Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

Mimi tu sijamuoa bado ananijua mori za kimasai ninazo ...Mashindano atayaanzia wapi?
 
Watakuja kukuambiwa kwasababu umelelewa na single mother au wewe last born
😂😂 ndo ukweli mkuu, shida ipo kwake Me, hatumii akili kuhandle familia yake anatala loyalty tu kisa anawapeleka chooni, hajui watu hutumia akili kuwaweka chini yakd member wa familia na sio visirani, minuno na ubabe usio maana.

Ukiondoka aga, baadhi ya vitu vidogo waige toka kwako.
 
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe
 
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Kuchokana huko 😀
 
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Kama kweli hamuwezi,bora aachane nae tu,hakuna namna,na unaweza kuta mwanamke anatafuta nafasi ya talaka tu!!
 
Muache halafu mtongoze mara ya pili umuoe mara ya pili akirudia muache tena
 
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Imenikumbusha mwaka mmoja jirani yangu alioa, baada ya miezi akaanza kuvuta sigara, siku mkewe alipogundua naye akaanza kuvuta sigara, mume akinunua sportsman, mke SM na Embassy, walitunishiana msuli mpaka jamaa akaamua kuacha
 
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
Wala asimuache afanye hivi yeye akiludi Wala usimkasirikie toa pesa ya matumizi lakini usile chakula chake Kisha kuwa kama hujali vituko vyake ukifaulu hili atahisi unajambo lako
 
Back
Top Bottom