Mke anaruhusiwa na Sheria ya Ndoa kukopa kupitia jina la Mume na Mume kuwajibika kulipa

Mke anaruhusiwa na Sheria ya Ndoa kukopa kupitia jina la Mume na Mume kuwajibika kulipa

Only in Bongo.

SHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).

Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.

Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.
 
Sasa hivi wamama vicoba burudani
Dhamana nje nje
Tusio na ndoa itabidi tutafute hata ndoa feki sasa tukakopee benk


homedecor_house_1644494690992.jpg
 
Back
Top Bottom