Mke aliyemuua Mwalimu huko Kilombero apandishwa kizimbani

Watawaachia tu ili wakalee watoto, maana bila hivyo watoto wataishia mitaani…kama siyo kuwaachia wote basi mmoja wao
 
Daaah,
 
Mke
Watawaachia tu ili wakalee watoto, maana bila hivyo watoto wataishia mitaani…kama siyo kuwaachia wote basi mmoja wao
Bushlawyer katika ubora wako,ithibitike kuwa wamehusika harafu mmoja wao aachiwe kulea watoto?
 
Mke

Bushlawyer katika ubora wako,ithibitike kuwa wamehusika harafu mmoja wao aachiwe kulea watoto?
Hata wanapopima DNA lakini wanatoa majibu ya tofauti ni sababu ya Bush Lawyer.
Hata kuachiwa kwa akina Sabaya ni sababu ya Bush lawyer, hata yule aliyeingizwa chupa sehemu ya haja kubwa lakini DPP akafuta kesi ni sababu ya Bush lawyer.

Hongera nyingi sana kwako Town Lawyer
 
Hii sijui ni mental health au ni ukosefu wa elimu na exposure. Very low thinking, inasikitisha sana
 
Ngoja ninunue bunduki kmmmke mama Jovin kila mara anaulizia hati ya nyumba zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…