Mke ama mume akifungwa jela miaka 30, ndoa ya Kikristo inamsaidiaje mwenza wake?

Mke ama mume akifungwa jela miaka 30, ndoa ya Kikristo inamsaidiaje mwenza wake?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa

Dini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
 
Kifo pekee ndio kitawatenganisha katika Maisha ya SHIDA au raha. Nimepata shida ya kwenda Gerezani basi ndoa iko pale pale wakati huo wa shida.
 
Gereza sio kaburi na kufungwa miaka 30 haimaanishi ndio utamaliza miaka yote 30 jela.

Kuna misamaha ya raisi(kama ilivyotokea kwa Nguza na wanawe), kuna kukata rufaa na kushinda kesi ama hata kutoroka pia.

Labda useme adhabu ya kunyongwa mpaka kufa. Hapo ndipo kifo kitamtenganisha mwanandoa na mwenza wake.
 
Kifo pekee ndio kitawatenganisha katika Maisha ya SHIDA au raha. Nimepata shida ya kwenda Gerezani basi ndoa iko pale pale wakati huo wa shida.

Utakaa miaka 30 bila kushiriki tendo la ndoa sababu mkeo yupo gerezani ?
 
Under S. 107 LMA kufungwa. Kwa spouse kwa kifungo kisichopungua miaka 5 ni ground for the other spouse to file for divorce!
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa

Dini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
 
Under S. 107 LMA kufungwa. Kwa spouse kwa kifungo kisichopungua miaka 5 ni ground the other spouse to file for divorce!

Soma kichwa cha habari. Ndoa ya kikristo

Sheria ya ukristo inamsaidiaje muumini wake ?

Sijauliza kuhusu sheria za ki serikali
 
Hapo ndipo tunatumia ule usemi "na amani ya bwana ikaamue ndani yako!"...😂
 
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa

Dini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
Vipi kuhusu magonjwa ya muda mrefu, vipi kuhusu ajali ambazo zitapelekea ulemavu wa kudumu, kazi yako itakuwa ni kuacha na siyo kusaidiana????????

Wewe umeangalia tendo la ndoa tu??? Vipi utu wa mke au mme wako???? Unaelewa maana ya Ubinaadamu????

Mfano:
Wewe hapo umepata ajali ya kukatika miguu halafu mkeo anakufuata kuwa muachane, utafurahi sana???????

Una safari ndefu ya kujifunza, endelea kujifunza!!!!!!!!
 
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa

Dini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
Umeshasema sheria?Serikali haina mamlaka ya kumhukumu mtu miaka 30 jela ndivyo alivyofundisha kristo ila kwa ugumu wa mioyo yao wakatengeneza sheria.Kwahyo mwanaume akihukumiwa miaka 30 itampasa kukosa unyumba.Kanisa nalo likaweka sheria na hii ni kwenda kinyume na mafundisho ya kristo.Kwahyo kwa mwanamke aliyeachwa ana uhuru kamili sawa na mafundisho ya bwana kwamba aolewe au amsubiri mume wake miaka 30.Ndugu kuishika sheria bila ufunuo wa mungu ni utumwa uliopitiliza mpaka sasa bado tnahitaji ukombozi wa makanisa yetu na serikali zetu zote duniani.
 
Dini za kuletewa hizi mmekariri sana,walioleta dini wenyewe wanaoanza Kwa mikataba na kuachana pia,nyie mliopokea mnaambiana mmoja akifungwa mwingine haruhusiwi kuoa ana kuolewa🤣🤣 hata elimu mlizosoma hazijawakomboa sawa,basi uwezo binafsi wa kufikiri nao shida.
Bora tuwape do world bandari zote aiseee.
 
Watu wengi wana mapokeo nusu nusu sana juu ya ndoa za kikristu/kristo. Kuna wanaodhani hakuna talaka kwenye hizo ndoa. Mbaya zaidi hawafahamu kuwa sheria yetu ya ndoa (sheria ya jamhuri, inayofanyakazi upande wa Tanzania Bara) imetungwa kwa msingi wa kikristu/sto sawa na sheria nyingi tyluzonazo.

Kwa ufupi sana;
Majawabu yapo na ni kuivuna tu kama itaonekana wote hamuwezi endelea nayo. Au ikipoteza sifa za ndoa yenyewe
 
Kuoa ni kujamiina kwa kawaida kabisa
Kuzini ni kujamiina kwa kawaida pia na yote haya ni matendo ya mwili
Sasa inawezekana vipi matendo hayo ya mwili moja limzue mwenzake??
Sheria ni mbaya na inaweza kukupeleka kingi
 
Hapo iulize serikali inamsaidiaje labda kwamba kuwe na utaratibu wa wafungwa kuruhusiwa kukutana na wenza wao wa ndoa kwaajili ya faragha !
 
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.

Sasa inapotokea mfano mke wako ama mume wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?

Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,

MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa

Dini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
Kasome Mathayo 19 Kwa kukusaidia
 
Nadhani Mungu hakujua ya kwamba kutakuja kuwa na jela.

Kuvumilia miaka 30 ni uongo mtupu, binafsi siwezi. Labda mwenzangu afungwe nikiwa na miaka 60 kwenda juu, kwa ujana huu tutadanganyana.
 
Miaka 30 bila kut**mba hapana asee vinginevyo kuwe na sababu kama vile ub***o kutodinda hata kidogo
 
Nadhani Mungu hakujua ya kwamba kutakuja kuwa na jela.

Kuvumilia miaka 30 ni uongo mtupu, binafsi siwezi. Labda mwenzangu afungwe nikiwa na miaka 60 kwenda juu, kwa ujana huu tutadanganyana.
Mioyo ya binadamu ni migumu, talaka Kwa ndoa haipo hata ukimkuta mwenzako anazini hurusiwi kumuacha , ndoa ni kuvumiliana katika Hali zote, Sabaya alihukimiwa kifungo na alikuwa na mchumba , lakini baada ya rufaa akaachiliwa Sasa mchumba wake angejichanganya kutolewa na baadae jamaa akarudi ingekuwaje , Kwa maelezo juu ya talaka soma mathayo 19: 1-12 ndio utaelewa maana ya ndoa
 
Back
Top Bottom