Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
nadhani mr wake hakumzoesha haya mambo, wengine tumezoeshwa kiac cha kwamba ni ishu ya kawaida mpaka ukickia mtu analalama kama hivi unajua kweli watu tupo tofauti sana, mapumziko ni cku nikiwa heaven au kuna mmoja kasafiri....kwani wengine wanafanya kama kusulubiana?....halafu nimekumic.
Niko hapa dada angu. Hebu njoo nikubusu niitii kiu yangu.
Watu wananishangaza eti wanakikimbia kilichowatoa kwa wazazi wao. Ukioa/kuolewa kazi ni moja tu: Kutoa na kukabidhi kikojoleo chako kwa mwenzio wakati wowote anapohitaji kama mazingira yanaruhusu. Si eti dada eh? Hawa watoto wa enzi za CHADEMA hata siwaelewi. Kama hutaki kikojoleo chako kitumike, kirudishe kwa wazazi wako huko...ala!