Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Jumatatu mpaka ijumaa chapa kazi ,weka sex pembeni ila mwisho wa wiki Jumamosi na Jumapili mnajifurahisha bila kuchoshana. Mmoja akisema amechoka basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndo utaona raha ya mke.Jumatatu mpaka ijumaa chapa kazi ,weka sex pembeni ila mwisho wa wiki Jumamosi na Jumapili mnajifurahisha bila kuchoshana. Mmoja akisema amechoka basi.
Ulisikia wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nasikia kuna ugonjwa flani mtu akiwa nao, ni ugonjwa wa akili sijui, yaani anaweza kufanya ngono muda wote! Wanawake wenye ugonjwa huo pia wapo, hata hapa Tz niliwahi kusoma kwenye magazeti habari kama hizo za watu kudai talaka kutokana na wenzao kuzidi ktk ile habri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mpuuzi umenichekesha, haya tunakuombea.nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.
ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.
on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....
mniombee
Duu! Umeufukunyua uzi huu una zaidi ya miska 10!!MziziMkavu nauliza vipi hatma ya ndoa hukumu ilitolewa?
Hiyo standard ya dunia aliyeiweka ni nani? Mimi kwa ufahamu wangu tendo hilo ili liwe limefanikiwa ni pale kila mmoja aliyeshiriki (mwanaume na mwanamke) anapokuwa ameridhika, na kukinai. Yaani afike kileleni (orgasm). Wengine wanaridhika kwa bao moja, wengine 2 nk.Standard ya Dunia ni bao tatu tu zinatosha,, pungufu ya hapo ujue una shida kidogo ila ukizidisha sio mbaya.. ila hakikisha kila mchezo jitahidi upige bao tatu..
Ndio maana pakiti ya Condom ina 3pcs tu,,, ukibakiza unambakizia nani? Mwanaume piga vitatu endelea na shughuli za kujenga taifa ulipe kodi ya uzalendo.
Wanaume tukae humo, otherwise huwezi shindana na papuchi
Ndio, mie DEMUWewe ni mwanamke?
Kama hivyo sawa nilifikiri ni mwanaume na unajaribu kumtaka mwanamke aone ni sawa kinachomkumbaNdio, mie DEMU
Wahi matibabu mkuu hauko normalnilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.
ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.
on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....
mniombee
Hayo ndiyo mapenzi yetu watu wazima, hatutaki preshaJumatatu mpaka ijumaa chapa kazi ,weka sex pembeni ila mwisho wa wiki Jumamosi na Jumapili mnajifurahisha bila kuchoshana. Mmoja akisema amechoka basi.
hahahhahaha joja nayoStandard ya Dunia ni bao tatu tu zinatosha,, pungufu ya hapo ujue una shida kidogo ila ukizidisha sio mbaya.. ila hakikisha kila mchezo jitahidi upige bao tatu..
Ndio maana pakiti ya Condom ina 3pcs tu,,, ukibakiza unambakizia nani? Mwanaume piga vitatu endelea na shughuli za kujenga taifa ulipe kodi ya uzalendo.
Wanaume tukae humo, otherwise huwezi shindana na papuchi
Picha zao mkuu, fasta natia tim hukoHiyo standard ya dunia aliyeiweka ni nani? Mimi kwa ufahamu wangu tendo hilo ili liwe limefanikiwa ni pale kila mmoja aliyeshiriki (mwanaume na mwanamke) anapokuwa ameridhika, na kukinai. Yaani afike kileleni (orgasm). Wengine wanaridhika kwa bao moja, wengine 2 nk.
Naomba kuwasilisha.
NB: Karibuni Katumba huku Katavi mjipatie warembo wa Kirundi. Ila kwa sasa ni Watanzania. Walishapewa uraia.
Si wanasema mwanamme "mashine?"Mwanamke mmoja nchini Malaysia ameamua kuomba talaka kumkimbia mume wake ambaye anapenda sana kufanya mapenzi akimlazimisha kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 kila siku. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba unapaki gari mkuu ....Mungu ni mwema atakusaidia utakua unapiga hata komoko tu fanya mazoezi sana na kula vizuri na punguza mawazo.nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.
ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.
on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....
mniombee
4×4=? per day kwani kunamalipo?Kwa hali hii ndio maana wanaume wanashauriwa waoe wanawake atleast wa 4! Kila mmoja akila bao 4 hawawezi kumkimbia msela kwa siku!
Hehehhe jamaa ndio anamwaga moto goli 16 kila siku4×4=? per day kwani kunamalipo?