Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kwamba nawe siku hizi nawe ni jasusi😁😂Tuliza akili uandikd vizuri, na hapo kwa akili za kijasusi shida ipo kwa mume ila ndo ivo Me wengi hatuonagi makosa yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba nawe siku hizi nawe ni jasusi😁😂Tuliza akili uandikd vizuri, na hapo kwa akili za kijasusi shida ipo kwa mume ila ndo ivo Me wengi hatuonagi makosa yetu.
Kitambo sana mi ni jasusi, Tiss walitaka kunirecruit ila niliona ikienda kua compromised, nikakataa ofa yao.Kwamba nawe siku hizi nawe ni jasusi😁😂
Naam wana kuita boyka wa vikindu 🤣 🤣Kitambo sana mi ni jasusi, Tiss walitaka kunirecruit ila niliona ikienda kua compromised, nikakataa ofa yao.
Sasa hivi ni free agent.
😂😂 ndo ukweli mkuu, shida ipo kwake Me, hatumii akili kuhandle familia yake anatala loyalty tu kisa anawapeleka chooni, hajui watu hutumia akili kuwaweka chini yakd member wa familia na sio visirani, minuno na ubabe usio maana.Watakuja kukuambiwa kwasababu umelelewa na single mother au wewe last born
😂😂😂 mimi sio Boyka mkuu, niite Vishu 007.Naam wana kuita boyka wa vikindu 🤣 🤣
boyka wa vikindu, mtaa una kuhanya kinoma😂🤣😂😂😂 mimi sio Boyka mkuu, niite Vishu 007.
Nafananishwa na James Bond japo sifananii nae na wala hanifikii.boyka wa vikindu, mtaa una kuhanya kinoma😂🤣
Kuchokana huko 😀Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.
Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.
Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Kama kweli hamuwezi,bora aachane nae tu,hakuna namna,na unaweza kuta mwanamke anatafuta nafasi ya talaka tu!!Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.
Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.
Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Imenikumbusha mwaka mmoja jirani yangu alioa, baada ya miezi akaanza kuvuta sigara, siku mkewe alipogundua naye akaanza kuvuta sigara, mume akinunua sportsman, mke SM na Embassy, walitunishiana msuli mpaka jamaa akaamua kuachaIkitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.
Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.
Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Wala asimuache afanye hivi yeye akiludi Wala usimkasirikie toa pesa ya matumizi lakini usile chakula chake Kisha kuwa kama hujali vituko vyake ukifaulu hili atahisi unajambo lakoIkitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.
Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.
Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
hapo umetoa ushauri kama mwanaume mkomavuWala asimuache afanye hivi yeye akiludi Wala usimkasirikie toa pesa ya matumizi lakini usile chakula chake Kisha kuwa kama hujali vituko vyake ukifaulu hili atahisi unajambo lako