Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vicoba sasa hivi dhamana cheti cha ndoaMwanakufind mwanakuliget
Thubutu
AmeenHatuwaridhishi financially wala sexually lkn bado wapo na sisi, mbarikiwe sana
Duh...hizi ndooa mtazisikia ndani ya bomba kwa kweliSasa hivi wamama vicoba burudani
Dhamana nje nje
Tusio na ndoa itabidi tutafute hata ndoa feki sasa tukakopee benk
View attachment 2114852
Kama ni cheti tu fresh alipeleke tuVicoba sasa hivi dhamana cheti cha ndoa
Hii sheria boss.raia mwema anatakiwa atii sheriaKweli wahenga walikuwa na akili sana. Walisema kosea kujenga ila sio kuoa! Ukioa mke mpumbavu utafika mbinguni haraka ila umechoka sana!
😂😂😂😂😂Nimekosa mimi, Nimekosa mimi, Nimekosa sana...
Hati ya nyumba aliipata wapi? Mie hati za nyumba zangu nimezitunza benki. Sina imani na binadamu yeyoteKuna mwanamke mmoja alikopa bila mwanaume kujua, matokeo yake nyumba imeuzwa na wamerudi kupanga huku mwanaume hajui lolote.
Ukija ukifariki ghafla, benki itaanza kuleta urasimu kwa familia ulioiachaH
Hati ya nyumba aliipata wapi? Mie hati za nyumba zangu nimezitunza benki. Sina imani na binadamu yeyote
Huyo Advocate atakulipieni. Kiumbe cha Mungu kikope kwa jina langu hakika ufalme wa Malipo utakuwa wakeSasa hivi wamama vicoba burudani
Dhamana nje nje
Tusio na ndoa itabidi tutafute hata ndoa feki sasa tukakopee benk
View attachment 2114852
Pesa mbona tunaweka benki na hatuogopi urasimu? Procedure zinafanana tu.Ukija ukifariki ghafla, benki itaanza kuleta urasimu kwa familia ulioiacha