Mke anataka kunikimbia...

Mke anataka kunikimbia...

nadhani mr wake hakumzoesha haya mambo, wengine tumezoeshwa kiac cha kwamba ni ishu ya kawaida mpaka ukickia mtu analalama kama hivi unajua kweli watu tupo tofauti sana, mapumziko ni cku nikiwa heaven au kuna mmoja kasafiri....kwani wengine wanafanya kama kusulubiana?....halafu nimekumic.

Niko hapa dada angu. Hebu njoo nikubusu niitii kiu yangu.

Watu wananishangaza eti wanakikimbia kilichowatoa kwa wazazi wao. Ukioa/kuolewa kazi ni moja tu: Kutoa na kukabidhi kikojoleo chako kwa mwenzio wakati wowote anapohitaji kama mazingira yanaruhusu. Si eti dada eh? Hawa watoto wa enzi za CHADEMA hata siwaelewi. Kama hutaki kikojoleo chako kitumike, kirudishe kwa wazazi wako huko...ala!
 
anzeni na aspirin ikiekspaya mtakuja kwa his majesty klorokwini ze one and ze only in east afrika mashariki na kati. kwenye hii mada mpaka sasa sijaelewa, sasa huyu dada anakimbia kile kilichompeleka kwenye ndoa? au alizani anaolewa ili akaangalie muvi za kanumba?

Aisee hebu wagawie dozi huko famasi bana, mi niko bize na kina mama wanaotumia vema vikojoleo vyao huku martenity ward.
 
Aisee hebu wagawie dozi huko famasi bana, mi niko bize na kina mama wanaotumia vema vikojoleo vyao huku martenity ward.

hehehe fellow tablet bana! nimeanzisha na ka buzinezz ka kuchimba makaburi ukiskia jamaa yoyote katutoka nishtue. biashara ya mziki hailipi kabisa yaani. slogan yetu ya business inasema "kifo chako ni mtaji kwetu".
 
hehehe fellow tablet bana! nimeanzisha na ka buzinezz ka kuchimba makaburi ukiskia jamaa yoyote katutoka nishtue. biashara ya mziki hailipi kabisa yaani. slogan yetu ya business inasema "kifo chako ni mtaji kwetu".

Makaburi yanachagua jinsia? Hapa MMU naona kuna jinsia moja itaongoza kwa misiba bana. Hebu tuongeze dozi, hawa watu bado tunawahitaji.
 
Niko hapa dada angu. Hebu njoo nikubusu niitii kiu yangu.

Watu wananishangaza eti wanakikimbia kilichowatoa kwa wazazi wao. Ukioa/kuolewa kazi ni moja tu: Kutoa na kukabidhi kikojoleo chako kwa mwenzio wakati wowote anapohitaji kama mazingira yanaruhusu. Si eti dada eh? Hawa watoto wa enzi za CHADEMA hata siwaelewi. Kama hutaki kikojoleo chako kitumike, kirudishe kwa wazazi wako huko...ala!

Mke wa jamaa anataka mwenzake wa kumsaidia bana....labda jamaa acheki na dada wa kazi....
 

Mke wa jamaa anataka mwenzake wa kumsaidia bana....labda jamaa acheki na dada wa kazi....

Kusoma katikati mya mistari ni sifa nyingine ya infii. Yaani jamaa limeruhusiwa kufanya infii badala ya kufurahi anakuja kulalama huku JF. Dah! I wish my wife wangu angenipangia ratiba ya kugawiana vikojoleo......ingekula kwake mazima.
 
Makaburi yanachagua jinsia? Hapa MMU naona kuna jinsia moja itaongoza kwa misiba bana. Hebu tuongeze dozi, hawa watu bado tunawahitaji.

weka 4-4-2 naweka 4-3-3 kama bado ngoma ngumu tutaomba msaada wa mzizimkavu na dena amsi walete zile dozi zao za nyanya chungu na kitunguu somu, kwa pamoja tunasema "afya ya kinamama ipewe kipaumbele" espesheli nyakati za usiku.
 
Kusoma katikati mya mistari ni sifa nyingine ya infii. Yaani jamaa limeruhusiwa kufanya infii badala ya kufurahi anakuja kulalama huku JF. Dah! I wish my wife wangu angenipangia ratiba ya kugawiana vikojoleo......ingekula kwake mazima.

Hapo ndo uweka hazina wako unapoonekana....
Sasa mtu anapewa green lights za infii anashangaashangaa...
 
Kusoma katikati mya mistari ni sifa nyingine ya infii. Yaani jamaa limeruhusiwa kufanya infii badala ya kufurahi anakuja kulalama huku JF. Dah! I wish my wife wangu angenipangia ratiba ya kugawiana vikojoleo......ingekula kwake mazima.

Ha ha ha hah!!!!!!
 
Kusoma katikati mya mistari ni sifa nyingine ya infii. Yaani jamaa limeruhusiwa kufanya infii badala ya kufurahi anakuja kulalama huku JF. Dah! I wish my wife wangu angenipangia ratiba ya kugawiana vikojoleo......ingekula kwake mazima.

deh deh deh!
 
mnh na wewe kila siku,imekuwa peremende hio???
tafuta kitu cha kukufanya uwe busy,uchoke na hivyo kuhamisha mawazo yako juu ya tendo...
likfanywa mara chache kwa ufanisi ndio linanoga!!!:embarrassed:
 
mnh na wewe kila siku,imekuwa peremende hio???
tafuta kitu cha kukufanya uwe busy,uchoke na hivyo kuhamisha mawazo yako juu ya tendo...
likfanywa mara chache kwa ufanisi ndio linanoga!!!:embarrassed:

Fab mpenzi, una umri gani mwakwetu? Samahani kama nimekukwaza.
 
WanaJF naombeni mnishauri;
Ninaishi na mke wangu kwenye ndoa kwa mwaka wa tatu sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja mwenye miaka miwili kwa sasa.Katika muda wote wa ndoa yetu nilikuwa mikoani na nje ya nchi hivyo sijwahi kuwa na kwe wangu kwa miezi miwili mfululizo na huko nilikokuwa nilikuwa nikitafuta ''mapozeo'' kupunguza hamu ya tendo.Kwa hivi sasa nimekaa kwa muda mrefu na mke analalamika kuwa niko too demanding kwenye tendo la ndoa kwani katika hali halisi kila siku nafanya na ni minimum of 2 rounds per night.Sasa kwa sasa tuna ugomvi kila siku anadai anachoka na hawezi kuhimili hali hii na mimi naogopa kumsaliti kwa kwenda kutafuta huduma hiyo nje ya ndoa naombeni ushauri.
Inamaana wife anataka ulime heka 1 tu per week!!! she z not seriouz.
Fafanua mkuu .....anakikimbia wewe au mzigo wako umezidi viwango vya TBS? may be UR A MAN AND A-HALF (pipe kubwa?)
1 ..yaelekea humuandai vizuri, na huwa unashibisha nafsi yako tu...hivyo unamuumiza mwenzio.
2.... badili maeneo ya mashambulizi na style..sio flat tire tu daily.
....women r like weather...unpredictable.....wengine wanataka ulime heka tano ...wako anataka heka 1.
...Tutashindwa kuwaelewa sasa.
 
Kusoma katikati mya mistari ni sifa nyingine ya infii. Yaani jamaa limeruhusiwa kufanya infii badala ya kufurahi anakuja kulalama huku JF. Dah! I wish my wife wangu angenipangia ratiba ya kugawiana vikojoleo......ingekula kwake mazima.
...huwezi kuacha kazi kabla hajapata kazi, huyu mke wake yaelekea ameshadanganyika na kashaonjeshwa mua........
Otherwise jamaa aajiri mke wa pili au wa tatu....ili kurudisha heshima yake.
 
Kwamba kuhusu kuka naye kuongea naye nimefanya sana na yeye anasema kweli anachoka na huu mchezo kila siku na kweli mimi ndivyo ninavyokickia siwezi kuficha hisia zangu kwa mke wangu na siwezi kujichua sbb ujana huo ilishapita.Nimem-force mara kadhaa ndo maana kasema anataka kuondoka kurudi kwao sababu hayawezi kabisa nayomwambia kuyafanya kila siku.

mshauri akutafutie msaidizi
 
Back
Top Bottom