Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hii ndiyo samari ya uzi mzimaDawa ya mwanamke ni mwanamke
Am gonna remake...ah ah ah remakinv akyanan...imekaa poa sanaNi kisa Cha ukweli kilicho mkuta jamaa yangu.
Yalikua ni malalamiko tu kila siku akisema mkewe hana heshima yaani hamuheshimu kabisa.
Pamoja na kuto kuwa na heshima alikua na kauli chafu Sana yule mwanamke kumuambia jamaa kuwa alimuonea huruma tu akamuoa ni neno la kawaida Sana na hili neno jamaa alikua analalamika Sana na kusema ndio linalo
Pamoja na ukocha wake wote aliishindwa ndoa yake ya mtoto wa chumbageni SADA SALEHE tuishi nao kwa akili hawa wanawakeHahahahaha kazi nzuri Mwinjuma Muumini a.k.a Kocha wa Dunia!
Kuishi na mwanamke inataka akili sana
Yeah hapa nimekuelewa Kochi πππjibu liwe nilikua kutafuta hela and no more explanation
Kwa mamlaka niliyonayo nakutunuku shahada ya heshima ya uzamivu kwenye mapenzi na kuboresha mahusianoNi kisa Cha ukweli kilicho mkuta jamaa yangu.
Yalikua ni malalamiko tu kila siku akisema mkewe hana heshima yaani hamuheshimu kabisa.
Ni kweli hawa watu ukijifanya wewe wa kulialia sana utaondoka siku sio zako,sometimes lazima ukakamae ili ajuwe kuwa anaishi na mwanaume...Ni kisa Cha ukweli kilicho mkuta jamaa yangu.
Yalikua ni malalamiko tu kila siku akisema mkewe hana heshima yaani hamuheshimu kabisa.
Pamoja na kuto kuwa na heshima alikua na kauli chafu Sana yule mwanamke kumuambia jamaa kuwa alimuonea huruma tu akamuoa ni neno la kawaida Sana na hili neno jamaa alikua analalamika Sana na kusema ndio linalo muuma ila hajui afanye Nini.
Sasa hapo ile kauli ya kuwa unaonewa huruma ndio itaonekana ukweli yaani huna option na masimango na dharau ndio vitaongezekaSafi, ila gharama! Mimi ningemshauri apige nyeto mbele yake, ili mke ajue kuwa hata mkono unatosha kuwa mke