Mke amkimbia mume anayependa kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 Kila siku

Mke amkimbia mume anayependa kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 Kila siku

nilipokuwa 20-25 nilikiwa napiga 5 kawaida sana, nilipooa nikiwa na 26 nilimkunja wife siku ya kwanza 7 na sijarudia tena. nikawa wa 2 au 3.


ninapoandika hapa nipo na mid 30, kwa wiki napiga viwili na kuna wiki inapita bila kusimamisha chombo.


on mejiandaa kiakili miaka 2 mbele chombo inapakiwa gereji.....


mniombee
wewe mgonjwa, wenzio tupo kwenye 40s tunapiga viwili mara tatu kwa wiki. hapo jumlisha stress za kutafuta maisha, rundo la watoto na magharama yao na vurugu za wanawake (iliyokuwa michepuko na mke).
 
hata kila siku 3 zinachosha sembuse kwa siku zaidi ya mara 10? naafiki na maneno ya mke kuwa kuna kashetani kanamsaidia
 
Hiyo standard ya dunia aliyeiweka ni nani? Mimi kwa ufahamu wangu tendo hilo ili liwe limefanikiwa ni pale kila mmoja aliyeshiriki (mwanaume na mwanamke) anapokuwa ameridhika, na kukinai.

Walioleta hayo masomo ya Orgasm ndio walioweka hio standard mkuu... Kuwa mpole hakuna demu anaridhika na bao moja acha kujifariji, ukiona anaridhika na bao moja ujue bado mshamba ni swala la muda tu akikutana na wakulungwa wanazingatia standard.
 
Mwanamke mmoja nchini Malaysia ameamua kuomba talaka kumkimbia mume wake ambaye anapenda sana kufanya mapenzi akimlazimisha kufanya mapenzi zaidi ya mara 10 kila siku. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye aliolewa hivi karibuni ameamua kumkimbia mumewe na kudai talaka baada ya kuchoka kufanya mapenzi na mumewe zaidi ya mara 10 kila siku.

Mwanamke huyo anadai mumewe atakuwa anatumia uchawi au madawa katika kufanya mapenzi kwani si hali ya kawaida mwanaume kufanya mapenzi mara nyingi kiasi hicho bila kuchoka.

Mwanamke huyo amepeleka madai yake ya talaka kwenye mahakama ya sharia za kiislamu nchini humo.

"Mwanamke huyo alianza kushangazwa na mumewe kwenye usiku wa kwanza wa honeymoon yao wakati mumewe alipolazimisha na kufanya naye mapenzi mara 17" alisema mwenyekiti msaidizi wa taasisi ya wanasheria wa sheria za kidini, Musa Awang.

Mwanamke huyo alidai kuwa mumewe atakuwa na shetani aliyejificha katika mwili wake.

Akizungumzia kauli hiyo, kiongozi wa kidini Datuk Ebu Hasan alisema kuwa "Ni mwanaume anayeshirikiana na shetani kufanya mapenzi pekee ndiye anaweza kufanya mapenzi mara nyingi kiasi hiki".

Mahakama ya sharia bado haijatoa uamuzi wake katika kesi hiyo ya aina yake.

Chanzo: nifahamishe.com
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1311][emoji1311][emoji1311][emoji1311][emoji1311][emoji1311]
 
Miaka 18 kadogo hako...aje achukue mpare au mhaya au mngoni wa 20yrs..atakimbia mwenyewe
 
hata kila siku 3 zinachosha sembuse kwa siku zaidi ya mara 10? naafiki na maneno ya mke kuwa kuna kashetani kanamsaidia
Kila baada ya siku tatu unachoka kukazwa? Means twice a week nayo tabu 😅??
 
Kila baada ya siku tatu unachoka kukazwa? Means twice a week nayo tabu 😅??
Tatizo hujui kusoma vzr mkuu ...nasema kila siku round tatu inachosha sembuse 10? Rudia kwa makini aisee umekosea kunicheka hahhahahahhajaja weweeee yaan mm ni WA siku 2 kwa week kweli? Aisee hapana
 
Tatizo hujui kusoma vzr mkuu ...nasema kila siku round tatu inachosha sembuse 10? Rudia kwa makini aisee umekosea kunicheka hahhahahahhajaja weweeee yaan mm ni WA siku 2 kwa week kweli? Aisee hapana
Nilitaka nishangae hii dozi ya kitoto ndio ambayo mtu mzima kama wewe unailalamikia😂kweli?
 
Back
Top Bottom