Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
[emoji3][emoji3]Usijali, tumbo langu linakuwaga tayari wakati wote[emoji23]. Wewe andaa hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Usijali, tumbo langu linakuwaga tayari wakati wote[emoji23]. Wewe andaa hela.
Kuhusu budget itakuwa maridhawa kabisa usisahau kuandaa nyonga pia huenda tukaitumia katika msimu huu wa krismasi anga imependeza mda wote!😅Usijali, tumbo langu linakuwaga tayari wakati wote[emoji23]. Wewe andaa hela.
Niandae na nyonga tena? Si umesema niandae muda na tumbo langu sasa hili la nyonga linatoka wapi tena jamani.Kuhusu budget itakuwa maridhawa kabisa usisahau kuandaa nyonga pia huenda tukaitumia katika msimu huu wa krismasi anga imependeza mda wote![emoji28]
View attachment 2043623
Kuna live band pia we mbona unamawazo hasi namna hio😅Niandae na nyonga tena? Si umesema niandae muda na tumbo langu sasa hili la nyonga linatoka wapi tena jamani.
Waislam tenaa.hata usiku wa leo goma linaamshwa.Ndoa inafungwa mwaka huu huu?
Haya yaishe, na nyonga ipo tayari muda wote. Ni mwendo wa kukata na kunyonga.Kuna live band pia we mbona unamawazo hasi namna hio[emoji28]
Mke anapatikana popote tuHuwa siamini kama nyie watu wa kutangaza humu mpo serious.
Unakosaje mwanamke mpaka unakuja kutangaza hapa?
Domo zege?
Unajifungia ndani?
Haujiamini?
Stress?
Nini tatizo hasa?
Warangi wenyewe hatukubali kuowa wanawake wa kirangi....mwanamke wa kirangi ni sawa na bomu muda wowote linaweza kulipuka..puuuuuuuShuka hapa Kondoa kuna dada zako wazuri sana halafu waislam sana wanahitaji kuolewa.
Kabla ya Xmas.... yaani Xmas watu wanakuwa Honeymoon wakila tunda!!!Ndoa inafungwa mwaka huu huu?
Hapa ndio shida inapoanzia. Sasa we mwenzako anakukaribisha vitu vitamu, ila akiomba na wewe umpe utamu unaanza uchoyo. Wanawake wa bongo bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niandae na nyonga tena? Si umesema niandae muda na tumbo langu sasa hili la nyonga linatoka wapi tena jamani.
Haya ndio maneno alichokupa MUNGU bure share na mwenzako.Haya yaishe, na nyonga ipo tayari muda wote. Ni mwendo wa kukata na kunyonga.
Sasa jamani tulikubaliana mimi niandae Muda+Tumbo.Hapa ndio shida inapoanzia. Sasa we mwenzako anakukaribisha vitu vitamu, ila akiomba na wewe umpe utamu unaanza uchoyo. Wanawake wa bongo bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ubinafsi ndio unawagharimu kudadadeki zenu na ndio sumu yenu hii. Kambale au kitimoto hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Hahahahah mtoto hataki tubalansi ikwesheni 😅 analeta janja janja ila tutafika tu zilongwa zitendwa!!!Hapa ndio shida inapoanzia. Sasa we mwenzako anakukaribisha vitu vitamu, ila akiomba na wewe umpe utamu unaanza uchoyo. Wanawake wa bongo bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ubinafsi ndio unawagharimu kudadadeki zenu na ndio sumu yenu hii. Kambale au kitimoto hujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
😋Eewaaah! Tuombe uzima tu ikawe heri...🤩🤩🤩Haya yaishe, na nyonga ipo tayari muda wote. Ni mwendo wa kukata na kunyonga.
Kila la kheriiKwa majina naitwa Naseeb ni mzaliwa wa Moshi Ila naishi Arusha kikazi, kabila ni Mrangi-mbena, miaka ni 28 na elimu ni bachelor holder..Nahitaji mwanamke wa kuoa awe mke kwani nimechoka kupoteza muda na vigezo ni Kama ifuatavyo
+Dini uwe muislamu
+Elimu yoyote
+Uwe mpole
+Uwe tayari kwa ndoa
+Mengine tutajuza ukija DM
Nahitaji mtu serious na Kama uko tayari 0783331608(njoo Whatsapp tuyajenge)
Dah umetaja wowowo nimedata haki ya mama.Mrangi mwenzangu huitaji mwanamke mwenye wowowo?..yupo hapa ila ni single mother..
Badili diniAiiii, ndio basi tena.
We katoto ka mtume Mathayo tuliza mshono umeshaambiwa awe muislamuAcha niwahi huko huu mwaka usijeisha bila kuwa na mama mkwe.
Yaani hayo uliyoorodhesha hapo juu ndio matatizo yenyeweHuwa siamini kama nyie watu wa kutangaza humu mpo serious.
Unakosaje mwanamke mpaka unakuja kutangaza hapa?
Domo zege?
Unajifungia ndani?
Haujiamini?
Stress?
Nini tatizo hasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ulipotea sana jamani.We katoto ka mtume Mathayo tuliza mshono umeshaambiwa awe muislamu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app