Mke amwomba mme alale na mtu mwingine ili wapate mtaji

Mke amwomba mme alale na mtu mwingine ili wapate mtaji

Huo ni upuuzi, mwanamke akaliwe kwa 2m/= na asipompa ila akaliwa itakuwaje ?

Wanawake waangalie na kitu cha kumshirikisha mme,

Wanaume siyo wa low mind hivyo.
 
Hakuna mwanaume timamu na rijali anayeweza kukubali hiyo.Vinginevyo labda hampendi huyo mwanamke.Na ukiona mkeo amepata ujasiri wakuja kukwambia hivyo jua alishafanya maamuzi yakukubali hapo anakupima tu upepo kujua utachukuliaje ila vyovyote utakavyoamua yeye sawa.Ukiwa kama mwanaume unatakiwa kujua hadi hapo huna mke.Ingekua ni mimi ningekubali alafu natengeneza fumanizi ili nipige ela nzuri kwa huyo mzee alafu nikifanikiwa mke nampiga chini nafanya mambo mengine ili wawe huru.Kwasababu hapo ata ukikataa ataliwa tu kwasababu ameshakuonyesha udhaifu wako kua huna ela na nimaskini namimi sio size yako.Sasa bora ujilipe kupunguza machungu mengine yatajulikana badae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa naye anataka amle rafiki wa mkewe, je naye atapewa maokoto?
 
Huyo mzee sio mwingine ni wewe. Kama unataka kuwapa msaada umpatie hiyo 2m lakini akiharibu hiyo familia Yeye na vipesa vyake ataishia porini.

Ndipo atatamani Arejee hata kwa dakika moja afanye mema lakini atakuwa amechelewa. Kwanini ublack -mail watu na vihela vyako tena vichafu? Je ni nani aliyezaliwa ameshika Hela?
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..
Akiruhusiwa then mzee akakate moto..

Itakuwa kesi nyingine
 
2M only unafanya hivo.
😂😂😂😂😂😂😂
Huyo mwanaume wake pia ni boda wa chamazi
 
Japo maisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu...

download-3.jpg


Cc: Mahondaw
 
Hii ilishatokea (1993) huko Hollywood Indecent Proposal.., based kwenye kitabu cha Jack Engelhard...

Sisemi kama haijawahi kutokea in reality (nothing is new under the sun) lakini hio ya mtu kuja kukaa na wewe kukwambia huo upuuzi wakati visu, risasi, bunduki na wivu ni wa kumwanga ujasiri huo wa kutoa hizi kauli unapatikana kwenye wide screen pekee....
 
Huyo mzee sio mwingine ni wewe. Kama unataka kuwapa msaada umpatie hiyo 2m lakini akiharibu hiyo familia Yeye na vipesa vyake ataishia porini.

Ndipo atatamani Arejee hata kwa dakika moja afanye mema lakini atakuwa amechelewa. Kwanini ublack -mail watu na vihela vyako tena vichafu? Je ni nani aliyezaliwa ameshika Hela?
Mkuu umechafukwa🤣🤣🤣
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..
Duh..
Umaskini mbaya sana!
ccm imeharibu sana nchi
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..
Hao,wewe na wote ni WAPUMBAVU mumekutana
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..
Wewe unasemaje kwanza
 
Back
Top Bottom