Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Hata mm nataniaAh wee mie natania usije mroga mtoto wa watu bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nataniaAh wee mie natania usije mroga mtoto wa watu bure
Ila wee kuolewa sitaniiHata mm natania
Haha imefanyaje mkuuTatizo ID yako
Natafuta mke,kama upo serious njoo PMUnatafuta mke kweli au unataka kuwajua yatima wa mapenzi wa humu ndani [emoji23]
Sawa nitafutie mchumba m. Sina muda Niko busy sana😀Ila wee kuolewa sitanii
Karibu mkuuNimecheka saaaana
Haha kina abby chams hawa [emoji38]Kama unahitaji mke chap chap mtafute Akothee akupe haka ka binti kake, ni kabikira ila anakauza ksh milioni 990.
Changamkia hako ka Rue Baby kana age ya 24.
View attachment 2665576
Wee sii umesema una mchumba.Sawa nitafutie mchumba m. Sina muda Niko busy sana😀
MmmhKaribu mkuu
HahahaNa wewe, hiyo avatar inafukuza Wateja!
Njoo PMThis is a proof of jokes jamaa anatuchora tu.
Wanakuja niko nachuja nataka kisu kweli kweliShemeji ina maana hadi sahivi bila bila?? Hamna anaetaka kuja kula korosho na maembe??
Tuanzie na wewe [emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi au huyo mkeo sasa???
Duh! Mke wa haraka haraka! Haraka haraka inaweza isiwe na baraka. Kumbuka. Unatafuta mwenzi wa maisha mwanangu. Hivyo, ningeshauri haraka iepuke usijejuta haraka. Ni ushauri tuAwe:
●Dini yoyote ila asiwe na msimamo mkali
●Kabila lolote
●Miaka 31 kushuka chini
●Elimu form 4 na kuendelea
●Kazi yoyote (si lazima)
●Awe tayari kuishi Mahali popote Tanzania au nje(anifuate nilipo)
●Ahakikishe amejikana mwenyewe na kujitwika msalaba wa uaminifu kisha anifuate
♡Ukiwa na hizi sifa njoo PM ambako tutapeana namba tuweze kufahamiana vizuri na maisha yaanzie hapo
MIMI:
●Mkristo
●miaka 31
Sifa zangu zingine nitakupa PM ila usiogope ni Raia mwema,mcha MUNGU, najishughulisha na nina malengo makubwa.
Kwa sasa naishi mkoa mmojawapo kanda ya kusini mwa Tanzania na huyo atayekuwa mke wangu awe tayari kuja tuishi huku.
Karibu
Teh teh 😂😂 jamaa ana haraka kweli kweli..Sijui swala la Mwenza huwa mnalichukuliaje.
Eti Mke anahitajika haraka. Just as if, ni bidhaa ya kuchomoa mahali kisha unalipa na kujibebea mzigo wako.
Sina vigezo mkuu.Njoo PM
Shukrani kwa ushauri,ndivyo waungwana wanavyofanyaDuh! Mke wa haraka haraka! Haraka haraka inaweza isiwe na baraka. Kumbuka. Unatafuta mwenzi wa maisha mwanangu. Hivyo, ningeshauri haraka iepuke usijejuta haraka. Ni ushauri tu