ππππkwa maneno yote hayo
Akhaaaaa mie, nlivyo na gubu nimpate cha gubu si itakua vita humo ndani
Sio kwa ubaya, ila dah ndoa itakua na maneno maneno sana hii
Kijana unajua kuandika, hakika ningekuwa na binti hapa ningekutunuku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama umeolewa na manalaSio kwa ubaya, ila dah ndoa itakua na maneno maneno sana hii
ππ grandson , 23yrs nilitimiza mika 15 iliyopitaKuna huyu bibi anaitwa financial services
Anasifa zote isipokuwa umri yeye Anamiaka 23.
Vipi tukuunganishe?
Sent using Jamii Forums mobile app
I wish ningekua mimi..mimi
Ila dah..ngoja nilie kwanza[emoji24][emoji24][emoji24]
Kusoma Arts kumenikosesha mume daah
[emoji16][emoji16]oyaa sio poa!
Ndo maana juzi ulikuwa unaimba kwa hisia balaa.
View attachment 2643862
Kwanini asitafute hukohuko mtaani?! Tena ndio vizuri sababu anaweza akatarget wasichana wawili au watatu akawa anachunguza taratibu huku anaendelea nao kimahusiano kama akiridhika nao aoe kabisa.Why sio poa kaka ?
Anaweza kusoma science Ila akawa kilaza, hilo nalo mkaliangalieKusoma arts sio shida wala tatizo.
Ila Kuendana kwa wanandoa ni muhimu sana maana Ndoa ni partnership, hivyo tunajaribu kumtafuta a good teammate to bring home the win.
Kwanini asitafute hukohuko mtaani?! Tena ndio vizuri sababu anaweza akatarget wasichana wawili au watatu akawa anachunguza taratibu huku anaendelea nao kimahusiano kama akiridhika nao aoe kabisa.
Tena itakusaidia kwenye kuziona na kujua tabia/mapungufu yao na makuzi yao kuliko ukutane na mtu humjui halafu uaminishwe tabia yake nzuri maana wengine sio waaminifu watafanya hivyo kumsaidia mtu wao apate ndoa tu!!
Yote ya yote boss, mwenyezi Mungu awatangulie, kikubwa mfanye sana maombi, musali awaonyeshe chaguo sahihi. Kutafuta mke mwema nayo ni kazi sana sikuhizi.
Nakumbuka kuna jamaa alikuja kutangaza kabisa kanisani kwetu kwamba anatafuta mke. Baada ya matangazo akapewa muda akajasema nia yake. Alipewa hiyo nafasi jumapili mbili na alifanikiwa kupata mke kupitia kanisa!! Mshirikisheni sana Mungu katika hilo!!
Anaweza kusoma science Ila akawa kilaza, hilo nalo mkaliangalie
Natamani kuingia ila nashindwa[emoji4]
Aisee!!! hd kufikia34 anatafutiwa!!!