Karibu JF dear New member,Kwa majina naitwa Naseeb ni mzaliwa wa Moshi Ila naishi Arusha kikazi, kabila ni Mrangi-mbena, miaka ni 28 na elimu ni bachelor holder..Nahitaji mwanamke wa kuoa awe mke kwani nimechoka kupoteza muda na vigezo ni Kama ifuatavyo
+Dini uwe muislamu
+Elimu yoyote
+Uwe mpole
+Uwe tayari kwa ndoa
+Mengine tutajuza ukija DM
Nahitaji mtu serious na Kama uko tayari 0783331608(njoo Whatsapp tuyajenge)
Hawanaga mambo mengi, ikichelewa mwakani JanuaryNdoa inafungwa mwaka huu huu?
New ID sio new member.Karibu JF dear New member,
Ama baada ya salamu nikutakie kila la kheri ufanikiwe sawa na hitaji lako la Moyo!!
Acha niwahi huko huu mwaka usijeisha bila kuwa na mama mkwe.Hawanaga mambo mengi, ikichelewa mwakani January
Ushakosa kigezo, awe muislamAcha niwahi huko huu mwaka usijeisha bila kuwa na mama mkwe.
Aiiii, ndio basi tena.Ushakosa kigezo, awe muislam
Pili wewe una mwenza 🏃Aiiii, ndio basi tena.
Jamani, mimi?Pili wewe una mwenza [emoji125]
Unaruka eeh ngoja nim tagJamani, mimi?
Hahahahah basi usimtag subiri sikukuu zipite kwanza.Unaruka eeh ngoja nim tag
SawasawaHahahahah basi usimtag subiri sikukuu zipite kwanza.
Nimekumiss we mtoto😎Ndoa inafungwa mwaka huu huu?
Basi wikiendi tukutane tule bata kidogo.Nimekumiss we mtoto[emoji41]
Hamna shaka chaurembo,,,andaa ratiba yako na tumbo tu!Basi wikiendi tukutane tule bata kidogo.
Usijali, tumbo langu linakuwaga tayari wakati wote[emoji23]. Wewe andaa hela.Hamna shaka chaurembo,,,andaa ratiba yako na tumbo tu!