Habari wana JF,
Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.
Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli: nimejiajiri
Aina ya ninaemuhitaji:
Umri: 30 - 40
Dini: Yoyote
Watoto: Wasizidi wawili
Kazi: Haijalishi
Maelekezo muhimu:
Kuzaa kwa sasa sio kipaombele japo ikitokea insha'Allah mtoto hakataliwi.
Aliye tayali awe tayali kuishi ninapoishi mimi kwa maana ya mkoa mara baada ya kuwa tumekubaliana.
My take:
1: Endapo yeyote aliyetayali basi tuchekiane PM kwa hatua za awali.
2: Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.
Shukran sana.
Mimi ni mpya hapa, niseme wazi kuwa nimejiunga leo kwa sababu moja tu kutafuta mke bora/mwema/ aliye tayari.
Wasifu wangu;
Dini: Mkristo
Umri: 45
Mkoa: Mbeya
Familia: Watoto wanne, watatu wapo boarding. Mmoja anaishi na mamake
Ndoa: Tumetalikiana ki Sheria 2020
Shughuli: nimejiajiri
Aina ya ninaemuhitaji:
Umri: 30 - 40
Dini: Yoyote
Watoto: Wasizidi wawili
Kazi: Haijalishi
Maelekezo muhimu:
Kuzaa kwa sasa sio kipaombele japo ikitokea insha'Allah mtoto hakataliwi.
Aliye tayali awe tayali kuishi ninapoishi mimi kwa maana ya mkoa mara baada ya kuwa tumekubaliana.
My take:
1: Endapo yeyote aliyetayali basi tuchekiane PM kwa hatua za awali.
2: Ukiona haikuhusu nakushauri soma kisha uiache kama ilivyo.
Shukran sana.