OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Swali la kijinga sanaSwali la hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kijinga sanaSwali la hovyo sana
Kwa wakristo, 'mke atawaacha wazazi wake".Kama ni mume wake hapo ni lazima waende wote Ila Kama anaenda mwenyewe hapo Hana mume ni mshikaji Tu .
Kidini:Nzuri kuomba ruhusa,Kwa waislamu ukiolewa sahau kuhusu wazazi wako.Inatakiwa kumshirikisha alie kuoa kwa kila change Moto Japo si kila change Moto useme....Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika hapo juu
Je ni lazima mke amuombe ruhusa mumewake Ili aweze kwenda Kwa msiba wa mama yake mzazi? Je Mumewe anayo haki ya kumkatalia ombi lake?
Masharti gani? Aya zipi?
Wenye ilimu na wanatheolojia mkuje mtupe madini
Kwanini unaliita swali la kijinga wakati hili ni swali la msingi na pengine kutoa mwanga kwa wanandoa wengi ambao wana mkwamo kwenye jambo hili.......Swali la kijinga sana
Hata mimi nimewaza kama weweKama ni mume wake hapo ni lazima waende wote Ila Kama anaenda mwenyewe hapo Hana mume ni mshikaji Tu .
Mume sio wa kupewa taarifa ndio maana ndoa zinawashinda,wakupewa taarifa ni hawala sio mumeRuhusa ya nn,ni anatakiwa mpa taarifa mmewe sio ruhusa.
Huu mtego walifungwa wale wanawake viburi wenye vijicent vyao,wakifiwa hao tayari msibani hata bila taarifa kwa mume wake!!Mke akifiwa na Mama Mzazi, huo msiba Mume unamhusu kabisa. Kwani naye amefiwa na Mama Mkwe..
Sijaelewa hiyo Ruhusa wanaombana ya nini wakati ni msiba unawahusu wote?
mkuu siku tatu kwenye msiba wa mama yake? si atakuta wamezika? msiba wa mama mkwe ni wa wote mambo ya kuombana ruhusa yanayoka wapi, kama uko mbali sio ruhusa ni taarifa kwamba huku tumepatwa na msibaMisiba hutukuta katika hali yoyote kunamsiba unaweza kuwakuta huku mkiwa mbali kifamilia mf. Mume yuko mbali kikazi hivo inakua si rahisi yeye kufika haraka msibani.hivo basi ikiwa mama watoto wako atawahi kupata tasrifa ya msiba wa baba yake nishart ahakikishe amekujulisha kabla yakufunga nyumba nakupandisha watoto kwenye gari kwenda msibani.
Hii nikanuni na desturi nzima yamaisha nasio vinginevyo.
Naikitokea hakuna mawasiliano baina yamume namke walio naubali kidogo yampasa mwanamke afanye subra walau siku3 huku akitafuta mawasiliano namumewe ilikumpa taarifa yakuondoka.
Nawewe mwanaume nihaki ya msingi kumpa ruhusu mkeo nakushiriki moja kwamoja kwenye majanga yatakayo wagusa wanafamilia wote.
Hapo inapimwa busara ya Mume!!Kwa Mujibu wa Dini ya Kiislamu Hairuhusiwi Na Ukinyimwa Ruhusa Huezi kwenda
Hapana Kwa Dini Ya Kiislamu Ruhusa Ya Mwanamke Si Busara wala Ombi Ni lazima ndiyo Aqida yake na Ndiyo FiQHI inavyotaka na Sharia pia..Hapo inapimwa busara ya Mume!!
Na si ajabu akajua hiyo taarifa kabla ya mkewe.Mtoa mada analenga kitu kingine kwenye swali lake! Sema amekuwa si muwazi!
Hoja yake ni kuhusu utii wa mke kwa mume, hasa kwenye Uislam.
Yes, uislam unamtaka mke kuomba approval ya mumewe anapotaka kwenda popote!
Washereheshaji wakakazia kwa kusema hata kama ni msibani kwa mama yake!
Hoja kuu hapa ni utii wa mk kwa mume! Sio swala la msiba wa nani!
Kwa hali ya kawaida kukiwa na taarifa ya mama yake mke kufariki, kabla mke hamjafanya lolote lazima atamtaarifu mumewe, na hakuna mume atakataa hili!
Labda ikiwa ni ndoa ya washenzi!