Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hivi ndoa zilifanya nini mnafananisha na mambo ya hovyo kihivyo?Watu mkiambiwa ndoa hizi za kupeana eti vyeti ndoa na kuvishana pete ni biashara kama biashara nyingine hamuamini🏃
Huwezi kukopa bila sign ya spouse wako kuna utapeli hapo anaweza kwenda mahakamaniKuna mwanamke mmoja alikopa bila mwanaume kujua, matokeo yake nyumba imeuzwa na wamerudi kupanga huku mwanaume hajui lolote.
SHERIA YA NDOA, SURA YA 29 KIFUNGU CHA 64(1), (2) and (3).
Sheria ya ndoa chini ya kifungu tajwa hapo juu inamruhusu mwanamke ambaye ameolewa katika ndoa halali inayotambulika kisheria, KUKOPA fedha kwa jina la mumewe, au kuibadilisha mali ya mumewe inayohamishika kuwa fedha na kuitumia katika mazingira ya ulazima wa kufanya hivyo kutokana na mahitaji ya lazima ya mke au watoto halali wa ndoa.
Katika kukopa fedha au kuuza mali, ulazima wa kufanya hivyo ni lazima uthibitike, na kiwango cha mkopo wa fedha lazima kiendane na kipato cha mume.
Sheria inasemaje mkuu??What if, mkopo ukiwa nje ya uwezo wa mume kulipa?
Yaaani tunavuta mkwanja mreefu mtakomaMnatutisha wabahili sio?, huhuhu
Si tunahamia.kwenye dhamana ingine??Kwaiyo mnaona Raha eeh?[emoji2]
KWANGU ukiIGA Iyo, ndoa imeota mbawa[emoji4]
Kweli yaani hooooiWanaume tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana.
Anaejua unatoa au hutoi nani mkuu??Hii ipo siku zote kwenye sheria ya ndoa lakini inatakiwa akope kama mume ameshindwa au hatoi matumizi kwa familia, na iyo hela itatumika kwa matumizi ya familia.