Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela inamaliza matatizo au matatizo yanamaliza hela?Tatizo ni Hela na suluhisho ni Hela Yani ni Hela na ni hela
Mke amlipe housgirlHuwa inashangaza mke ajira hana,mtoto bado hajapata sasa dada wa kazi wa nini kama sio kuongeza mizigo ya kiuchumi tu
Mi nahisi we unavimelea vya ubishoo....Sioni kama Kuna ubaya,sio lazima tatizo likukute wewe ndio useme hata lamwenzio ni sawa madam kusaidiana kutatua changamoto ,changamoto ni za Kila binadamu zipo tunaishi Nazo azikwepeki...ndio mana kunakushauriana ...Karibu JF mtandao ambao mtu huleta tatizo lake binafsi kwa kupitia mshikaji/jamaa yake
Kumlipa housegirl sio issue. Issue ni gharama anazotumia nyumbani kwako ambazo ukizijumlisha zinazidi mshahara wake hata mara tatu (3) kwa mfano:Mke amlipe housgirl
Adhabu yake mpandishe cheo huyo dada kuwa waziri wa mambo ya ndani wakati ukiandaa utaratibu wa kumpandisha cheo cha Rais wa SMZ😊😊Kisa kiko hivi
Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu kwao na huyo binti wala wazazi wake,na pia yeye jamaa hana budget ya kulipa msichana wa kazi kwa sasa kwani mambo yake hayako vizuri,hivyo anashangaa kuletewa mgeni ndani kwake asiyemtambua.
Maamuzi yake yalikua ni kumchapa makofi mkewe na amtimue huyo binti arudi kwao.
Ila mimi nimemtuliza nimemwambia yeye ajifanye mjinga kama hajui lolote linaloendelea aone mwisho wa mwezi kama ataombwa mshahara wa huyo binti ama vipi,hapo ndio afungue mdomo wake sasa.
Nyie wakuu mna ushauri gani kwenye hili suala?
Kwa kawaida binti huamka saa 10 alfajiri kutwa yupo kikaangoni kulala around saa tanoKumlipa housegirl sio issue. Issue ni gharama anazotumia nyumbani kwako ambazo ukizijumlisha zinazidi mshahara wake hata mara tatu (3) kwa mfano:
1. Chumba anacholala kama angepanga angelipa say 50,000 kwa mwezi
2. Umeme anaotumia say kwa mwezi 5,000
3. Maji kwa mwezi 5000
4. Uchakavu wa vitu anavyotumia 5000
5. King'amuzi anachotumia 5000
6. Chakula 6000 x siku 30 = 180,000
Jumla kuu 250,000
Hapo hata kama mshahara atalipa mke bado itakula kwako tu
na kamtarifu jamaa yako serious aise !!! dawa nzuri sana hii, dunia ya sasa usipambane na mwenza, kuna ustawi wa jamaa utafunguliwa kesi zitakzo kutia hasara tu, pambana na situation na sio mtuNimekusoma mkuu
Acha roho mbaya Hapo labda chakula tu,na maji ya kuoga kidogo,the rest ni cost sharing inahusikaKumlipa housegirl sio issue. Issue ni gharama anazotumia nyumbani kwako ambazo ukizijumlisha zinazidi mshahara wake hata mara tatu (3) kwa mfano:
1. Chumba anacholala kama angepanga angelipa say 50,000 kwa mwezi
2. Umeme anaotumia say kwa mwezi 5,000
3. Maji kwa mwezi 5000
4. Uchakavu wa vitu anavyotumia 5000
5. King'amuzi anachotumia 5000
6. Chakula 6000 x siku 30 = 180,000
Jumla kuu 250,000
Hapo hata kama mshahara atalipa mke bado itakula kwako tu
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Very simple. Kuanzia leo akirudi nyumbani ni mwendo wa kuzunguka na boxer tu. Akihitaji chochote amuite dada wa kazi hata kama mkewe yupo. Ahakikishe anamwaga sifa za kutosha za housegirl juu ya uzuri na uchapakazi wake kwa mkewe. Kama alivyokuja bila kutaarifiwa basi hakika ataondoshwa pasi kujulishwa akifanya hayo.
Hela inamaliza matatizoHela inamaliza matatizo au matatizo yanamaliza hela?