Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiruhusiwa then mzee akakate moto..Habari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..
Loh jamani😅😅Hii ni movie ya kitambo sana inaitwa Indecent Proposal tena muhusika anaitwa Demi Moore
What a coincidence..
Mkuu umechafukwa🤣🤣🤣Huyo mzee sio mwingine ni wewe. Kama unataka kuwapa msaada umpatie hiyo 2m lakini akiharibu hiyo familia Yeye na vipesa vyake ataishia porini.
Ndipo atatamani Arejee hata kwa dakika moja afanye mema lakini atakuwa amechelewa. Kwanini ublack -mail watu na vihela vyako tena vichafu? Je ni nani aliyezaliwa ameshika Hela?
Duh..Habari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..
Hao,wewe na wote ni WAPUMBAVU mumekutanaHabari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..
Wewe unasemaje kwanzaHabari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..