Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Khaa maji yangu ya kuoga yamepoa nikisoma hiki kisa..
Hongera kwa kuijenga familia kwa gharama kubwa
Ha ha ha....
pole Sana mkuu kwa kukupotezea Muda wako

Ujue Nilitamani sn niifupishe msome juu juu TU, ila nikahofia comments za wadau maswali maswali khs background ya wife n.k katikati ya thread yatakua mengi mno

Kwahyo nikaamua kuielezea yote tangu mwanzo mpk mwisho wa tukio mkuu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wakuu,

Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G.
Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya kwangu naweza kusema ilikua mojawapo.

Misukosuko hii nashkuru iliweza kutujenga imara mpk Sasa naweza kusema sijutii kuoa na naweza kusema nmebahatika kupata MKE Bora kabisa maishani, yaliyopita Si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo.

Anyway,
Nawaletea kisa Cha misukosuko ya ndoa yangu ambapo MKE wangu baada ya ugomvi mkubwa alidai talaka na kutaka tufuate sheria ili tugawane Mali, sema nilichomfanyia nilimnyoosha alijuta na hatosahau maishani mwake na mpk leo Hata tugombane vipi.

Kauli ya "TUGAWANE MALI" ilikoma na hawezi Tena kurudia kuitamka Tena.

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ndoa zina Mambo mengi sana. Ukioona watu wanazeeka pamoja ujue wamepitia changamoto nyingi
 
Yuko poa sana DeepPond, anatuburudisha na kutupa elimu kwa pamoja.
Ujue mkuu huwa napenda sna kusummarize story,ila huwa sipend sn maswali meng ktk comments.

Ili mtu Kama anachangia au anashaur ajue full mkanda mzima.

Ndo maana nyuz zangu sometimes zinakua ndefu Sana.

Sorry sn Kama nawakwaza[emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran Kama vina mvuto,
Sometimes najskia vby sn wadau wanavolalamika kua naleta nyuz ndefu mno. Nawaaombeni Mniwie radhi tafadhali[emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
We leta tuu wasomaji wa nyuzi ndefu tupo..mimi ni msomaji sanaa..yani napenda kusoma huwa sina uvivu..tena siku hz baada ya kukua nimepunguza nilikua nikienda kwa mtu nikikuta magazeti hata ya mwkaa jana ntakusanya yotee na nitayasoma...novel sasa naweza maliza kwa siku 3..
 
Lazima aje asome hapa aache woga wa kugawana mali na yule mke wake mali zinatafutwa, mwanamke akitaka habari za kugawana mali ni kumwachia na wengi wakiachiwa baada ya muda wanaangukia pua na kupigia vibaya sana

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Mtu Kama unajiamini ulitafuta,
Hata zikipotea zitatafutwa tena nyngn

Uoga wa kupotezea pesa mwanaume haufai
Watu tushakula hasara nyng sn Kias kwamba hasara kwetu ni kawaida.

Tunachohofia TU Ni hasara ya roho TU,
Maana hiyo haina mbadala wake daima.

Jamaaa anapaswa kua na Moyo mkuu ashinde hivyo vitisho vya wife wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom