Mke amkimbia mume anayependa kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 Kila siku

Mke amkimbia mume anayependa kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 Kila siku

Jumatatu mpaka ijumaa chapa kazi ,weka sex pembeni ila mwisho wa wiki Jumamosi na Jumapili mnajifurahisha bila kuchoshana. Mmoja akisema amechoka basi.
Hivi ndo utaona raha ya mke.

Yani mapenzi just for leisure tu sio kwamba ni jambo la ratiba maalumu aisee.

Mapwnzi yasiwe na ratiba,ufanye penye kuhitajika,hapo ndo utaona fresh

Ukifanya ratiba lazima umchoke mkeo utamuona hana jipya,au utasema hauna nguvu za kiume
 
Nasikia kuna ugonjwa flani mtu akiwa nao, ni ugonjwa wa akili sijui, yaani anaweza kufanya ngono muda wote! Wanawake wenye ugonjwa huo pia wapo, hata hapa Tz niliwahi kusoma kwenye magazeti habari kama hizo za watu kudai talaka kutokana na wenzao kuzidi ktk ile habri
Ulisikia wapi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Standard ya Dunia ni bao tatu tu zinatosha,, pungufu ya hapo ujue una shida kidogo ila ukizidisha sio mbaya.. ila hakikisha kila mchezo jitahidi upige bao tatu..

Ndio maana pakiti ya Condom ina 3pcs tu,,, ukibakiza unambakizia nani? Mwanaume piga vitatu endelea na shughuli za kujenga taifa ulipe kodi ya uzalendo.

Wanaume tukae humo, otherwise huwezi shindana na papuchi
 
nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.


ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.


on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....


mniombee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mpuuzi umenichekesha, haya tunakuombea.
 
Standard ya Dunia ni bao tatu tu zinatosha,, pungufu ya hapo ujue una shida kidogo ila ukizidisha sio mbaya.. ila hakikisha kila mchezo jitahidi upige bao tatu..

Ndio maana pakiti ya Condom ina 3pcs tu,,, ukibakiza unambakizia nani? Mwanaume piga vitatu endelea na shughuli za kujenga taifa ulipe kodi ya uzalendo.

Wanaume tukae humo, otherwise huwezi shindana na papuchi
Hiyo standard ya dunia aliyeiweka ni nani? Mimi kwa ufahamu wangu tendo hilo ili liwe limefanikiwa ni pale kila mmoja aliyeshiriki (mwanaume na mwanamke) anapokuwa ameridhika, na kukinai. Yaani afike kileleni (orgasm). Wengine wanaridhika kwa bao moja, wengine 2 nk.
Naomba kuwasilisha.

NB: Karibuni Katumba huku Katavi mjipatie warembo wa Kirundi. Ila kwa sasa ni Watanzania. Walishapewa uraia.
 
Na mimi nilipokuwa bado kijana sana Nilikuwa sijambo kwenye Kwichi Kwichi,yaani bao kumi na kitu zilikuwa za kufikia.Lkn sasa hivi nimekua kidogo nimepunguza.
 
nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.


ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.


on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....


mniombee
Wahi matibabu mkuu hauko normal
 
Standard ya Dunia ni bao tatu tu zinatosha,, pungufu ya hapo ujue una shida kidogo ila ukizidisha sio mbaya.. ila hakikisha kila mchezo jitahidi upige bao tatu..

Ndio maana pakiti ya Condom ina 3pcs tu,,, ukibakiza unambakizia nani? Mwanaume piga vitatu endelea na shughuli za kujenga taifa ulipe kodi ya uzalendo.

Wanaume tukae humo, otherwise huwezi shindana na papuchi
hahahhahaha joja nayo
Lakini............?
 
Hiyo standard ya dunia aliyeiweka ni nani? Mimi kwa ufahamu wangu tendo hilo ili liwe limefanikiwa ni pale kila mmoja aliyeshiriki (mwanaume na mwanamke) anapokuwa ameridhika, na kukinai. Yaani afike kileleni (orgasm). Wengine wanaridhika kwa bao moja, wengine 2 nk.
Naomba kuwasilisha.

NB: Karibuni Katumba huku Katavi mjipatie warembo wa Kirundi. Ila kwa sasa ni Watanzania. Walishapewa uraia.
Picha zao mkuu, fasta natia tim huko
 
Mwanamke mmoja nchini Malaysia ameamua kuomba talaka kumkimbia mume wake ambaye anapenda sana kufanya mapenzi akimlazimisha kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 kila siku. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye
Si wanasema mwanamme "mashine?"
 
nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.


ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.


on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....


mniombee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwamba unapaki gari mkuu ....Mungu ni mwema atakusaidia utakua unapiga hata komoko tu fanya mazoezi sana na kula vizuri na punguza mawazo.
 
Back
Top Bottom