Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa talakaHuyo ni mke anamjibu mume kwa ukali kuhusu kutoa talaka au baada ya mapishano madogo tu.
Kabisa mkuuKabisa huyo mwanamke keshafanya maamuzi ya maisha yake, kuendekeza nae ni kujivisha mabomu, na kwanza anakuwa mwanaume ambaye hauna msimamo na Hilo ni hatari sana kwenye mahusiano.
hapo kuna mambo makuu 2,moja huenda anatingisha kibiriti au la pili hataki tena hiyo ndoaHuyo ni mke anamjibu mume kwa ukali kuhusu kutoa talaka au baada ya mapishano madogo tu.
Hasira tu hizo zikiisha mtabembelezana.Huyo ni mke anamjibu mume kwa ukali kuhusu kutoa talaka au baada ya mapishano madogo tu.
Maneno yako yanaonesha hauna mahusiano imara, yenye malengo.Oya alafu sikieni, Mimi Sijui kwann hamunielewi.
DUNIA IMEBADILIKA SANA, MAMBO YAMEBADILIKA.
Hawa Wanawake sio wakuwabembeleza mazeee, mbona mnapata shida Ivo nao??
Yaani Hawa hata akuambie nn, wewe Jua hamna Kila kitu. Maiwachekee mazee, kwann muishi Kwa shida kisa mwanamke? Mwanamke alivembelezwa zaman, zaman hizo ambazo mwanamke alikua na Heshima yake.
Brooo unayesoma hapa, Usijisifie kua Mkeo ni mwema !!.
Hamnaaaa hamnaaaa Kila kitu, Mimi sahizi Sina wivu kabisa, sitaki niwe na hasira na kiumbe Cha mtu, sitaki kabisaaaa.
Akinishinda natemana naye, Wanawake wamejaa, siku hizi sio wachoyo kama zamani. Zamani ulikua ukiona chupi ya mwanamke hata bahati mbaya, yaan unahisi uko mbinguni. Siku hizi tunatombanaa kimasiharaaaaaaaaaa sanaaaaaa yaaan saaaaaaaaaaaana.
Asikudanganye mtu Babu... Demu asikudanganye kwamba niwewe tuu, Asipotombwa na Carlos, Kuna Muhun anamtombaa .