Mke anahitajika

Mke anahitajika

llxgl

Member
Joined
May 14, 2023
Posts
5
Reaction score
3
Habari wana JF,

Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.

Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli: nimejiajiri

Aina ya ninaemuhitaji:

Umri: 30 - 40
Dini: Yoyote
Watoto: Wasizidi wawili
Kazi: Haijalishi

Maelekezo muhimu:

Kuzaa kwa sasa sio kipaombele japo ikitokea insha'Allah mtoto hakataliwi.

Aliye tayali awe tayali kuishi ninapoishi mimi kwa maana ya mkoa mara baada ya kuwa tumekubaliana.

My take:
1: Endapo yeyote aliyetayali basi tuchekiane PM kwa hatua za awali.

2: Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.

Shukran sana.
 
Habari wana JF,

Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.

Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli: nimejiajiri

Aina ya ninaemuhitaji:

Umri: 30 - 40
Dini: Yoyote
Watoto: Wasizidi wawili
Kazi: Haijalishi

Maelekezo muhimu:

Kuzaa kwa sasa sio kipaombele japo ikitokea insha'Allah mtoto hakataliwi.

Aliye tayali awe tayali kuishi ninapoishi mimi kwa maana ya mkoa mara baada ya kuwa tumekubaliana.

My take:
1: Endapo yeyote aliyetayali basi tuchekiane PM kwa hatua za awali.

2: Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.

Shukran sana.
Mungu akuwezeshe kumpata
 
Habari wana JF,

Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.

Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli: nimejiajiri

Aina ya ninaemuhitaji:

Umri: 30 - 40
Dini: Yoyote
Watoto: Wasizidi wawili
Kazi: Haijalishi

Maelekezo muhimu:

Kuzaa kwa sasa sio kipaombele japo ikitokea insha'Allah mtoto hakataliwi.

Aliye tayali awe tayali kuishi ninapoishi mimi kwa maana ya mkoa mara baada ya kuwa tumekubaliana.

My take:
1: Endapo yeyote aliyetayali basi tuchekiane PM kwa hatua za awali.

2: Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.

Shukran sana.
Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.[emoji419][emoji375]
 
Back
Top Bottom