Mke anahitajika

Kweli mkuu,

Yani hapo nyinyi atakuwa anawaheshim,so hawezi jiharibia akawakubaria mabaharia wa mtaani..

Ndo mana me naona huyo unipasie Baharia mwenzako hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani nimekupenda ghafla tu, umeongea kwa hisia sana. Masharti kama mganga khaaaaaa kwaiyo kama hauna tako huna soko mjini, mweusi huna soko, wanaume mnatesa sana
 
Aisee kuwa kwangu Jamiiforums tangu 2008 kama anonymous user, na 2011 rasmi kujiunga sikuwahi kujua kama kuna hili jukwaa adhimu hivi.
 
Promo at work
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…