Mke anahitajika haraka

😂😂😂😂 Fact
 
Ila wew kwaiyo Kutoka Kuishi nje had Kuishi chitoholi😂😂😂
 
Ila wew kwaiyo Kutoka Kuishi nje had Kuishi chitoholi😂😂😂
Yani ukisoma hapo awe tayari kuishi tz au nje....moyo unafanya paaah unajisemea ahsante baba.

Ukirudi huku naishi kusini mwa tz....moyo unajisemea nyooooooohhh nije kula korosho na maembe🤣🤣🤣
 
Yani ukisoma hapo awe tayari kuishi tz au nje....moyo unafanya paaah unajisemea ahsante baba.

Ukirudi huku naishi kusini mwa tz....moyo unajisemea nyooooooohhh nije kula korosho na maembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utakuwa tayari kwenda sudan?
 
Yani ukisoma hapo awe tayari kuishi tz au nje....moyo unafanya paaah unajisemea ahsante baba.

Ukirudi huku naishi kusini mwa tz....moyo unajisemea nyooooooohhh nije kula korosho na maembe🤣🤣🤣
😂😂😂Na chamakii mchanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…