Mke anayekujibu, 'amua vyovyote unavyoona', anafaa kuendelea nae kweli?

Mke anayekujibu, 'amua vyovyote unavyoona', anafaa kuendelea nae kweli?

Kuna kuvumilia na kupoteza muda.
Sasa apo jisevie linalokufaa mkuu

Mind you sina ndoa mimi, za kuambiwa unachanganya na uhalisia pamoja na akili zako then unafanya maamuzi
 
Subiri atulie hasira ziishe alafu kamkumbatie umweleze machungu Yako na kwamba hutaki yajirudie.Mwambie "nakupenda ila unakosea hapa na hapa na hapa" .Atakuelewa anaweza hata akalia akatoa machungu yake juu Yako. Akifanya hivyo umbembeleze.Mwelekeze makosa yake pasipo kumficha na HaweZi rudia nakuambia.

Mbembeleze anastahili kubembelezwa huyo siyo yeye nakuambia amepanda juu Yako kama defense mechanism tu ila Bado ni mdhaifu kwako.
Hivi kuna wanawake wanaolia kwa kujutia kile alichofanya kwa kizazi hiki?.
 
Trust me hata Biblia imeandika kuhusu mwanamke "Na tamaa Yako itakuwa juu ya mumeo naye atakutawala".Hili andiko lilipaswa kutumiwa vizuri.

Mwanamke ni kama Paka ukimbembeleza na kumpenda atakuheshimu na kukupenda.Ukimkwarua na yeye ataonesha makucha yake hata kama anajua HaweZi ishi BIla wewe.
 
Hivi kuna wanawake wanaolia kwa kujutia kile alichofanya kwa kizazi hiki?.
Wapo wengi mkuu karibia wote naona waeleze tu makosa Yao hata wasipoonyesha kujutia wengi wao Huwa wanajutia ndani Kwa ndani na wanajirekebisha ilimradi unamchana ukweli nafsi lazima imsute.Japo Kuna wanaoignore hata dhamiri zao na kushupaza shingo.
 
Huyo ni mke anamjibu mume kwa ukali kuhusu kutoa talaka au baada ya mapishano madogo tu.
Kwanza ufahamu hakuna hali itakayodumu. Anayedumu ni Mungu tu.

Binadamu ana badilika na ndiyo maumbile na mkikaa pamoja kwa maana mkizoeana kawaida ya mwanamke kwa kiasi fulani kama anaanza kuwa na dharau, ndiyo hulka yao ilivyo!

Na unabidi ufahamu kwamba mwanamke mara nyingi anatumia hisia kwenye majibu yake. Hivyo issue ya emotional yoyote ikimtokea yeye atakujibu papo hapo hata pasipokufikiria.

Anaweza kikujibu hujanitoa kwenye miti nina kwetu, kama nakukera we nipe tu hiyo talaka. Ukimpa talaka kweli analia kilio kikubwa! Atajibu mi niliongea niliongea tu!

Hayo ni kwa uchache! Sasa kuna mambo kama mwanaume unabidi uyafahamu kuhusu mwanamke na hulka zao! Na wewe kama una kawaida ya kumtishia talaka hilo acha mara moja! Kama ni muislamu fahamu hili: Talaka ni tamko maandishi ni ushahidi! Ukimwambia mke wako nimekuacha! Aisee ndiyo talaka hapo imeshatoka!

Kingine kama binadamu kukosana kupo! Sisi wenyewe tunatemewa shombo! Ila ukimkata jicho tu anajua enheee! Hapa nimeyakanyaga anarudi kwenye line kidogo! Yaani afahamu mipaka yako ipo wapi!

Shombo zao nyengine unazipotezea tu unamuacha aziteme tu we baki kimya! Atahama mada atasema unamdharau kisa upo kimya! Sometimes jishushe tu achana naye!

Mengine yasikupe shida maadamu unamfahamu mke wako vilivyo!
 
Yaan ishu ndogo ya talaka unakuja na mablanketi yako kuomba ushauri usiku huu....
Je ungemkuta anachakatwa mbususu...
Yaani wewe jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unavyoongelea hiyo talaka kutoa utadhani easy tu
 
Hizo ni kauli za ambao hawakwenda shule, msamehe Bure! Ila kama ameenda shule achana nae mara Moja kwani anaweza kukuondoa katika uso wa dunia.
 
Bila shaka ni ndoa ya kikristo hio.. hana hofu ya nafasi yake huwezi kumchimba hata mkwara
Kuwa ndoa ya Kikristo haku-justify akose heshima,mwanamke bila kujali dini yake akiamua kufanya ujinga anafanya majuto anakuja kujuta baadae.
 
Bila shaka ni ndoa ya kikristo hio.. hana hofu ya nafasi yake huwezi kumchimba hata mkwara
Kuna watu "malofa sana" !!!
Sasa majibu hayo na dini yana uhusiano ganii!!? Mawazo mgando na dhana potofu kabisa.
Mtu yeyote anaweza kujibu, awe muislamu, mkristo, budha, hata asiye na dini.
Kuna watu wanajifanya Bora sana kwenye dini zao na kudharau wengine.
Heshimu imani ya kila mtu nawe uheshimike kijana.
 
Kuna watu "malofa sana" !!!
Sasa majibu hayo na dini yana uhusiano ganii!!? Mawazo mgando na dhana potofu kabisa.
Mtu yeyote anaweza kujibu, awe muislamu, mkristo, budha, hata asiye na dini.
Kuna watu wanajifanya Bora sana kwenye dini zao na kudharau wengine.
Heshimu imani ya kila mtu nawe uheshimike kijana.

Hajajibu vibaya lakini hapo mkuu
 
Kuna watu "malofa sana" !!!
Sasa majibu hayo na dini yana uhusiano ganii!!? Mawazo mgando na dhana potofu kabisa.
Mtu yeyote anaweza kujibu, awe muislamu, mkristo, budha, hata asiye na dini.
Kuna watu wanajifanya Bora sana kwenye dini zao na kudharau wengine.
Heshimu imani ya kila mtu nawe uheshimike kijana.

Vilee tu umeelewa vibaya alitaka aelezee kuwa misingi ya ndoa za wakristo ni hakuna kuachana mpaka kifo so ameelezea kuwa hauna haja ya kuvunja misingi ya M/Mungu kwa nn? Umuache au muachane wakati mlifunga ndoa kwa makubaliano kifo ndio tenganifu lenu
 
Back
Top Bottom