Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Sio Siri za kambi wewe sema wanaokufilimba ukiwa unafilimbwa hua unatoa uharo au hua unajamba?
Una umri gani rafk? Basi kajifunze hata kwenye video za x uone kama kuna mtu anaachia uharo.😅
 
ananenepa
 
Punguza kumlisha maharage na mayai ya kuchemsha, pia mpeleke hospital badala ya kuja kumuanika humu.
 
Hiyo siyo CO monoxide kweli?
 
Pole sana! Ila siku nyingine usimdhalilishe mke wako kiasi hicho kuna wengine sisi tunamjua mkeo hivyo unatuweka katika wakati mgumu tushaanza kumtamani aisee daah! Na yale makalio yake makubwa 😔
 
Gas nyingi tumboni, sababu ya baadhi ya vyakula kama ndizi mbivu na za kupikwa, chips maharage nk
ama dalili za vidonda vya tumbo
 
Pole sana! Ila siku nyingine usimdhalilishe mke wako kiasi hicho kuna wengine sisi tunamjua mkeo hivyo unatuweka katika wakati mgumu tushaanza kumtamani aisee daah! Na yale makalio yake makubwa 😔
Dawa ni kumchomekea kibunzi cha mahindi huko nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…