Yani ndoto zotee..kwa sbb yy alichukulia simpo tuu..kwamba nitakua na mchepuko wangu boda mr akijua atajijua kila mtu ataishi maisha yake kumbe na shetani nae anamwangalia tuu anasema utajua hujui huyo hutakaa nae na mume hutamuona tena...ukijua ya mbeleni tutaogopa sana...ni bora uwe unaisikiliza ile sauti ya ndani kabisa inayokwambia acha...Yaani, labda huenda alifata show. Ila sasa kaharibu maisha yake yote. Anawaacha watoto, walelewe na ndugu. Ngono inakatisha ndoto zote!!!
Kweli sauti ya ndani ndiyo roho Mtakatifu mwenyewe. Hii ya kuendekeza kichwa na chini. Matokeo yake ni haya, ila watu wanaotoa uhai wa wenzao. Ni wamezaliwa hivyo? Ni pepo inawashika? Ama ni kitu gani? Maana mpaka binadamu anakata roho mmh!!!Yani ndoto zotee..kwa sbb yy alichukulia simpo tuu..kwamba nitakua na mchepuko wangu boda mr akijua atajijua kila mtu ataishi maisha yake kumbe na shetani nae anamwangalia tuu anasema utajua hujui huyo hutakaa nae na mume hutamuona tena...ukijua ya mbeleni tutaogopa sana...ni bora uwe unaisikiliza ile sauti ya ndani kabisa inayokwambia acha...
fateYani ndoto zotee..kwa sbb yy alichukulia simpo tuu..kwamba nitakua na mchepuko wangu boda mr akijua atajijua kila mtu ataishi maisha yake kumbe na shetani nae anamwangalia tuu anasema utajua hujui huyo hutakaa nae na mume hutamuona tena...ukijua ya mbeleni tutaogopa sana...ni bora uwe unaisikiliza ile sauti ya ndani kabisa inayokwambia acha...
Hata hawaoneshi sura za majuto! Ila baada ya kukaa jela kwa muda mrefu, naamini akili zitawakaa tu sawa.MAHAKAMA YA WILAYA YA KILOMBERO MKOANI MOROGORO IMEWAPANDISHA KIZIMBANI NA KUWASOMEA SHTAKA WATU WA TATU AKIWEMO JOVINA STEVEN MWEKYA (33)MKAZI WA MANG'ULA AMBAYE NDIYE MKE WA MAREHEMU MWALIMU TUNGARAZA,MUSA AMANI MWAKYOMA ( 28)MKAZI WA MANG'ULA NA TADEI SALES MWINUKA( 40) MKAZI WA MANG'ULA KWA KOSA LA MAUAJI
Wakisomewa shtaka hilo na mwendesha mashtaka wa serikali DASTAN WILLIAM mbele ya hakimu wa wilaya ya Kilombero MHE. REGINA FUTAKAMBA amesema mnamo usiku wa June,2,2024 wakati marehemu akiwa amelala chumbani ,watuhumiwa hao walipanga njama ya na kumvamia chumbani kwake na kumpiga na kitu kizito kichwani hivyo imepelekea kusababisha umauti
Aidha baada ya kusomewa shtaka hilo watuhumiwa hao wamerudishwa Mahabusu mpaka tarehe 25,June,2024 itakapotajwa tenaView attachment 3017288
Team kataa ndoa wanazidi kupata points za kugomea kuoa au kuolewa.
Kitabu cha Mithali 14:1 kimeoliongelea vizuri sana jambo hili.Mwanamke mpumbav kabisa huyo
Mapenzi yanafikirisha sana na unaweza kosa jibuHuyo mwanaume aliyemfanya amuue mumewe!!! Mbona mumewe alikuwa yuko vizuri masikini. Binadamu huwa na machaguzi ya ajabu sana.
Sana na kweli nimekosa jibu. Mumewe na huyu vitu 18 tofauti.Mapenzi yanafikirisha sana na unaweza kosa jibu
Mkuu hua nawaza pia nadhani ufahamu wao hua umekadatwa na ibilisi kwa wakati huopKweli sauti ya ndani ndiyo roho Mtakatifu mwenyewe. Hii ya kuendekeza kichwa na chini. Matokeo yake ni haya, ila watu wanaotoa uhai wa wenzao. Ni wamezaliwa hivyo? Ni pepo inawashika? Ama ni kitu gani? Maana mpaka binadamu anakata roho mmh!!!
Hiyo sura ime badikishwa na kipigo Nasikia wali tembezewa mkong'oto Mtakatifu yeye na hawala yake.hyo boda mwenyewe alivo na sura mbaya ila wanawake sijui wana shida gan
Huyo mke utakuta alikuwa anasuguliwa jichoHuyo mwanaume aliyemfanya amuue mumewe!!! Mbona mumewe alikuwa yuko vizuri masikini. Binadamu huwa na machaguzi ya ajabu sana.
Hiyo sura ime badikishwa na kipigo Nasikia wali tembezewa mkong'oto Mtakatifu yeye na hawala yake.
mrangi ikiwa hivyo, ndiyo ifikie kumuua mkaka wa watu? Basi ina laana sana hiyo kitu...Huyo mke utakuta alikuwa anasuguliwa jicho
Ova
CCM ina wanachama wauwajiMahakama ya Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro imewapandisha kizimbani na kuwasomea shtaka watu watatu akiwemo Jovina Steven Mwekya (33), mkazi wa Mang'ula ambaye ndiye mke wa marehemu Mwalimu Tungaraza, Musa Amani Mwakyoma (28), mkazi wa Mang'ula, na Tadei Sales Mwinuka (40), mkazi wa Mang'ula, kwa kosa la mauaji.
Wakisomewa shtaka hilo na mwendesha mashtaka wa serikali, Dastan William, mbele ya Hakimu wa Wilaya ya Kilombero, Mhe. Regina Futakamba, amesema mnamo usiku wa Juni 2, 2024, wakati marehemu akiwa amelala chumbani, watuhumiwa hao walipanga njama ya kumvamia chumbani kwake na kumpiga na kitu kizito kichwani, hivyo kusababisha kifo chake.
Aidha, baada ya kusomewa shtaka hilo, watuhumiwa hao wamerudishwa mahabusu mpaka tarehe 25 Juni, 2024, itakapotajwa tena.
PIA SOMA:
- Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda
Team kataa ndoa wanazidi kupata points za kugomea kuoa au kuolewa.
Kwa kweli, maana haiingii akilini mtu na akili zake, aamue kuuwa mume,baba wa watoto wake. Kisa mapenzi ya nje. Ni shetani anawashika akili. Now akili zimewarudia watashaaMkuu hua nawaza pia nadhani ufahamu wao hua umekadatwa na ibilisi kwa wakati huop
Mkuu pole sana, tupe funzo hata kwa uchacheHapo kilombero ruaha sitakuja kupasahau maisha yangu Yote