanaa..yani napenda kusoma huwa sina uvivu..tena siku hz baada ya kukua nimepunguza nilikua nikienda kwa mtu nikikuta magazeti hata ya mwkaa jana ntakusanya yotee na nitayasoma...novel sasa naweza maliza kwa siku 3..Shukran Kama vina mvuto,
Sometimes najskia vby sn wadau wanavolalamika kua naleta nyuz ndefu mno. Nawaaombeni Mniwie radhi tafadhali[emoji1431]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sister,
Ni kwamba unamaanisha mzee wangu nae anapaswa kua mfano wa kuigwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!Simulizi nzuri yenye funzo kubwa sana kwenye ndoa.
Mtu Kama unajiamini ulitafuta,Lazima aje asome hapa aache woga wa kugawana mali na yule mke wake mali zinatafutwa, mwanamke akitaka habari za kugawana mali ni kumwachia na wengi wakiachiwa baada ya muda wanaangukia pua na kupigia vibaya sana
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Naibeba comment yako Kama ilivyo na kuifanyia lamination kifuan kwangu[emoji1431]Hakikisha unabeba hekima, busara, utulivu, subra na maarifa yake katika kutatua changamoto zile zinazoonekana zimeshindikana