Mke anahitajika haraka

Mke anahitajika haraka

Mimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.

Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Hahaha mke anayehitajika haraka na kuachika haraka.

Turudi kwenye mada mkuu huyu mke anayehitajika haraka ni kwa sababu ya hii hali ya hewa?? au huo uharaka wa namna gani?
 
Hahaha mke anayehitajika haraka na kuachika haraka.

Turudi kwenye mada mkuu huyu mke anayehitajika haraka ni kwa sababu ya hii hali ya hewa?? au huo uharaka wa namna gani?
Nataka kwenda naye ulaya ninamuda mfupi sana. Sitaki kuoa gozi nyeupe.
 
Aliyekwambia dini Fulani hatendi dhambi nani? Yesu mwenyewe alisema dini ya kweli ni Ile inayojali shida za watu. Mfano, kuwa na matendo mema. Sasa kama wewe dini yako inahalarisha matendo mema, hiyo ni yakumcha Mungu. Hivyo unafaa.

Mzee unaonekana mtu wa jazba sana...

Alichoandika uliyemjibu ni tofauti na ulivyoelewa...
 
Mimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.

Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Una bei gani nikuunganishe naye?
 
Huna wazee wakutafutie mke? Umesemezana na wazee wa nyumba za ibada napo ukakosa? au una mipango yako ewe kijana wa makamo?
 
Mimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.

Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
We una shida, unamtafuta mke humu? Usijelaumu.
 
Back
Top Bottom