Mke anashindana na mume na hataki kukubali kushindwa, nini' kifanyike?

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
Ikitokea mume ametoka bila kuaga (kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume), mke nae anatoka bila kuaga na kwenda anakokujua mwenyewe.

Wakati mwingine huenda kwao (kwakuwa ni karibu) na ajabu anaporudi mama mkwe anampigia simu mume, "amefika salama?" Mume anashangaa tu..... anyway, labda mama hajui kama mwanae ameenda kwake bila kuaga. Mume akipiga simu haipokelewi.

Mume anataka kuacha mke. Nini maoni yenu wadau?!!!
 
Hiyo ndo shida ya kutomaliza mahari unashindwa kumuwamba hata makofi mawili matatu ya kumrudisha relini....mwambie jamaa waombe chumba cha kuishi ukweni ili waone tabia ya mtoto wao
 
Watajuana wenyewe mambo ya kushauri watu waliolala uchi na kupeana ahadi kedekede mpaka kutamani kung'atana kisa utamu
 
Hakuna mke hapo.
Mke kama hamsikilizi mwanaume wake basi huyo hafai kua mke mazeee....
Tena mke kwenda kwao "hata pawe ni nyumba ya jirani" bila ruhusa ya mwanaume wake hilo ni kosa la jinai mkuuu....
 
Shida mkuu ipo kwa mwanamke na wewe ukitaka kuamini ilio nijibu maswalinyangu
Mke amezaliwa mwaka gani?………
Na weebumezaliwa mwaka gani………..
 
"Kutokana na mihangaiko yetu ya kighafla ya wanaume!"

Inshort hiyo kauli umeipamba sana na huenda ndo tatizo lipo hapo kwenye mihangaiko isiyoeleweka.
 
Pepo Pepo, timua pepo
 
bibi na bwana wakigombana nyumbani,
uache wenyewe mpaka wataelewana,
lakini ukiwaingilia wakipatana,
utabaki na simanzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…