Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
 
Hiyo ndo shida ya kutomaliza mahari unashindwa kumuwamba hata makofi mawili matatu ya kumrudisha relini....mwambie jamaa waombe chumba cha kuishi ukweni ili waone tabia ya mtoto wao
 
Watajuana wenyewe mambo ya kushauri watu waliolala uchi na kupeana ahadi kedekede mpaka kutamani kung'atana kisa utamu
 
Hakuna mke hapo.
Mke kama hamsikilizi mwanaume wake basi huyo hafai kua mke mazeee....
Tena mke kwenda kwao "hata pawe ni nyumba ya jirani" bila ruhusa ya mwanaume wake hilo ni kosa la jinai mkuuu....
 
Shida mkuu ipo kwa mwanamke na wewe ukitaka kuamini ilio nijibu maswalinyangu
Mke amezaliwa mwaka gani?………
Na weebumezaliwa mwaka gani………..
 
"Kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume!"

Inshort hiyo kauli umeipamba sana na huenda ndo tatizo lipo hapo kwenye mihangaiko isiyoeleweka.
 
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Pepo Pepo, timua pepo
 
Sina maneno au mawazo mengi, mimi Kama katibu mwenezi wa kataa ndoa ushauri wangu ni

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO


Mwenyekiti Liverpool VPN, katibu mwenezi Intelligent businessman, mwanasheria Xi Jinping,

Wajumbe wa kataa ndoa Natafuta Ajira, min -me
Mhasibu wa kataa ndoa OKW BOBAN SUNZU
th (5) (1).jpeg
 
bibi na bwana wakigombana nyumbani,
uache wenyewe mpaka wataelewana,
lakini ukiwaingilia wakipatana,
utabaki na simanzi.
 
Back
Top Bottom